Nifanye nini ili nisimkumbuke? Ananiumiza sana

Nifanye nini ili nisimkumbuke? Ananiumiza sana

Kalogwa na umelogwa anakupenda huyo ila nimwanamke anawasumbua kichwa kaombe au kaloge basi .


Ila wanaume wapo wengi hadi umemchangia pesa za matumizi achana na huyofucking dudu kama humsahau kafanye dua ukiombewa duwa unamsahau basi
 
Pole mkuu huyo tayari ni mume wa mtu. Achana nae jitahidi kumsahau na kumove on
 
Aisee ndugu zanguni, mpaka leo nashindwa kuzoea! Nimelazwa hospitali na dripu za maji juu lakini nashindwa kumsahau.
Jitambue kwanza, jipende jithamini. Hakuna mtu atababaisha tena akili yako.
Huwa tunaumia kwa vile tunahisi thamani zetu zipo mikononi mwa watu.Huko ndiyo kutojitambua ila ukishajitambua wewe ni wa thamani na unajitosha, hutoitaji validations tunazoita mapenzi.
 
Sasa si bora uje kwangu, kwani ni unababaika na mtu anaekunyanyasa kihisia
 
Umeniumiza sana na mimi.

Si Kwa hali unayopitia bali kunisomesha hadithi yote bila ya nukta wala mkato.

Yaani unatakiwa usome bila kuhema au kufumba macho au kumeza mate.

Natamani ninge-attach sauti namna ya kusoma kisa cha binti yetu.

Nipo hospital. Nimekosa pumzi. Tuendelee kupata drip wote.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom