moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,695
- 16,414
kheee tayarimtoa ushauri mbona kama umeshachelewa
kheee tayarimtoa ushauri mbona kama umeshachelewa
Hahaa watu wa usiku wa manane wanisaidie kukujibuNimechelewa nini tena? Niambie.
Sasa unataka asubiri mdagani maana mpaka hapa miezi minne imeshakata. Wachawi bwana!Unaa upi? Nimempa ushauri kwasababu ana tabia njema na anahitaji mwanaume mwema wa shoka, atakayemuongoza na kumlinda.
Akiwa na haraka hatampata kabisa na anaweza kuwa single mom.
Kuna wanaume huwa wanawapeleka wanawake katika wrong direction na wapo wanaowapeleka katika right direction ( ndoa, kujenga familia).
Hahaaa nisije kusutwakheee tayari
kumbe haya mambo yapogoView attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Mbona ni single Mom mkuu, anamtoto mmoja wakike, kuoa mtu mwenye mtoto nikazi kubwa.Unaa upi? Nimempa ushauri kwasababu ana tabia njema na anahitaji mwanaume mwema wa shoka, atakayemuongoza na kumlinda.
Akiwa na haraka hatampata kabisa na anaweza kuwa single mom.
Kuna wanaume huwa wanawapeleka wanawake katika wrong direction na wapo wanaowapeleka katika right direction ( ndoa, kujenga familia).
Hebu niambie plainly tu maana nowadays mi sikogo sana huku. Kuna kitu gani tena?Hahaa watu wa usiku wa manane wanisaidie kukujibu
2024 HoyeeeView attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Bby upo huku pia....leo huanzishi nyuzi mpya kule....🤣🤣😂Mbona wengine tulistuka zamani ni ID mbili klakini mtu mmoja tu.
Ni vyema mapenzi feki umeuwa ki feki feki.
Kumbe? Sikufahamu mkuu.Mbona ni single Mom mkuu, anamtoto mmoja wakike.
nitakutetea shoga anguHahaaa nisije kusutwa
Ila naonaga tayari
Me nitakuwa wa mwisho kuamini Nifah.View attachment 2858656
Mapenzi kama yalivyo mambo mengine yana mwanzo na mwisho pia. Ni wachache waliobarikiwa na wenye bahati katika mapenzi huishia pamoja kwa kudumu milele hadi kifo kuwatenganisha, Huku wengi wakiishia njiani na hakuna ubaya katika hilo. Ndio maisha na mapenzi…. Ni safari isiyotabirika.
Miaka kadhaa iliyopita nilipata kuingia katika mapenzi yaliyofahamika na wengi hapa jamvini.
Hivyo basi, kwa kuwa mapenzi yale hayapo tena, imeniwia vyema kurudi tena hapa kuweka hilo wazi.
Tulikuwa na malengo ya kufika mbali, lakini kutokana na kutofautiana katika mambo mengi tulishindwa hata kufikia hatua za kuyarasimisha mahusiano yetu kuwa halali.
Tulitengana rasmi mwezi August mwaka huu 2023, na kutokana na hilo pengine huenda yakawa ndio mahusiano yangu ya mwisho kuyaweka wazi.
Mapenzi ya wazi hapa yamenipa wakati mgumu kujibu mamia ya wanachama waliokuwa wakihoji endapo bado tupo pamoja, na ndio sababu kuu naweka uzi huu kuwafahamisha wote kwa pamoja, hatupo tena katika mahusiano.
Tumeachana kwa amani, na kwa dhati kabisa namtakia kheri katika maisha mapya bila ya uwepo wangu kwa aliyekuwa mwenzangu.
Nifah
Watu wanaolewa mpaka miaka 31, juzi kati hapa Kuna mwanamke katolewa mahari mil 3+ akiwa na miaka 31.Sasa unataka asubiri mdagani maana mpaka hapa miezi minne imeshakata. Wachawi bwana!
🤣🤣🤣Naona wakwe ndugu upande wa kike na kiume tumepewa taarifa.
I love JF.🤣
Nakuona advocate ukiwa kazini 😃😃nitakutetea shoga angu