sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Nakumbuka enzi hizo nilijenga yrafiki na binti mkali acha tu, ilikuwa ni mtandao wa facebook, tulikuwa marafiki, alafu tukaja kupeana namba, hapo ndipo nilitupia ndoano na ndipo tukaingia rasmi kwenye mahusiano.
Sio siri mtoto alikuwa na kisauti flani hivi cha upole mixer aibu, akiniita mpenzi, nywele za nyuma ya kichwa zinasisimka.
Uvumilivu wa kuongea nae kenye simu na kucheki picha zake ulinishinda, ni muda sasa ulifika tukutana uso kwa uso nimshike mkono, nimkumbatie , n.k
Basi bwana tukapanga kuonana park flani ya wazi kabisa, Hio siku nilitupia pamba acha tu, mimi ndie niliewahi kufika kuandaa mazingira na kununua vinywaji maana pale park ni sehemu haina watu wengi, alipofika nikampungia mkono akaniona
Basi bwana ile kafika, bint mkali acha tu, sasa si akatabasamu bwana, ehhh meno yana ule ucnjano njao flani ivi, yani kwa zile picha za simu huez kuuona
Kiukweli nilipanga ukae hata masaaa manne ila tulikaa masaa mawili tu, kila akifungua kinywa nikiona ule unjano nakosa pozi.
Baada ya kuagana, sikuwa interested nae tena, ilibidi nidanganye tu kwamba nilikuwepo kikazi na nimondoka huo mkoa.
Sio siri mtoto alikuwa na kisauti flani hivi cha upole mixer aibu, akiniita mpenzi, nywele za nyuma ya kichwa zinasisimka.
Uvumilivu wa kuongea nae kenye simu na kucheki picha zake ulinishinda, ni muda sasa ulifika tukutana uso kwa uso nimshike mkono, nimkumbatie , n.k
Basi bwana tukapanga kuonana park flani ya wazi kabisa, Hio siku nilitupia pamba acha tu, mimi ndie niliewahi kufika kuandaa mazingira na kununua vinywaji maana pale park ni sehemu haina watu wengi, alipofika nikampungia mkono akaniona
Basi bwana ile kafika, bint mkali acha tu, sasa si akatabasamu bwana, ehhh meno yana ule ucnjano njao flani ivi, yani kwa zile picha za simu huez kuuona
Kiukweli nilipanga ukae hata masaaa manne ila tulikaa masaa mawili tu, kila akifungua kinywa nikiona ule unjano nakosa pozi.
Baada ya kuagana, sikuwa interested nae tena, ilibidi nidanganye tu kwamba nilikuwepo kikazi na nimondoka huo mkoa.