secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,617
- 44,477
Huyu wa kuitwa Jini mahaba ni mpuuzi sana. Kipindi fulani, baada ya kuoa alikuwa ananijia Kila siku usiku na tulikuwa tunadinyana hadi nikaenda kwa mchungaji Ili aniache, lakini yeye hakuacha kuja.
Kipindi fulani nikaja kufungwa jela. Sasa, kule sikuwa na wa kufanya naye mapenzi, ndipo nikawa natamani kufanya naye, lakini yeye wala hakutokea hadi siku nilipoachiwa huru.
Eti, baada Mimi kurudi uraiani akawa ananijia tena, nyambafu sana yaani!
Kitu usipokipenda kinakupenda, ukiwa unakipenda hakikupendi 🤔.
Kipindi fulani nikaja kufungwa jela. Sasa, kule sikuwa na wa kufanya naye mapenzi, ndipo nikawa natamani kufanya naye, lakini yeye wala hakutokea hadi siku nilipoachiwa huru.
Eti, baada Mimi kurudi uraiani akawa ananijia tena, nyambafu sana yaani!
Kitu usipokipenda kinakupenda, ukiwa unakipenda hakikupendi 🤔.