Nifah: Rasmi, Mimi & The Bold tumeachana

Uislamu hauruhusu Muislamu kuolewa na asiekua Muislamu, unaolewa na mtu asiekua muislamu kutakua na kheri hapo! Kwanini usifanye subra mpaka upate Mwanamme wa kiislamu mwenye kheri nawe, unaingia kwenye mapenzi na mtu usiemjua na isitoshe sio wa imani yako!

Allah akuongoze dada yangu Nifah , akujaalie upate mume mwenye kheri nawe, nakupenda kwa ajili ya Allah
 
Uislamu hauruhusu Muislamu kuolewa na asiekua Muislamu, unaolewa na mtu asiekua muislamu kutakua na kheri hapo! Kwanini usifanye subra mpaka upate Mwanamme wa kiislamu mwenye kheri nawe, unaingia kwenye mapenzi na mtu usiemjua na isitoshe sio wa imani yako!

Allah akuongoze dada yangu Nifah , akujaalie upate mume mwenye kheri nawe, nakupenda kwa ajili ya Allah
Allah??!!!! :D :D :D :D :D
 
Umenikumbusha kisa changu mie nyoko, mwaka 2013 si nikapata danga mie humu jf uzuri wangu mie huu si akanitambulisha kwa rafiki yake kaka mmoja hivi hatarii nikapita nae ikawa huku soja huku dokta kule mbeba box full kutupiana mipicha ya mihogo na mbususu. Nashukuru umalaya nimepunguza siku izi niko bize lkn wahusika wakisoma tu hapa wanajijua though siku izi mara nyinggi jf naingia kama guest au na hiki ki id changu fake.
 
Amini Babu, nampenda kiukweli kabisa.

Kweli wewe Babu yangu, mama yangu alizaliwa around hiyo miaka wakati wewe unaoa.

Ndio mimi na mkweo husema, vigezo pekee vya kupelekea kuoana ni kupendana kwa dhati nyote wawili, basi.
Si unaona nyie mmedumu? Nasi tutafuata nyayo zenu.
Amen Mjukuu 🙏

Wishing you guys all the best of lucky

Karibuni chamani 🥂
 
Umenikumbusha kisa changu mie nyoko, mwaka 2013 si nikapata danga mie humu jf uzuri wangu mie huu si akanitambulisha kwa rafiki yake kaka mmoja hivi hatarii nikapita nae ikawa huku soja huku dokta kule mbeba box full kutupiana mipicha ya mihogo na mbususu. Nashukuru umalaya nimepunguza siku izi niko bize lkn wahusika wakisoma tu hapa wanajijua though siku izi mara nyinggi jf naingia kama guest au na hiki ki id changu fake.
Hahahahahahaha ……..😂😂😂😂😂🙈🙈🙈————————
 
Naukumbuka, na nakumbuka nilivyomwambia.
Kwani kuna shida gani?
1. Ilitosha kufungua uzi na kutoa taarifa
2. Huenda ilikuwa ni makubaliano yako na mpenzi mpya ili kuondoa sintofahamu.

3. Kitendo cha kuendelea kujibizana na watu wenye maoni tofauti unatolewa kwenye RELI bila kujijua.

4. Huna uvumilivu wa kupuuzia maoni ya watu?

Unavyoendelea kujibizana unajivua nguo.

5. Najua hutajali hii post but...unajivua nguo tulia.

Kitendo cha kujibu kila swali kuna vitu utafunua ambavyo vywaweza kumsumbua Mdakuzi/Mdukuzi

Ushauri...nyamaza ukiweza
 
Umenikumbusha kisa changu mie nyoko, mwaka 2013 si nikapata danga mie humu jf uzuri wangu mie huu si akanitambulisha kwa rafiki yake kaka mmoja hivi hatarii nikapita nae ikawa huku soja huku dokta kule mbeba box full kutupiana mipicha ya mihogo na mbususu. Nashukuru umalaya nimepunguza siku izi niko bize lkn wahusika wakisoma tu hapa wanajijua though siku izi mara nyinggi jf naingia kama guest au na hiki ki id changu fake.
We ulizidi shogaaa. Mi nikiwa na mmoja ndio huyohuyo.
 
1. Ilitosha kufungua uzi na kutoa taarifa
2. Huenda ilikuwa ni makubaliano yako na mpenzi mpya ili kuondoa sintofahamu.

3. Kitendo cha kuendelea kujibizana na watu wenye maoni tofauti unatolewa kwenye RELI bila kujijua.

4. Huna uvumilivu wa kupuuzia maoni ya watu?

Unavyoendelea kujibizana unajivua nguo.

5. Najua hutajali hii post but...unajivua nguo tulia.

Kitendo cha kujibu kila swali kuna vitu utafunua ambavyo vywaweza kumsumbua Mdakuzi/Mdukuzi

Ushauri...nyamaza ukiweza
Sasa reli gani niliyotolewa jamani? Hakuna taarifa yoyote personal niliyoiweka hadi sasa.

Hakuna cha kumsumbua kaka mzuri, ananijua kuliko yeyote.
Asante.
 
Back
Top Bottom