Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
Salaam Wakuu!
Naleta kwenu hii hoja, yamkini wapo wengi wanajiuliza swali kama hili. Kiukweli sina jibu, ila nimeleta huku kuna watu watasaidia kulifumbua hili.
Jambo la kujiuliza je Kuna watu waliumbwa Wanyonge na wengine kuwa na Nguvu ama Hodari, yaani ambao hawaguswi hovyo? Aidha kuwa na Nguvu za Utiisho ama za kuamuru jambo fulani kwako lisiwe tatizo kulifikia!
Kuna Nguvu za Mtu kuamuru jambo fulani lisitendeke hata kiimani likiwemo, mfano katka nguvu za Giza, ama kuwa na Ushawishi wa Kihoja mpaka unasikilizwa na kutekelezwa wazo lako.
Katika mfumo wa Dunia naamini kuna Mambo mengi saana ambayo wanadamu tunaweza kuyafanya hata kushangaza wengine. Sasa hoja yangu nifanyaje ili kupata huo Uwezo?
How can I become a Superiorman?
Ahsanteni,na Karibuni!
Naleta kwenu hii hoja, yamkini wapo wengi wanajiuliza swali kama hili. Kiukweli sina jibu, ila nimeleta huku kuna watu watasaidia kulifumbua hili.
Jambo la kujiuliza je Kuna watu waliumbwa Wanyonge na wengine kuwa na Nguvu ama Hodari, yaani ambao hawaguswi hovyo? Aidha kuwa na Nguvu za Utiisho ama za kuamuru jambo fulani kwako lisiwe tatizo kulifikia!
Kuna Nguvu za Mtu kuamuru jambo fulani lisitendeke hata kiimani likiwemo, mfano katka nguvu za Giza, ama kuwa na Ushawishi wa Kihoja mpaka unasikilizwa na kutekelezwa wazo lako.
Katika mfumo wa Dunia naamini kuna Mambo mengi saana ambayo wanadamu tunaweza kuyafanya hata kushangaza wengine. Sasa hoja yangu nifanyaje ili kupata huo Uwezo?
How can I become a Superiorman?
Ahsanteni,na Karibuni!