mkude-filbert
Member
- Jul 20, 2014
- 55
- 41
Nahitaji template kama yako hiyo ntaipataje
mkuu nowdays kwenye adsense traffics sio chochote.. kitu cha muhimu rpm. Unaweza kua na views 700 tuu na ukaingiza 10$ kwa siku.. ni tricks zako tuu.. ngoja nitakutumia live page ya adsense ambayo kwa views hata 500 na imeigiza 8$. Also cha muhimu ni kukwepa dirty traffics.ok nimecheki blog yako, kuna madhaifu mengi sana.. kwanza kwenye kiswahili matangazo hayatokei, hiyo template unayotumia hairuhusu kiswahili ili google ads zitokee.. pia inabidi uweke matangazo ya kusimama.. ni vitu vingi but cha muhimu badili hiyo template kwanza coz hapa huwezi kupata chochote.. trick nyingine zipo deep kidogo but anza na hiyo kwanza utaona mabadiliko makubwa
mkuu nowdays kwenye adsense traffics kubwa sio chochote.. kitu cha muhimu rpm. Unaweza kua na views 700 tuu na ukaingiza 10$ kwa siku.. ni tricks zako tuu.. ngoja nitakutumia live page ya adsense ambayo kwa views hata 500 na imeigiza 8$. Also cha muhimu ni kukwepa dirty traffics.
angalia hii blog ina views wachache sana kwa siku ina traffics hawafiki hata 900 kwa siku.Kuongeza ads hazitokusaidia chochote. Visits 1200 kwa siku hata hiyo 0.5 ni either mtu ameclick ad au unatudanganya.
Njia ya pekee hapo ni wewe kutafuta traffic tu, blog yako uwepachika matangazo ya ovyo mengi sana pale juu ambayo ni unnecessary, usianze kupachika ati tangaza nasi wakati hata traffic huna. Futa juu hapo sijui dr. chen sijui nani coz umeweka huku hawakulipi chochote, baki na adsense then tafuta original content na ujitangaze kwenye social media kuvutia watu. Unahitajiufikishe impressions angalau 50K+ kwenda juu kwa siku kama unataka kuona angalau hela kidogo.
Hizo 1200 hata uweke matangazo mia huchomoki
angalia hii blog ina views wachache sana kwa siku ina traffics hawafiki hata 900 kwa siku.View attachment 317260 View attachment 317257
angalia hii blog ina views wachache sana kwa siku ina traffics hawafiki hata 900 kwa siku.View attachment 317260 View attachment 317257
blog yangu ni ya I.T na ime base kwenye mambo ya computer na simu tuu. so hata matangazo ninayopata asilimia 90 ni ya computer na simu. that why nakuambia traffics kubwa sio kitu CHA MUHIMU ni rpm coz kuna wakati nilikua na update sana blog yangu(kwa sasa nimebanwa na majukumu mengine) kwa views 2000 ilikua haipungui 25$.kuna vitu vingi ma-blogger hawaelewi, also traffics za kwenye social network(facebook,twitter,instagram etc) ni dirty traffics(hazilipi chochote).Cha muhimu tafuta quality traffics, soma sana kuhusu SEO ni elimu nzuri na kubwa(ndio msingi wa haya mambo) zaidi ya hapo utateseka kutafuta traffic kubwa na kipato kitakua kidogo.Mkuu labda nipe sababu ya kuamini hizo data coz they can simply be made, kuedit html ni sekunde 30 tu.
Views 552 ni ndogo sana, unless alipata clicks nyingi, au kama sio hivyo basi matangazo ambayo anaonyesha yawe yanayolipa sana mfano kampuni ka za insurance, banks hua zinalipa sana even a single click counts. Ila blog ya udaku piga ua, sahau, $2 utahitaji impressions nyingi sana.
Thanks bro ,umezngumza vitu vya msingi sana na tayari nishaanza kuvifanyia kazi,kimsingi nahitaji sana kuongea traffic coz adszinadisplay bila matatizo,Kuongeza ads hazitokusaidia chochote. Visits 1200 kwa siku hata hiyo 0.5 ni either mtu ameclick ad au unatudanganya.
Njia ya pekee hapo ni wewe kutafuta traffic tu, blog yako uwepachika matangazo ya ovyo mengi sana pale juu ambayo ni unnecessary, usianze kupachika ati tangaza nasi wakati hata traffic huna. Futa juu hapo sijui dr. chen sijui nani coz umeweka huku hawakulipi chochote, baki na adsense then tafuta original content na ujitangaze kwenye social media kuvutia watu. Unahitajiufikishe impressions angalau 50K+ kwenda juu kwa siku kama unataka kuona angalau hela kidogo.
Hizo 1200 hata uweke matangazo mia huchomoki
CALL 0684855018 UTAIPATANahitaji template kama yako hiyo ntaipataje
Thanks broo nitafanya ivo,na nimecheki blog yakoikovzr sana,nimekapenda hakokatemplatePIA NIMEFUNGUA HIYO BLOG YAKO MBONA UMEWEKA ADS CHACHE? JITAHIDI UWEKE ADS NDANI YA POST NA MWISHO WA POST mfano>>>TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MABADILIKO YA MUUNDO WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE>>SOMA HAPA... - MTANZANIA HALISI
Napiga namba yako haipatikani,nitafute 0684855018 tuongee vizuriblog yangu ni ya I.T na ime base kwenye mambo ya computer na simu tuu. so hata matangazo ninayopata asilimia 90 ni ya computer na simu. that why nakuambia traffics kubwa sio kitu CHA MUHIMU ni rpm coz kuna wakati nilikua na update sana blog yangu(kwa sasa nimebanwa na majukumu mengine) kwa views 2000 ilikua haipungui 25$.kuna vitu vingi ma-blogger hawaelewi, also traffics za kwenye social network(facebook,twitter,instagram etc) ni dirty traffics(hazilipi chochote).Cha muhimu tafuta quality traffics, soma sana kuhusu SEO ni elimu nzuri na kubwa(ndio msingi wa haya mambo) zaidi ya hapo utateseka kutafuta traffic kubwa na kipato kitakua kidogo.
blog yangu ni ya I.T na ime base kwenye mambo ya computer na simu tuu. so hata matangazo ninayopata asilimia 90 ni ya computer na simu. that why nakuambia traffics kubwa sio kitu CHA MUHIMU ni rpm coz kuna wakati nilikua na update sana blog yangu(kwa sasa nimebanwa na majukumu mengine) kwa views 2000 ilikua haipungui 25$.kuna vitu vingi ma-blogger hawaelewi, also traffics za kwenye social network(facebook,twitter,instagram etc) ni dirty traffics(hazilipi chochote).Cha muhimu tafuta quality traffics, soma sana kuhusu SEO ni elimu nzuri na kubwa(ndio msingi wa haya mambo) zaidi ya hapo utateseka kutafuta traffic kubwa na kipato kitakua kidogo.
TATIZO HIZO BLOG ZENU ZA UDAKU NA PICHA ZA UCHI ZINAWADANGANYA.. NAKUSHAURI RUDI DARASANI SOMA SANA KUHUSU SEO.NIKUULIZE IVI MTU MWENYE BLOG YA TECHNOLOGY AU MAMBO YA AFYA UNATEGEMEA BLOG YAKE ITEMBELEWE NA HAO WATU UNAOSEMA SIJUI 10,000 AU 5000 hiyo sio kweli kadanganye wajinga. Angalia hapa tema kwenye views 100 tuu kuna dollar 1.04We jamaa nenda kadanganye watu wengine sasa maana umezidi kutunga uongo. 2000 views upate $25 Google imekua kampuni ya ndugu yako?. Hehehe Its a waste of time kubishana na wewe sababu uko tayari kudanganya kuonekana u r making money when the truth is that you are not.
je kama hapa watu 100 tuu na wameingiza dollar 1$ je watu 1000 hawawezi kuingiza dollar 10$ pia angalia hiyo rpm. Tatizo kubwa sisi watanzania ni wabishi, hatutaki kusoma, na tunapenda mambo ya ujanja ujanja. kikubwa rudi shule pia acha kudanganya jukwaa eti kuwa na views wengi ndio kupata dollar nyingi huo ni uongo mkubwa.We jamaa nenda kadanganye watu wengine sasa maana umezidi kutunga uongo. 2000 views upate $25 Google imekua kampuni ya ndugu yako?. Hehehe Its a waste of time kubishana na wewe sababu uko tayari kudanganya kuonekana u r making money when the truth is that you are not.
Kweli..... Sasa tujuze namna ya kupandisha RPMje kama hapa watu 100 tuu na wameingiza dollar 1$ je watu 1000 hawawezi kuingiza dollar 10$ pia angalia hiyo rpm. Tatizo kubwa sisi watanzania ni wabishi, hatutaki kusoma, na tunapenda mambo ya ujanja ujanja. kikubwa rudi shule pia acha kudanganya jukwaa eti kuwa na views wengi ndio kupata dollar nyingi huo ni uongo mkubwa.
View attachment 317388
We unazingua tu haupo serious unataka kuchat tu... kama upo serious nipigie 0713774746 nikueleweshe