Point of No Return 19
Senior Member
- Jul 2, 2023
- 194
- 454
Huwa nafanya matangazo ya kulipia Instagram,
Sasa nili boost post huwa inakua approved ndani ya masaa 24,
Huwa wanakata pesa before post haijaenda hewan,
Sasa niliset tangazo likae hewan siku 4 nikaweka $20 kilasiku $5 nilikagwa $23 hiyo 3$ ya vat
Siku 4 Sasa zimepita tangazo lime exipire bila kwenda hewan na pesa yangu walishaichukua
Nifanyeje niludishiwe pesa yangu jaman
Sasa nili boost post huwa inakua approved ndani ya masaa 24,
Huwa wanakata pesa before post haijaenda hewan,
Sasa niliset tangazo likae hewan siku 4 nikaweka $20 kilasiku $5 nilikagwa $23 hiyo 3$ ya vat
Siku 4 Sasa zimepita tangazo lime exipire bila kwenda hewan na pesa yangu walishaichukua
Nifanyeje niludishiwe pesa yangu jaman