Pole sana MkuuHabari zenu wakuu,!
Kuna uzi nilileta humu (jukwaa la afya) kuelezea namna mke wangu anavyopambania uhai wake kwa ugonjwa wa saratani ya matiti.
Kwakweli matumaini ya mke wangu yanazidi kufifia sana, naona kwa sasa anakaribia mwisho wa uhai wake.
Napata hisia kali sana ambazo ukisoma hapa huwezi kuzihisi mpaka labda upatwe na jambo kama hili.
Najua wapo wazoefu waliopitia hali kama hii,ijapokua halii hii kila mmoja anaweza kuimudu kwa namna yake ila najua walau wanaweza kusaidia namna ya kumudu hisia hizi.
Kwa ambaye hujapitia nyakati kama hii kwa mpendwa wako, sijui hata nikusimuliaje!
Sijui kwa namna gani nitaweza kumudu kusahau hii hali ndugu zangu. Ahsanteni
Kabisa! Nimeshangaa kwa nini jamaa katukana..,ujanja mwingi mbele Giza!Usimlaumu sana...ukisoma kwa utulivu alichoandika, ana ujumbe muhimu kwa anayeuguliwa.
Maigizi kivip mkuu,fafanua!Acha maigizo
Humu JF inabidi kuwa makini sanaKuna ambao watampigia ili kumsaidia jinsi ya kumudu maumivu ya kushuhudia siku za mwisho za uhai wa mke wake
Umesema vyema mkuuHumu JF inabidi kuwa makini sana
Mkuu nilikupa dawa umepuuzia, narudia teba hizi dawa nina uhakika nazo kwa asilimia 100, kuna mtu alishapona na dawa zangu akiwa kwenye stagge aliyopo mkeo. Jaribu kumpa, ale stafeli hata 5 kwa siku na majani yake yawe ndo maji ya kunywa lita 2 au zaidi kwa siku. Utaokoa maisha ya mkeoHabari zenu wakuu,!
Kuna uzi nilileta humu (jukwaa la afya) kuelezea namna mke wangu anavyopambania uhai wake kwa ugonjwa wa saratani ya matiti.
Kwakweli matumaini ya mke wangu yanazidi kufifia sana, naona kwa sasa anakaribia mwisho wa uhai wake.
Napata hisia kali sana ambazo ukisoma hapa huwezi kuzihisi mpaka labda upatwe na jambo kama hili.
Najua wapo wazoefu waliopitia hali kama hii,ijapokua halii hii kila mmoja anaweza kuimudu kwa namna yake ila najua walau wanaweza kusaidia namna ya kumudu hisia hizi.
Kwa ambaye hujapitia nyakati kama hii kwa mpendwa wako, sijui hata nikusimuliaje!
Sijui kwa namna gani nitaweza kumudu kusahau hii hali ndugu zangu. Ahsanteni
Acha ujingaCha msingi ni kumwamini Yesu mkuu! Huyo ndiye faraja yako ambayo itakupa amani, na hata kama unaamini kuwa saratani haiponi ni mawazo yako tu yanakutuma hivyo, ila kwa Yesu hakuna kinachoshindikana, lakini uzuri ni kwamba akimwamini Yesu hata kama utampoteza ni wewe utahuzunika na familia yako lakini yeye atakuwa kwenye raha ambayo haielezeki, atakuwa na uzima ajapo ondoka dunia hii!! Kikubwa fuata huu ushauri
Pole sana mkuu, naijua vzr cancer ya matiti ilivyomteketeza dada yangu aise ni huzuni sana unashuhudia inavyomla Hadi dk ya mwisho kabisa. Mi nashauri kama wazazi wako wapo mpeleke huko kwanza ili machungu yapungue kwako wewe na kwa watotoHabari zenu wakuu,!
Kuna uzi nilileta humu (jukwaa la afya) kuelezea namna mke wangu anavyopambania uhai wake kwa ugonjwa wa saratani ya matiti.
Kwakweli matumaini ya mke wangu yanazidi kufifia sana, naona kwa sasa anakaribia mwisho wa uhai wake.
Napata hisia kali sana ambazo ukisoma hapa huwezi kuzihisi mpaka labda upatwe na jambo kama hili.
Najua wapo wazoefu waliopitia hali kama hii,ijapokua halii hii kila mmoja anaweza kuimudu kwa namna yake ila najua walau wanaweza kusaidia namna ya kumudu hisia hizi.
Kwa ambaye hujapitia nyakati kama hii kwa mpendwa wako, sijui hata nikusimuliaje!
Sijui kwa namna gani nitaweza kumudu kusahau hii hali ndugu zangu. Ahsanteni