Hapa Petu, Hata mimi naanza kujenga matumaini haya kwa sababu kuna kila sababu za Upinzani kuibuka washindi mwaka 2010. Mazingara ya uchaguzi ujao ni mazuri kuliko yale ya Mrema mwaka 1995... Inawezekana kabisa!
That's worry me a bit as i am not sure if opposition prepare anyone for presidency now! The opposition don't feel they can take this country 2010 even people don't believe that can happen. But believe me it can happen only if the opposition will put its mind into it. Even if they won't win, they might have significant increase of votes, which is a good thing. It can be a tight battle - only with right candidate, propaganda and agenda. They need focus, funds, strategy, agendas!
Naona CCM wao wanahatua nzuri maana kunahata minongono ya nani awe na misuguano ya hapa na pale. Upinzani kimya, unasikia majina tu! Dalili mbaya kwa upinzani hiyo! Amkeni, fungueni macho, kwani ushindi ni kuangalia opportunities na kuzikamata. There is no miracle, its all about timing!