Nidhamu ya Chama: Kiini cha Kudorora Viongozi wa CCM!

Hapa Petu, Hata mimi naanza kujenga matumaini haya kwa sababu kuna kila sababu za Upinzani kuibuka washindi mwaka 2010. Mazingara ya uchaguzi ujao ni mazuri kuliko yale ya Mrema mwaka 1995... Inawezekana kabisa!

That's worry me a bit as i am not sure if opposition prepare anyone for presidency now! The opposition don't feel they can take this country 2010 even people don't believe that can happen. But believe me it can happen only if the opposition will put its mind into it. Even if they won't win, they might have significant increase of votes, which is a good thing. It can be a tight battle - only with right candidate, propaganda and agenda. They need focus, funds, strategy, agendas!

Naona CCM wao wanahatua nzuri maana kunahata minongono ya nani awe na misuguano ya hapa na pale. Upinzani kimya, unasikia majina tu! Dalili mbaya kwa upinzani hiyo! Amkeni, fungueni macho, kwani ushindi ni kuangalia opportunities na kuzikamata. There is no miracle, its all about timing!
 
.
Hapana mkuu wangu Wapinzani wanauhitaji sana Urais kwa sababu Urais ndio kila kitu. Kwa nini tunamlaumu Kikwete na sio chama wala watu wengine

Mzee, si kweli; Urais si kila kitu; ni CCM wameufanya kuwa ni kila kitu. Rais asipokuwa na Bunge upande wake si kitu. Ukiniuliza mimi nitasema wapeni Urais CCM, chukueni Bunge.. then you will know what democracy is all about.
 
Mzee Mwanakijiji,
Mzee, si kweli; Urais si kila kitu; ni CCM wameufanya kuwa ni kila kitu. Rais asipokuwa na Bunge upande wake si kitu. Ukiniuliza mimi nitasema wapeni Urais CCM, chukueni Bunge.. then you will know what democracy is all about.
Well, sio Afrika.. Mugabe huyo hapo bado ni Rais.. Kibaki huyo hapo ni rais wa Kenya na bado anafanya madudu yake kama kawaida...
Tazama nchi zote jirani yenu kila rais amekuja na lake kuwafungulia mashtaka wengine wakati yeye mwenyewe sio msafi na akiwekwa chini yeye pia hufunguliwa mashtaka, wabunge ni wale wale..
Hakuna demokrasia ya kweli Afrika mkuu wangu kila RAIS ni Mungu mdogo, bunge ni utaratibu tu unaokubalika kwa sababu hakuna Mbunge anayechaguliwa kuwakilisha wananchi au sera za chama isipokuwa uzalendo kwa chama Tawala..Hao Wabunge wachache wenye mioyo safi ndio kama kina Dr. Slaa kila siku wanatembea na roho mkononi..
 
1.
mpigafilimbi;

*Naona umejaribu kutake personal maoni yangu, unaruhusiwa kama yanakugusa kiasi hicho mpaka umeamua kuonyesha rangi zako zote. *Nakushauri urudie tena kusoma maoni yangu halafu tanabaisha chembe ya ubabe ambao utauzidi wa kwako katika kujibu hoja hizo.*Tatizo lako pia umefananisha characters, hasira zako kwa mtu anayefanana maoni na yangu umeamua kuhamishia kwangu? Sina muda wa kujitetea, lakini ukweli ni kwamba sina uhusiano na jina lingine tofauti hapa JF, siwezi kuwa na muda wa kutumia majina tofauti kwa lengo gani na kwa faida ipi hasa?

- Mkuu ni wajibu wangu kujibu au kutokujibu anything, wazazi wangu hawahusiki na wewe kutawaliwa na CCM for the last 47 years, na the fact kwamba uko about kutawaliwa tena for the next 5 years na CCm ile ile.

- Siwezi kuwatukana wazazi wako kwa sababu kwanza siwajui na hawajulikani kwamba wamewahi kulifanyia lolote taifa, kwamba eti utanitisha nisitoe maoni yangu kwa kukimbilia wazazi wangu, unapoteza muda wako bure nitanedlea kama kawaida kutoa maoni yangu tena mbadala, bila ya kuburuzwa kama treni kwa sababu amesema nani hapana hiyo ndi inaitwa utummwa wa akili, tunaukataa kutoka wka CCM sasa tusiukubali kutoka humu ndani ya JF.


2.
* Ukweli ni kitu wanasiasa wenye mlengo kama wako wasichopenda kukisikia,

- Tatiio hapa sio kusikiliza, tatizo ni kufikiri for our own na kusema wazi bila kuogopa tunayofikiria, tumeburuzwa na Mwalimu weee na sasa kuna Waalimu wengine wako pembeni kama wewe wanaosubiri tuzubae waanza yale yale ya kulazimishana, siwezi kusikiliza defeated ideas, kwamba eti njia ya kujikomboa na makucha ya CCM ni kuwatukana baadhi ya wana-CCM kwa sababu ya mawazo yao wewe sikiliza hayo, mimi simo hata siku moja kwenye hayo, Malecela, na wazee wa wastaafu wanne wa CCM hawawezi kutuamulia wananchi millioni 40 nani awe rais wetu, na wakiweza then something is very wrong na sisi wananchi wote wa Tanzania na hasa sisi JF included.

3.
na ili tuwe huru lazima tuwe wakweli, kutaka kulazimisha maoni yenu yawe ndio agenda ya Taifa ni jambo lisilovumilika, not anymore.
*Kutumia "Wazee wenu na wenzako" ni kujaribu kukuweka karibu na wale ambao unawashabikia kwa sababu zinazojulikana na wewe mwenyewe binafsi, kukutofautisha nao ni kukukosea haki Mkuu.

- Kudai umelazimishwa ni dalili za unyonge ulionao tayari kwamba mtu ndani ya CCM aksiema basi wewe unajihisi unalazimishwa, huo ni unyonge wa mawazo ndio maana hata akiandika mtu hapa huwezi ku-question kwa sababu umezoea unyonge wa kutouliza bali kukubali tu na kulaumu wazazi wa wasiokubaliana na mawazo yako, hapana mkuu CCM wape heshima kwa sababu huwawezi na huna njia kama unavyokubali mwenyewe, hakuna kiongozi wa CCM aliyelazimisha kupigiwa kura wala anything, ni mawazo yako ya kinyonge ndio yanakufanya ushindwe kuwa na alternative ya CCM, sasa unataka kutulazimisha wote tuwe kama wewe, hatuwezi mkuu hii ni bongo huru, CCM ni washindi hands down, tizama walivyobadili agenda ghafla baada ya kua kimya kwa muda mrefu sana, wakowapi Upinzani? Almost five weeks sasa tunaongelea CCM tu, hivyo ndivyo vyama vyenye kujua siasa vinavyafanya na sasa wote tunacheza mikononi mwao, siasa ni kipaji mkuu sio kuandika vizuri au kwua na elimu sana, siasa ni siasa ni an art unahitaji kipaji cha siasa kuelewa kinchoendelea bongo sasa hivi, ni kwamba CCM sasa wameweka agenda, viongozi wa upinzani wengi wako majimboni kutafuta ubunge, maana yake tumeshindwa!

4.
*Hizo hasira zako zinatokana na maoni yangu au ni majumuisho ya siku nyingi? Uongo na uzandiki uko wapi hapa?
*Hayo mambo ya ubalozini na blah blah siyajui kwa sababu sina uhusiano wowote na siasa wala ambitions za kuwa mwanasiasa, ni vyema ukataja ni jina gani lingine natumia kwani naona umeamua kuparamia!!

- Ni wewe unayeparamia sana wazazi wangu, ambao sio marais wa Tanzania, ambao wamekufikisha hapo ulipo, mimi siwezi kua na hasira na mtu nisiyemjua wala kuwajua wazazi wake, CCM wametushinda mkuu sasa unaweza kunitukana na mimi na wazazi wangu kwa sababu hiyo sina tatizo kukubali kama ulivyoanza tayari, ila ninakuhakikishia kua haitabadili anything, maana tumeshidnwa tayari.

Na sasa mpaka uchaguzi uuishe tutaongea agenda zinazowekwa na CCM tu, maana they are good at what they stand for kushinda uchaguzi na kwa mawazo haya watashinda mpaka wmisho wa dunia yetu, hatimaye nimeelewa kwa nini Mwalimu alituburuza sana wabongo, ukweli ni kwamba hatuna idea ya siasa, tunafikiri siasa ni lelemama, mkuu nitukane as much as you want na wazazi wangu pia huenda ikakusaidia kubadili mwelekeo wa taifa.

Ahsante.

William.
 
grrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!
 
a. Kuna watu ambao kwa Kikwete kuendelea kutawala wananufaika aidha personally or professionaly au kisiasa. Hivyo, endapo Kikwete hatamaliza sasa kipindi hicho kingine akaja mtu mwingine na kuunda utawala mpya kuna watu wengi ambao sitoshangaa watabwaga nje ya utawala. Hili wanaliogopa..

- Hawa wala sio wengi na wako pande zote mbili za siasa, yaani CCM na upinzani, kuna wakati walidai Mkapa agombee term ya tatu, lakini bado hawawezi kutuamulia rais wetu Tanzania awe nani, hili tunajiamulia sisi wananchi wenyewe kwa kushindwa kua na mikakati imara ya kisiasa.

- JF it is about time sasa tukasimama wenyewe, wananchi watatusikiliza kuliko hawa magarasha tulionao, yes ni magarasha kama ya karata miaka minne hakuna cha kuonyesha, na sisi wananchi ndio bure ya ghali hatuna lolote, afadhali hata JF tuna nafuu sana tena mara 100 zaidi.

- Rais Kikwete hawezi kujuzulu, hana sababu na ndani ya CCM hakuna lolote zaidi tu ya maneno maneno mengi yasiyokuwa na matendo, kiongozi wa Mtandao ni Muungwana ndiye master wao of the game, bila yeye hawana ubavu, akiwatema wamekwisha hawana ubavu hawako jeshini wala CCM, ndio maana Lowassa alinyimwa umakamu, akapewa adui Msekwa, Rostam akaondolewa uweka hazina bila taarifa na Muungwana, waulize waliokuwepo kwenye hicho kikao jinsi Rostam alivyobaki mdomo wazi! Sasa tunadanganywa na waandishi wao Mtandao, mbona hawasemi jinsi Muungwana alivyozuia hela zao kwenye mabenki?

Nasema inasikitsha sana.

FMES!
 
That's worry me a bit as i am not sure if opposition prepare anyone for presidency now! The opposition don't feel they can take this country 2010 even people don't believe that can happen. But believe me it can happen only if the opposition will put its mind into it. Even if they won't win, they might have significant increase of votes, which is a good thing. It can be a tight battle - only with right candidate, propaganda and agenda. They need focus, funds, strategy, agendas!

Naona CCM wao wanahatua nzuri maana kunahata minongono ya nani awe na misuguano ya hapa na pale. Upinzani kimya, unasikia majina tu! Dalili mbaya kwa upinzani hiyo! Amkeni, fungueni macho, kwani ushindi ni kuangalia opportunities na kuzikamata. There is no miracle, its all about timing!

- Maneno mazito sana haya mkuu, ubarikiwe maana ni reality tupu hakuna imaginations hapo!

FMES!
 
- Hawa wala sio wengi na wako pande zote mbili za siasa, yaani CCM na upinzani, kuna wakati walidai Mkapa agombee term ya tatu, lakini bado hawawezi kutuamulia rais wetu Tanzania awe nani, hili tunajiamulia sisi wananchi wenyewe kwa kushindwa kua na mikakati imara ya kisiasa.

- JF it is about time sasa tukasimama wenyewe, wananchi watatusikiliza kuliko hawa magarasha tulionao, yes ni magarasha kama ya karata miaka minne hakuna cha kuonyesha, na sisi wananchi ndio bure ya ghali hatuna lolote, afadhali hata JF tuna nafuu sana tena mara 100 zaidi.

- Rais Kikwete hawezi kujuzulu, hana sababu na ndani ya CCM hakuna lolote zaidi tu ya maneno maneno mengi yasiyokuwa na matendo, kiongozi wa Mtandao ni Muungwana ndiye master wao of the game, bila yeye hawana ubavu, akiwatema wamekwisha hawana ubavu hawako jeshini wala CCM, ndio maana Lowassa alinyimwa umakamu, akapewa adui Msekwa, Rostam akaondolewa uweka hazina bila taarifa na Muungwana, waulize waliokuwepo kwenye hicho kikao jinsi Rostam alivyobaki mdomo wazi! Sasa tunadanganywa na waandishi wao Mtandao, mbona hawasemi jinsi Muungwana alivyozuia hela zao kwenye mabenki?

Nasema inasikitsha sana.

FMES!
Very true bosi!
 
W.J.Malecela,
Malecela, na wazee wa wastaafu wanne wa CCM hawawezi kutuamulia wananchi millioni 40 nani awe rais wetu, na wakiweza then something is very wrong na sisi wananchi wote wa Tanzania na hasa sisi JF included.
Mkuu, umefunga mjadala!
 
1.

- Mkuu ni wajibu wangu kujibu au kutokujibu anything, wazazi wangu hawahusiki na wewe kutawaliwa na CCM for the last 47 years, na the fact kwamba uko about kutawaliwa tena for the next 5 years na CCm ile ile.

- Siwezi kuwatukana wazazi wako kwa sababu kwanza siwajui na hawajulikani kwamba wamewahi kulifanyia lolote taifa, kwamba eti utanitisha nisitoe maoni yangu kwa kukimbilia wazazi wangu, unapoteza muda wako bure nitanedlea kama kawaida kutoa maoni yangu tena mbadala, bila ya kuburuzwa kama treni kwa sababu amesema nani hapana hiyo ndi inaitwa utummwa wa akili, tunaukataa kutoka wka CCM sasa tusiukubali kutoka humu ndani ya JF.


2.

- Tatiio hapa sio kusikiliza, tatizo ni kufikiri for our own na kusema wazi bila kuogopa tunayofikiria, tumeburuzwa na Mwalimu weee na sasa kuna Waalimu wengine wako pembeni kama wewe wanaosubiri tuzubae waanza yale yale ya kulazimishana, siwezi kusikiliza defeated ideas, kwamba eti njia ya kujikomboa na makucha ya CCM ni kuwatukana baadhi ya wana-CCM kwa sababu ya mawazo yao wewe sikiliza hayo, mimi simo hata siku moja kwenye hayo, Malecela, na wazee wa wastaafu wanne wa CCM hawawezi kutuamulia wananchi millioni 40 nani awe rais wetu, na wakiweza then something is very wrong na sisi wananchi wote wa Tanzania na hasa sisi JF included.

3.

- Kudai umelazimishwa ni dalili za unyonge ulionao tayari kwamba mtu ndani ya CCM aksiema basi wewe unajihisi unalazimishwa, huo ni unyonge wa mawazo ndio maana hata akiandika mtu hapa huwezi ku-question kwa sababu umezoea unyonge wa kutouliza bali kukubali tu na kulaumu wazazi wa wasiokubaliana na mawazo yako, hapana mkuu CCM wape heshima kwa sababu huwawezi na huna njia kama unavyokubali mwenyewe, hakuna kiongozi wa CCM aliyelazimisha kupigiwa kura wala anything, ni mawazo yako ya kinyonge ndio yanakufanya ushindwe kuwa na alternative ya CCM, sasa unataka kutulazimisha wote tuwe kama wewe, hatuwezi mkuu hii ni bongo huru, CCM ni washindi hands down, tizama walivyobadili agenda ghafla baada ya kua kimya kwa muda mrefu sana, wakowapi Upinzani? Almost five weeks sasa tunaongelea CCM tu, hivyo ndivyo vyama vyenye kujua siasa vinavyafanya na sasa wote tunacheza mikononi mwao, siasa ni kipaji mkuu sio kuandika vizuri au kwua na elimu sana, siasa ni siasa ni an art unahitaji kipaji cha siasa kuelewa kinchoendelea bongo sasa hivi, ni kwamba CCM sasa wameweka agenda, viongozi wa upinzani wengi wako majimboni kutafuta ubunge, maana yake tumeshindwa!

4.

- Ni wewe unayeparamia sana wazazi wangu, ambao sio marais wa Tanzania, ambao wamekufikisha hapo ulipo, mimi siwezi kua na hasira na mtu nisiyemjua wala kuwajua wazazi wake, CCM wametushinda mkuu sasa unaweza kunitukana na mimi na wazazi wangu kwa sababu hiyo sina tatizo kukubali kama ulivyoanza tayari, ila ninakuhakikishia kua haitabadili anything, maana tumeshidnwa tayari.

Na sasa mpaka uchaguzi uuishe tutaongea agenda zinazowekwa na CCM tu, maana they are good at what they stand for kushinda uchaguzi na kwa mawazo haya watashinda mpaka wmisho wa dunia yetu, hatimaye nimeelewa kwa nini Mwalimu alituburuza sana wabongo, ukweli ni kwamba hatuna idea ya siasa, tunafikiri siasa ni lelemama, mkuu nitukane as much as you want na wazazi wangu pia huenda ikakusaidia kubadili mwelekeo wa taifa.

Ahsante.

William.

Mkuu William,

I salute your courage, independence of thought, analytical capability and maturity.
 
1.

- Mkuu ni wajibu wangu kujibu au kutokujibu anything, wazazi wangu hawahusiki na wewe kutawaliwa na CCM for the last 47 years, na the fact kwamba uko about kutawaliwa tena for the next 5 years na CCm ile ile.

- Siwezi kuwatukana wazazi wako kwa sababu kwanza siwajui na hawajulikani kwamba wamewahi kulifanyia lolote taifa, kwamba eti utanitisha nisitoe maoni yangu kwa kukimbilia wazazi wangu, unapoteza muda wako bure nitanedlea kama kawaida kutoa maoni yangu tena mbadala, bila ya kuburuzwa kama treni kwa sababu amesema nani hapana hiyo ndi inaitwa utummwa wa akili, tunaukataa kutoka wka CCM sasa tusiukubali kutoka humu ndani ya JF.


2.

- Tatiio hapa sio kusikiliza, tatizo ni kufikiri for our own na kusema wazi bila kuogopa tunayofikiria, tumeburuzwa na Mwalimu weee na sasa kuna Waalimu wengine wako pembeni kama wewe wanaosubiri tuzubae waanza yale yale ya kulazimishana, siwezi kusikiliza defeated ideas, kwamba eti njia ya kujikomboa na makucha ya CCM ni kuwatukana baadhi ya wana-CCM kwa sababu ya mawazo yao wewe sikiliza hayo, mimi simo hata siku moja kwenye hayo, Malecela, na wazee wa wastaafu wanne wa CCM hawawezi kutuamulia wananchi millioni 40 nani awe rais wetu, na wakiweza then something is very wrong na sisi wananchi wote wa Tanzania na hasa sisi JF included.

3.

- Kudai umelazimishwa ni dalili za unyonge ulionao tayari kwamba mtu ndani ya CCM aksiema basi wewe unajihisi unalazimishwa, huo ni unyonge wa mawazo ndio maana hata akiandika mtu hapa huwezi ku-question kwa sababu umezoea unyonge wa kutouliza bali kukubali tu na kulaumu wazazi wa wasiokubaliana na mawazo yako, hapana mkuu CCM wape heshima kwa sababu huwawezi na huna njia kama unavyokubali mwenyewe, hakuna kiongozi wa CCM aliyelazimisha kupigiwa kura wala anything, ni mawazo yako ya kinyonge ndio yanakufanya ushindwe kuwa na alternative ya CCM, sasa unataka kutulazimisha wote tuwe kama wewe, hatuwezi mkuu hii ni bongo huru, CCM ni washindi hands down, tizama walivyobadili agenda ghafla baada ya kua kimya kwa muda mrefu sana, wakowapi Upinzani? Almost five weeks sasa tunaongelea CCM tu, hivyo ndivyo vyama vyenye kujua siasa vinavyafanya na sasa wote tunacheza mikononi mwao, siasa ni kipaji mkuu sio kuandika vizuri au kwua na elimu sana, siasa ni siasa ni an art unahitaji kipaji cha siasa kuelewa kinchoendelea bongo sasa hivi, ni kwamba CCM sasa wameweka agenda, viongozi wa upinzani wengi wako majimboni kutafuta ubunge, maana yake tumeshindwa!

4.

- Ni wewe unayeparamia sana wazazi wangu, ambao sio marais wa Tanzania, ambao wamekufikisha hapo ulipo, mimi siwezi kua na hasira na mtu nisiyemjua wala kuwajua wazazi wake, CCM wametushinda mkuu sasa unaweza kunitukana na mimi na wazazi wangu kwa sababu hiyo sina tatizo kukubali kama ulivyoanza tayari, ila ninakuhakikishia kua haitabadili anything, maana tumeshidnwa tayari.

Na sasa mpaka uchaguzi uuishe tutaongea agenda zinazowekwa na CCM tu, maana they are good at what they stand for kushinda uchaguzi na kwa mawazo haya watashinda mpaka wmisho wa dunia yetu, hatimaye nimeelewa kwa nini Mwalimu alituburuza sana wabongo, ukweli ni kwamba hatuna idea ya siasa, tunafikiri siasa ni lelemama, mkuu nitukane as much as you want na wazazi wangu pia huenda ikakusaidia kubadili mwelekeo wa taifa.

Ahsante.

William.

"- Siwezi kuwatukana wazazi wako kwa sababu kwanza siwajui na hawajulikani kwamba wamewahi kulifanyia lolote taifa"
Samahani ndugu yangu William, hayo maneno yana maana gani?
 
1.

- Mkuu ni wajibu wangu kujibu au kutokujibu anything, wazazi wangu hawahusiki na wewe kutawaliwa na CCM for the last 47 years, na the fact kwamba uko about kutawaliwa tena for the next 5 years na CCm ile ile.

- Siwezi kuwatukana wazazi wako kwa sababu kwanza siwajui na hawajulikani kwamba wamewahi kulifanyia lolote taifa, kwamba eti utanitisha nisitoe maoni yangu kwa kukimbilia wazazi wangu, unapoteza muda wako bure nitanedlea kama kawaida kutoa maoni yangu tena mbadala, bila ya kuburuzwa kama treni kwa sababu amesema nani hapana hiyo ndi inaitwa utummwa wa akili, tunaukataa kutoka wka CCM sasa tusiukubali kutoka humu ndani ya JF.


2.

- Tatiio hapa sio kusikiliza, tatizo ni kufikiri for our own na kusema wazi bila kuogopa tunayofikiria, tumeburuzwa na Mwalimu weee na sasa kuna Waalimu wengine wako pembeni kama wewe wanaosubiri tuzubae waanza yale yale ya kulazimishana, siwezi kusikiliza defeated ideas, kwamba eti njia ya kujikomboa na makucha ya CCM ni kuwatukana baadhi ya wana-CCM kwa sababu ya mawazo yao wewe sikiliza hayo, mimi simo hata siku moja kwenye hayo, Malecela, na wazee wa wastaafu wanne wa CCM hawawezi kutuamulia wananchi millioni 40 nani awe rais wetu, na wakiweza then something is very wrong na sisi wananchi wote wa Tanzania na hasa sisi JF included.

3.

- Kudai umelazimishwa ni dalili za unyonge ulionao tayari kwamba mtu ndani ya CCM aksiema basi wewe unajihisi unalazimishwa, huo ni unyonge wa mawazo ndio maana hata akiandika mtu hapa huwezi ku-question kwa sababu umezoea unyonge wa kutouliza bali kukubali tu na kulaumu wazazi wa wasiokubaliana na mawazo yako, hapana mkuu CCM wape heshima kwa sababu huwawezi na huna njia kama unavyokubali mwenyewe, hakuna kiongozi wa CCM aliyelazimisha kupigiwa kura wala anything, ni mawazo yako ya kinyonge ndio yanakufanya ushindwe kuwa na alternative ya CCM, sasa unataka kutulazimisha wote tuwe kama wewe, hatuwezi mkuu hii ni bongo huru, CCM ni washindi hands down, tizama walivyobadili agenda ghafla baada ya kua kimya kwa muda mrefu sana, wakowapi Upinzani? Almost five weeks sasa tunaongelea CCM tu, hivyo ndivyo vyama vyenye kujua siasa vinavyafanya na sasa wote tunacheza mikononi mwao, siasa ni kipaji mkuu sio kuandika vizuri au kwua na elimu sana, siasa ni siasa ni an art unahitaji kipaji cha siasa kuelewa kinchoendelea bongo sasa hivi, ni kwamba CCM sasa wameweka agenda, viongozi wa upinzani wengi wako majimboni kutafuta ubunge, maana yake tumeshindwa!

4.

- Ni wewe unayeparamia sana wazazi wangu, ambao sio marais wa Tanzania, ambao wamekufikisha hapo ulipo, mimi siwezi kua na hasira na mtu nisiyemjua wala kuwajua wazazi wake, CCM wametushinda mkuu sasa unaweza kunitukana na mimi na wazazi wangu kwa sababu hiyo sina tatizo kukubali kama ulivyoanza tayari, ila ninakuhakikishia kua haitabadili anything, maana tumeshidnwa tayari.

Na sasa mpaka uchaguzi uuishe tutaongea agenda zinazowekwa na CCM tu, maana they are good at what they stand for kushinda uchaguzi na kwa mawazo haya watashinda mpaka wmisho wa dunia yetu, hatimaye nimeelewa kwa nini Mwalimu alituburuza sana wabongo, ukweli ni kwamba hatuna idea ya siasa, tunafikiri siasa ni lelemama, mkuu nitukane as much as you want na wazazi wangu pia huenda ikakusaidia kubadili mwelekeo wa taifa.

Ahsante.

William.
Unatumia nguvu kubwa sana kupingana na simple facts mkuu!!
Read aloud what you wrote and meditate. What else could you write?
Huwezi kupingana na ukweli kuwa the country is in this deep shit because of CCM and that type of thinking and hypocricy ndani ya hicho chama, kama na wewe ni sehemu yao, it's for you to judge yourself!!
I remain optimistic, this country will take a new direction soon!!
 
Last edited:
1.



- Siwezi kuwatukana wazazi wako kwa sababu kwanza siwajui na hawajulikani kwamba wamewahi kulifanyia lolote taifa.

Wazazi wangu wamekuwa wakilipa kodi siku zote ambayo mafisadi wamekuwa wakiitafuna siku zote, unataka watoe mchango gani tena?
 
Kwa ajili ya LK.. msimamo wangu ni ule ule.. angalia sana tarehe nilizoandika mambo haya.
 
Kwa maoni yangu,ile 2005, CCM hawakukosea kumteua JK, si waangalia sura na tabasamu za bashasha kwa matumaini ataitetea ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi. Kampeni za ndani ya chama mnazijua zikisaidiwa na magazeti na make belive za Adobe Photoshop, matokeo JK alipita. kuna kosa kweli hapo?.

Baada ya kuteuliwa na CCM, alizungushwa nchi nzima akiinadi ilani ya Chama Cha Mapinduzi. Wananchi wakaikubali, wakamchagua kwa kura nyingi zilizopelekea kumpa ushindi wa kishindo. Hapo jee, kuna kosa?. Kwa maoni yangu mpaka hapa hakuna makosa.

JK ameanza kazi kwa nyimbo na mapambio ya Ari Mpya,Kasi Mpya na Nguvu Mpya zikiendana na kibwagizo cha 'Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania'. Mpaka sasa, kipi kimetekelezwa katika ilani huku nyimbo za mapambio zikipunguza mdundo mwisho zimenyamaza kabisa, ndipo watu wanaanza kujiuliza hivi kuna makosa yalitendwa?.

Jibu ni hakuna makosa tangu uteuzi mpaka uchaguzi, tatizo, watu waliangalia sura, sasa ukweli wameona. kuna waliomchagua kwa imani kubwa kuwa jamaa atafanya mambo, sasa wanapingwa na butwaa kukuta tabasamu zuri ni asili yake, hata akikasirika anaonekana kama anasmile.

Waungwana wanajiuliza uwezo wake kiuongozi, kiutawala, kibusara na uono wake baada ya kutuendesha tangu alipokamata unahodha wa jahazi alipotutoa 2005, hapa alipotufikisha 2009 na swali jee 2010 aendelee kuliongoza jahazi ili kutufikisha mahali 2015 ama hapo ndio mwisho wa uwezo wake, tutafute nahodha mwingine?.

Kwa maoni yangu, nahodha kashindwa kazi, chombo kinayumba yumba, ila hakijazama, na kama nahodha ataendesha taratibu au kuamua kusimama njiani, chombo hakitazama na mwisho wa siku tutafika safari yetu salama hata kama itachukua miaka 40 njiani kama kwenye kitabu cha 'Kutoka'.

2010, tunatafuta nahodha mwingine, kwa maoni yangu, hakuna nahodha mbadala mpaka sasa, na kitakachofuatia ni bora nahodha huyu huyu alimradi hatuzami, ndio maana nimekuwa nikisema na leo ninasema tena na tena...
"Kuna wengi wamechoshwa na CCM tangu juzi, lakini kwa vile hawajaona chama mbadala mpaka kesho, basi bora waendelee kuichagua hiyo hiyo CCM mpaka keshokutwa kitakapojitokeza chama mbadala. 2010 hiyo inakuja na haya mtayashuhudia".
Bado hatujaweza kupata chama mbadala kilichojijenga kama taasisi.sana sana tumeambulia vikundi vya wapiga deal ambao wanaangalia matumbo yao tu.
 
Bado hatujaweza kupata chama mbadala kilichojijenga kama taasisi.sana sana tumeambulia vikundi vya wapiga deal ambao wanaangalia matumbo yao tu.
jingalao, Huu sio muda wa kufukua makaburi ya kikapanda kikashuka na kutafuta mchawi!, huu sasa ni muda wa kuchapa kazi tuu ,sasa kazi na hapa kazi tuu!.

Pasco
 
jingalao, Huu sio muda wa kufukua makaburi ya kikapanda kikashuka na kutafuta mchawi!, huu sasa ni muda wa kuchapa kazi tuu ,sasa kazi na hapa kazi tuu!.

Pasco

Pasco Makaburi lazima yafukuliwe tu.

lazima tuhukumiwe huko mbeleni kwa kile tunachokisema,kukiamini ama kukisimamia.

By the way lengo la kufukua 'kaburi' hili sio hilo unalolifikiria yaani "kufukua kaburi"

Lengo hapa ni mada yenyewe yenye kugusa mijadala kadhaa ya kizazi cha sasa hapa jamvini..

kuna maneno mengi kama vile TATIZO SIO MTU BALI NI MFUMO!

MARA CCM ITAMBANA MBAVU MAGUFULI n.k

sasa ni vyema mijadala ya aina ya thread hii ikawa ni endelevu.

Je kinachomfanya Magufuli ang'are ni kuachana au kuzingatia nidhamu ya Chama?

Je walichokifanya kina Mangula walizingatia ushauri mithili ya mjadala wa thread hii au walifanya kivyaovyao?

lakini pia kwa wale wa upande wa pili waulizwe Je nidhamu kwa mwenyekiti ndio kiini cha kudorora Chadema?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom