Nifanyeje kumbembeleza mme Huyu?

Nifanyeje kumbembeleza mme Huyu?

Morning glory

Senior Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
149
Reaction score
55
Jamani nimekosana na kipenzi changu na akanipiga sana Jana Usiku na hakukuwa na Amani kabisa, sitaki tununiane tena Usiku Huu, nahisi Mimi ndo mwenye makosa nifanyeje kumbembeleza na nifanyeje agundue that I am truly sorry

Msaada wana MMU.

Be blessed
 
Jamani nimekosana na kipenzi changu na akanipiga sana Jana Usiku na hakukuwa na Amani kabisa,staki tununiane tena Usiku Huu, nahisi Mimi ndo mwenye makosa nifanyeje kumbembeleza na nifanyeje agundue that I am truly sorry,msaada wana MMU
Be blessed

njoo nikufundishe jinsi waif anavyonibembelezaga akinikosea.hutajutia,njoo tu.
 
Kuwa tu mpole,timiza majukumu yako with a smiling face.
Don't push too hard,mpe nafasi hasira zake zipungue then atakuwa sawa tu!!!
Pole kwa kipigo though.
 
Mbona wenzangu mna-comment as if hamjasikia alichosema? Hivi huyu baby wake alivompiga mbona mnafumbia macho jamani? Mbona mie naona sehemu ya kumshikia ndo hapo mana shosti kosa lako lishafutwa kwa kipigo alichokupa, hapo we nuna ili akuombe yeye ndo akuombe msamaha.
 
Mbona wenzangu mna-comment as if hamjasikia alichosema? Hivi huyu baby wake alivompiga mbona mnafumbia macho jamani? Mbona mie naona sehemu ya kumshikia ndo hapo mana shosti kosa lako lishafutwa kwa kipigo alichokupa, hapo we nuna ili akuombe yeye ndo akuombe msamaha.

We ushauri gani huu??
 
Back
Top Bottom