OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,206
- 103,782
1. Nawezaje kuagiza trekta used toka South Afrika.
2. Ni kampuni ipi ya South Afrika ni ya uhakika kwenye kuuza hizo machine
3. Gharama ya kusafirisha mpaka Bongo inaweza kuwaje?
4.Nimeona wanauza Massey MF 290 4WD. Hizi ni MF za namna gani maana nimezoea MF 290 ni 2WD. Kuna kipindi nilichat na mzungu akaniambia ni old model hazitengenezwi tena. Vipi uimara wake hizo MF 290 4WD?
5. Asanteni