Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,232 113,610 Jul 12, 2012 #1 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Jul 12, 2012 #2 mmmh, leo kuna tindikali itamwagika hapa. Pole bro, ngoja nikupikie mchembe na uji wa ulezi
Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,232 113,610 Jul 12, 2012 Thread starter #3 Kongosho said: mmmh, leo kuna tindikali itamwagika hapa. Pole bro, ngoja nikupikie mchembe na uji wa ulezi Click to expand... Dada gani wewe hata hunipendi....
Kongosho said: mmmh, leo kuna tindikali itamwagika hapa. Pole bro, ngoja nikupikie mchembe na uji wa ulezi Click to expand... Dada gani wewe hata hunipendi....
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Jul 12, 2012 #4 nisipmpenda kaka kweli? Niko napika angalau upinguze hasira. Nyani Ngabu said: Dada gani wewe hata hunipendi.... Click to expand...
nisipmpenda kaka kweli? Niko napika angalau upinguze hasira. Nyani Ngabu said: Dada gani wewe hata hunipendi.... Click to expand...
Ndahani Platinum Member Jun 3, 2008 18,119 9,049 Jul 12, 2012 #5 Siku hizi hatudanganywi ila uongo ndio ukweli wenyewe
Catherine JF-Expert Member Jun 30, 2012 1,261 758 Jul 12, 2012 #6 Ukweli unauma! Ila bora uambiwe ukweli uumie then utasahau tu kuliko kudanganywa huku miaka inakatika.
Ukweli unauma! Ila bora uambiwe ukweli uumie then utasahau tu kuliko kudanganywa huku miaka inakatika.
Neylu JF-Expert Member May 28, 2012 2,938 1,842 Jul 12, 2012 #8 Mi kauongo nakapenda penda kidogo ila kasizidi sana... Nidanganye kiasi ili Mapenzi yawe muruuaaa...
felinda JF-Expert Member Jun 23, 2012 351 136 Jul 12, 2012 #10 ukidanganywa cku ukijua ukweli huwa inauma sana better uambiwe 2 ukweli