Morning glory
Senior Member
- Mar 20, 2014
- 149
- 55
Jamani nimekosana na kipenzi changu na akanipiga sana Jana Usiku na hakukuwa na Amani kabisa, sitaki tununiane tena Usiku Huu, nahisi Mimi ndo mwenye makosa nifanyeje kumbembeleza na nifanyeje agundue that I am truly sorry
Msaada wana MMU.
Be blessed
Msaada wana MMU.
Be blessed