Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,661
- 68,637
Kwahiyo unawashauri nini wanawake wenzako?
Huu uzi umekuwa wa kufungia mwaka nimecheka sana abarikiwe alofungua huu uzi
Kwahiyo unawashauri nini wanawake wenzako?
Kila mwanamke afate moyo wake maana kila moyo una mahitaji yake
Kwahiyo unawashauri nini wanawake wenzako?
Kaka hivyo hivyo na maswali yako.Nikisoma comments za hivi nakuwa na maswali sana.
Mbona ni single Mom mkuu, anamtoto mmoja wakike, kuoa mtu mwenye mtoto nikazi kubwa.
Happy new year Miss RoseNa walijijua wako mtu 3 ndani ya track 1?
Kwanza ujasiri huu wa kuweka mahusiano Yao wazi wanatoaga wapi,Sijawahi kuamini kama ukiwa na mahusiano na mtu ni lazima muonyeshe watu Kuwa mnapendana
Daah mapensiiiView attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Nifah, The Bold, Ontario ni mtu mmoja.Nakumbuka kipindi kile wewe na huyo mtalaka wako mkimpigia kampeni ontario na forex yake. Mliwaingiza chaka wengi
Unamaanisha nin wajomba sijaelewa?
Happy new bestHappy new year Miss Rose
Daktari kidogo 🤓Halafu nilitaka nikuulize we daktari kweli au?
Umetisha mwaya
Nimejikuta nakupenda gaflaUmenikumbusha kisa changu mie nyoko, mwaka 2013 si nikapata danga mie humu jf uzuri wangu mie huu si akanitambulisha kwa rafiki yake kaka mmoja hivi hatarii nikapita nae ikawa huku soja huku dokta kule mbeba box full kutupiana mipicha ya mihogo na mbususu. Nashukuru umalaya nimepunguza siku izi niko bize lkn wahusika wakisoma tu hapa wanajijua though siku izi mara nyinggi jf naingia kama guest au na hiki ki id changu fake.
Yaani kwamba mimi niingilie hali yako ya kuwa Single??Kama hamjaoana ni haki kutambulika kama single, na ndivyo inavyopaswa kuwa.
Amini unavyotaka wewe Mkuu, hakuna ubaya.
What's your point?