Utatu wa G Records: Kazi za Roy Bukuku, G2 na KGT katika studio ya G Records

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,014
9,883
UTATU WA G RECORDS

DJ Gulu Ramadhan Nnanji " G LOVER" alifungua studio yake, G RECORDS na kumpatia mikoba yote ya production, Roy Bukuku.

Kazi nyingi zilipikwa pale huku utambulisho wa kazi alizozitengeneza Roy ukiwa ni uzito wa midundo yake.

Mara kukawa na G2 (G mbili au G Square), kisha akaibuka KGT na baadaye, Roy akafariki na kubadili taswira nzima ya G RECORDS.

Nazileta kazi 20 zilizopikwa na "wamba" hawa wawili kutoka nyumba kubwa, G RECORDS
NGOMA KUMI ZA ROY
1. HAWAPENDI - JOH MAKINI
2. ICE CREAM- NOORAH FT SUMA LEE
3. USIKU HUU - DAZ BABA FT BLUE
4. CHUNGWA - SUMA LEE
5. MAPOZI - MR BLUE
6. SAFARI NI NDEFU - BWANA MISOSI FT SUMA LEE
7. USITOE - BIG MAN IZ FT ENIKAH
8. NIMEKUBAMBA - ENIKAH
9. SIAMINI - MATONYA
10. DAKIKA MOJA - NGWEA FT NOORAH
NGOMA KUMI ZA KGT
1. NIACHE NITEMBEE - BABY J FT CHID BENZ
2. HASIRA ZA NINI - CHID BENZ FT ALI KIBA
3. CINDERELLA - ALI KIBA
4. NI SOO - PASHA
5. NIDANGANYE - SHETTA FT DIAMOND
6. MAPENZI MATAMU - HAKEEM 5
7. MOYO - ABBY SKILLS FT KIBA
8. I'M IN LOVE - ALI COM FT KGT
9. ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO - MATONYA FT BLUE
10. ANASOMA - PICO FT FA

Roy ndiye aliyemtoa Blue. Baada ya kifo chake, Blue alipata shida sana maana alikiri kuwa Roy alimuwezea sana na baada ya kutuliza akili sana, akaona akomae na Man Walter, Sei na Dunga kwa kiasi kikubwa.
Roy alifanya kazi nyingi za Suma Lee, Abby Skills, na Mr Blue.

20% anasimulia kuwa kipindi analibishia hodi game hili aliibuka kwa Roy mpaka akachoka.

Siku moja Blue akagonga na kuwaacha akina 20 wakiwa WAMEKAA benchi. Roy akiwa ndani akauliza, nani anagonga, Blue akajibu, "Blue hapa" Roy akamwambia apite.

Siku ya pili, 20 akaona usintanie, akagonga na Roy alipouliza nani?? 20 akajibu "Blue hapa" Roy akaruhusu aingie, wakatoana nishai huko ndani.
Baada ya Wameiba pombe na Vijimambo kufanya vizuri, Roy akamchek Noorah na kumwambia kama ana ngoma nyingine aibuke watoe kitu, Noorah akafunua daftari lake la mistari na kwenda na vocals zote mpaka chorus lakini Roy akaivua Ile chorus na kumpa msanii wake afanye maunyama, ndiyo namwongelea Ismail "Suma Lee"

Roy aliacha pigo kubwa kwa WAPENDA MUZIKI lakini pia kwa mdogo wake wa damu aliyefanya naye kazi nyingi aitwaye ENIKAH.

Gulu aliwahi kulalamikiwa kuwa aliwapendelea Wazanzibar wenzake na wasanii wake wengi walidaiwa kuwa waislam, akawapa jibu jepesi tu kuwa mbona producer wake mkuu Roy alikuwa Mkristo.

KGT yeye aliendelea na Abby Skills, na Ali Kiba lakini akatuibulia Pasha na kufanya kazi nyingi na Picco Kikongwe.

Msanii gani mwingine au ngoma gani nyingine zilipikwa G2 na zimesahaulika?

Una kumbukumbu gani nyingine kuhusu G RECORDS?
LUAH
110523.
1683870050441.jpeg
1683870079288.jpeg

1683870098279.jpeg
 
Vaileth - Matonya (Roy)
Shika shika - Enika (Roy G2)
Nilikupenda - Abby Skillz ft Dully & Zahran (Roy)
Abby Skillz ft Ali Kiba & Mr. Blue - Maria (nafikiri ni Roy)
Ali Kiba ft Bob Jr & Zahran - sikuoni ( G Lover/Roy)
Gorilla killerz - Sungura na Fisi

G Records ilikuwa tishio sana kwa studio kubwa zilizokuwepo. Kina Roy na KGT waliwatikisa sana maprodusa wakongwe. Wasanii wa kuimba wengi kama sio wote walitamani kwenda G records

Enzi hizo mjadala mkuu ni HipHop (wanaorap) au bongo fleva (wanaoimba,). Nilishangaa sana Roy alipofanya ile Hawapendi ya Joh Makini, nikahisi labda Joh alikosa namna ya kuingia kwa kina P Funk ila baadae nimekuja kuwa Joh Makin ana sikio sana la kusikia beats kali
 
UTATU WA G RECORDS

DJ Gulu Ramadhan Nnanji " G LOVER" alifungua studio yake, G RECORDS na kumpatia mikoba yote ya production, Roy Bukuku.

Kazi nyingi zilipikwa pale huku utambulisho wa kazi alizozitengeneza Roy ukiwa ni uzito wa midundo yake.

Mara kukawa na G2 (G mbili au G Square), kisha akaibuka KGT na baadaye, Roy akafariki na kubadili taswira nzima ya G RECORDS.

Nazileta kazi 20 zilizopikwa na "wamba" hawa wawili kutoka nyumba kubwa, G RECORDS
NGOMA KUMI ZA ROY
1. HAWAPENDI - JOH MAKINI
2. ICE CREAM- NOORAH FT SUMA LEE
3. USIKU HUU - DAZ BABA FT BLUE
4. CHUNGWA - SUMA LEE
5. MAPOZI - MR BLUE
6. SAFARI NI NDEFU - BWANA MISOSI FT SUMA LEE
7. USITOE - BIG MAN IZ FT ENIKAH
8. NIMEKUBAMBA - ENIKAH
9. SIAMINI - MATONYA
10. DAKIKA MOJA - NGWEA FT NOORAH
NGOMA KUMI ZA KGT
1. NIACHE NITEMBEE - BABY J FT CHID BENZ
2. HASIRA ZA NINI - CHID BENZ FT ALI KIBA
3. CINDERELLA - ALI KIBA
4. NI SOO - PASHA
5. NIDANGANYE - SHETTA FT DIAMOND
6. MAPENZI MATAMU - HAKEEM 5
7. MOYO - ABBY SKILLS FT KIBA
8. I'M IN LOVE - ALI COM FT KGT
9. ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO - MATONYA FT BLUE
10. ANASOMA - PICO FT FA

Roy ndiye aliyemtoa Blue. Baada ya kifo chake, Blue alipata shida sana maana alikiri kuwa Roy alimuwezea sana na baada ya kutuliza akili sana, akaona akomae na Man Walter, Sei na Dunga kwa kiasi kikubwa.
Roy alifanya kazi nyingi za Suma Lee, Abby Skills, na Mr Blue.

20% anasimulia kuwa kipindi analibishia hodi game hili aliibuka kwa Roy mpaka akachoka.

Siku moja Blue akagonga na kuwaacha akina 20 wakiwa WAMEKAA benchi. Roy akiwa ndani akauliza, nani anagonga, Blue akajibu, "Blue hapa" Roy akamwambia apite.

Siku ya pili, 20 akaona usintanie, akagonga na Roy alipouliza nani?? 20 akajibu "Blue hapa" Roy akaruhusu aingie, wakatoana nishai huko ndani.
Baada ya Wameiba pombe na Vijimambo kufanya vizuri, Roy akamchek Noorah na kumwambia kama ana ngoma nyingine aibuke watoe kitu, Noorah akafunua daftari lake la mistari na kwenda na vocals zote mpaka chorus lakini Roy akaivua Ile chorus na kumpa msanii wake afanye maunyama, ndiyo namwongelea Ismail "Suma Lee"

Roy aliacha pigo kubwa kwa WAPENDA MUZIKI lakini pia kwa mdogo wake wa damu aliyefanya naye kazi nyingi aitwaye ENIKAH.

Gulu aliwahi kulalamikiwa kuwa aliwapendelea Wazanzibar wenzake na wasanii wake wengi walidaiwa kuwa waislam, akawapa jibu jepesi tu kuwa mbona producer wake mkuu Roy alikuwa Mkristo.

KGT yeye aliendelea na Abby Skills, na Ali Kiba lakini akatuibulia Pasha na kufanya kazi nyingi na Picco Kikongwe.

Msanii gani mwingine au ngoma gani nyingine zilipikwa G2 na zimesahaulika?

Una kumbukumbu gani nyingine kuhusu G RECORDS?
LUAH
110523.
View attachment 2618590View attachment 2618591
View attachment 2618592
Roy alikuwa mnyama hatari.

Kuna siku nimeenda naye internet cafe miaka ya 1990s Raha Towers pale, siku hizo internet unaenda kuifuata cafe.

Basi tumekaa ndani tuna browse internet, nikamkuta Roy kaingia website gani sijui, kaiunganisha keyboard ya computer imekuwa keyboard ya muziki, akawa anapiga muziki kwa kutumia keyboard ya computer.

Nilimshangaa sana yule mchizi, yani sisi tunashangaa ku browse internet yeye kashajua kupiga muziki kwa kutumia keyboard ya computer!

Rest easy soldier, you will live on through your music and the memories.
 
Roy alikuwa mnyama hatari.

Kuna siku nimeenda naye internet cafe miaka ya 1990s Raha Towers pale, siku hizo internet unaenda kuifuata cafe.

Basi tumekaa ndani tuna browse internet, nikamkuta Roy kaingia website gani sijui, kaiunganisha keyboard ya computer imekuwa keyboard ya muziki, akawa anapiga muziki kwa kutumia keyboard ya computer.

Nilimshangaa sana yule mchizi, yani sisi tunashangaa ku browse internet yeye kashajua kupiga muziki kwa kutumia keyboard ya computer!

Rest easy soldier, you will live on through your music and the memories.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Nimefurahi kuona mkongwe unawaelewa hawa viumbe
 
Roy alikuwa mnyama hatari.

Kuna siku nimeenda naye internet cafe miaka ya 1990s Raha Towers pale, siku hizo internet unaenda kuifuata cafe.

Basi tumekaa ndani tuna browse internet, nikamkuta Roy kaingia website gani sijui, kaiunganisha keyboard ya computer imekuwa keyboard ya muziki, akawa anapiga muziki kwa kutumia keyboard ya computer.

Nilimshangaa sana yule mchizi, yani sisi tunashangaa ku browse internet yeye kashajua kupiga muziki kwa kutumia keyboard ya computer!

Rest easy soldier, you will live on through your music and the memories.

Sent from my SM-S908U1 using JamiiForums mobile app
Aliwazidi ujanja wa kutumia internet.
 
Maria na nilikupen
UTATU WA G RECORDS

DJ Gulu Ramadhan Nnanji " G LOVER" alifungua studio yake, G RECORDS na kumpatia mikoba yote ya production, Roy Bukuku.

Kazi nyingi zilipikwa pale huku utambulisho wa kazi alizozitengeneza Roy ukiwa ni uzito wa midundo yake.

Mara kukawa na G2 (G mbili au G Square), kisha akaibuka KGT na baadaye, Roy akafariki na kubadili taswira nzima ya G RECORDS.

Nazileta kazi 20 zilizopikwa na "wamba" hawa wawili kutoka nyumba kubwa, G RECORDS
NGOMA KUMI ZA ROY
1. HAWAPENDI - JOH MAKINI
2. ICE CREAM- NOORAH FT SUMA LEE
3. USIKU HUU - DAZ BABA FT BLUE
4. CHUNGWA - SUMA LEE
5. MAPOZI - MR BLUE
6. SAFARI NI NDEFU - BWANA MISOSI FT SUMA LEE
7. USITOE - BIG MAN IZ FT ENIKAH
8. NIMEKUBAMBA - ENIKAH
9. SIAMINI - MATONYA
10. DAKIKA MOJA - NGWEA FT NOORAH
NGOMA KUMI ZA KGT
1. NIACHE NITEMBEE - BABY J FT CHID BENZ
2. HASIRA ZA NINI - CHID BENZ FT ALI KIBA
3. CINDERELLA - ALI KIBA
4. NI SOO - PASHA
5. NIDANGANYE - SHETTA FT DIAMOND
6. MAPENZI MATAMU - HAKEEM 5
7. MOYO - ABBY SKILLS FT KIBA
8. I'M IN LOVE - ALI COM FT KGT
9. ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO - MATONYA FT BLUE
10. ANASOMA - PICO FT FA

Roy ndiye aliyemtoa Blue. Baada ya kifo chake, Blue alipata shida sana maana alikiri kuwa Roy alimuwezea sana na baada ya kutuliza akili sana, akaona akomae na Man Walter, Sei na Dunga kwa kiasi kikubwa.
Roy alifanya kazi nyingi za Suma Lee, Abby Skills, na Mr Blue.

20% anasimulia kuwa kipindi analibishia hodi game hili aliibuka kwa Roy mpaka akachoka.

Siku moja Blue akagonga na kuwaacha akina 20 wakiwa WAMEKAA benchi. Roy akiwa ndani akauliza, nani anagonga, Blue akajibu, "Blue hapa" Roy akamwambia apite.

Siku ya pili, 20 akaona usintanie, akagonga na Roy alipouliza nani?? 20 akajibu "Blue hapa" Roy akaruhusu aingie, wakatoana nishai huko ndani.
Baada ya Wameiba pombe na Vijimambo kufanya vizuri, Roy akamchek Noorah na kumwambia kama ana ngoma nyingine aibuke watoe kitu, Noorah akafunua daftari lake la mistari na kwenda na vocals zote mpaka chorus lakini Roy akaivua Ile chorus na kumpa msanii wake afanye maunyama, ndiyo namwongelea Ismail "Suma Lee"

Roy aliacha pigo kubwa kwa WAPENDA MUZIKI lakini pia kwa mdogo wake wa damu aliyefanya naye kazi nyingi aitwaye ENIKAH.

Gulu aliwahi kulalamikiwa kuwa aliwapendelea Wazanzibar wenzake na wasanii wake wengi walidaiwa kuwa waislam, akawapa jibu jepesi tu kuwa mbona producer wake mkuu Roy alikuwa Mkristo.

KGT yeye aliendelea na Abby Skills, na Ali Kiba lakini akatuibulia Pasha na kufanya kazi nyingi na Picco Kikongwe.

Msanii gani mwingine au ngoma gani nyingine zilipikwa G2 na zimesahaulika?

Una kumbukumbu gani nyingine kuhusu G RECORDS?
LUAH
110523.
View attachment 2618590View attachment 2618591
View attachment 2618592maria na nilikupenda na nakupenda za abby skills zinanikikumbusha mbali sana enzi niko moro town pande za forest hyo ilikuwa 2003
 
[ICODE[/ICODE]UTATU WA G RECORDS

DJ Gulu Ramadhan Nnanji " G LOVER" alifungua studio yake, G RECORDS na kumpatia mikoba yote ya production, Roy Bukuku.

Kazi nyingi zilipikwa pale huku utambulisho wa kazi alizozitengeneza Roy ukiwa ni uzito wa midundo yake.

Mara kukawa na G2 (G mbili au G Square), kisha akaibuka KGT na baadaye, Roy akafariki na kubadili taswira nzima ya G RECORDS.

Nazileta kazi 20 zilizopikwa na "wamba" hawa wawili kutoka nyumba kubwa, G RECORDS
NGOMA KUMI ZA ROY
1. HAWAPENDI - JOH MAKINI
2. ICE CREAM- NOORAH FT SUMA LEE
3. USIKU HUU - DAZ BABA FT BLUE
4. CHUNGWA - SUMA LEE
5. MAPOZI - MR BLUE
6. SAFARI NI NDEFU - BWANA MISOSI FT SUMA LEE
7. USITOE - BIG MAN IZ FT ENIKAH
8. NIMEKUBAMBA - ENIKAH
9. SIAMINI - MATONYA
10. DAKIKA MOJA - NGWEA FT NOORAH
NGOMA KUMI ZA KGT
1. NIACHE NITEMBEE - BABY J FT CHID BENZ
2. HASIRA ZA NINI - CHID BENZ FT ALI KIBA
3. CINDERELLA - ALI KIBA
4. NI SOO - PASHA
5. NIDANGANYE - SHETTA FT DIAMOND
6. MAPENZI MATAMU - HAKEEM 5
7. MOYO - ABBY SKILLS FT KIBA
8. I'M IN LOVE - ALI COM FT KGT
9. ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO - MATONYA FT BLUE
10. ANASOMA - PICO FT FA

Roy ndiye aliyemtoa Blue. Baada ya kifo chake, Blue alipata shida sana maana alikiri kuwa Roy alimuwezea sana na baada ya kutuliza akili sana, akaona akomae na Man Walter, Sei na Dunga kwa kiasi kikubwa.
Roy alifanya kazi nyingi za Suma Lee, Abby Skills, na Mr Blue.

20% anasimulia kuwa kipindi analibishia hodi game hili aliibuka kwa Roy mpaka akachoka.

Siku moja Blue akagonga na kuwaacha akina 20 wakiwa WAMEKAA benchi. Roy akiwa ndani akauliza, nani anagonga, Blue akajibu, "Blue hapa" Roy akamwambia apite.

Siku ya pili, 20 akaona usintanie, akagonga na Roy alipouliza nani?? 20 akajibu "Blue hapa" Roy akaruhusu aingie, wakatoana nishai huko ndani.
Baada ya Wameiba pombe na Vijimambo kufanya vizuri, Roy akamchek Noorah na kumwambia kama ana ngoma nyingine aibuke watoe kitu, Noorah akafunua daftari lake la mistari na kwenda na vocals zote mpaka chorus lakini Roy akaivua Ile chorus na kumpa msanii wake afanye maunyama, ndiyo namwongelea Ismail "Suma Lee"

Roy aliacha pigo kubwa kwa WAPENDA MUZIKI lakini pia kwa mdogo wake wa damu aliyefanya naye kazi nyingi aitwaye ENIKAH.

Gulu aliwahi kulalamikiwa kuwa aliwapendelea Wazanzibar wenzake na wasanii wake wengi walidaiwa kuwa waislam, akawapa jibu jepesi tu kuwa mbona producer wake mkuu Roy alikuwa Mkristo.

KGT yeye aliendelea na Abby Skills, na Ali Kiba lakini akatuibulia Pasha na kufanya kazi nyingi na Picco Kikongwe.

Msanii gani mwingine au ngoma gani nyingine zilipikwa G2 na zimesahaulika?

Una kumbukumbu gani nyingine kuhusu G RECORDS?
LUAH
110523.
View attachment 2618590View attachment 2618591
View attachment 2618592

Vaileth - Matonya (Roy)
Shika shika - Enika (Roy G2)
Nilikupenda - Abby Skillz ft Dully & Zahran (Roy)
Abby Skillz ft Ali Kiba & Mr. Blue - Maria (nafikiri ni Roy)
Ali Kiba ft Bob Jr & Zahran - sikuoni ( G Lover/Roy)
Gorilla killerz - Sungura na Fisi

G Records ilikuwa tishio sana kwa studio kubwa zilizokuwepo. Kina Roy na KGT waliwatikisa sana maprodusa wakongwe. Wasanii wa kuimba wengi kama sio wote walitamani kwenda G records

Enzi hizo mjadala mkuu ni HipHop (wanaorap) au bongo fleva (wanaoimba,). Nilishangaa sana Roy alipofanya ile Hawapendi ya Joh Makini, nikahisi labda Joh alikosa namna ya kuingia kwa kina P Funk ila baadae nimekuja kuwa Joh Makin ana sikio sana la kusikia beats kali
Maria na nilikupenda hzo nyimbo zinanikumbusha mbali sana enz hzo niko moro town pande za forest mwaka 2003
 
UTATU WA G RECORDS

DJ Gulu Ramadhan Nnanji " G LOVER" alifungua studio yake, G RECORDS na kumpatia mikoba yote ya production, Roy Bukuku.

Kazi nyingi zilipikwa pale huku utambulisho wa kazi alizozitengeneza Roy ukiwa ni uzito wa midundo yake.

Mara kukawa na G2 (G mbili au G Square), kisha akaibuka KGT na baadaye, Roy akafariki na kubadili taswira nzima ya G RECORDS.

Nazileta kazi 20 zilizopikwa na "wamba" hawa wawili kutoka nyumba kubwa, G RECORDS
NGOMA KUMI ZA ROY
1. HAWAPENDI - JOH MAKINI
2. ICE CREAM- NOORAH FT SUMA LEE
3. USIKU HUU - DAZ BABA FT BLUE
4. CHUNGWA - SUMA LEE
5. MAPOZI - MR BLUE
6. SAFARI NI NDEFU - BWANA MISOSI FT SUMA LEE
7. USITOE - BIG MAN IZ FT ENIKAH
8. NIMEKUBAMBA - ENIKAH
9. SIAMINI - MATONYA
10. DAKIKA MOJA - NGWEA FT NOORAH
NGOMA KUMI ZA KGT
1. NIACHE NITEMBEE - BABY J FT CHID BENZ
2. HASIRA ZA NINI - CHID BENZ FT ALI KIBA
3. CINDERELLA - ALI KIBA
4. NI SOO - PASHA
5. NIDANGANYE - SHETTA FT DIAMOND
6. MAPENZI MATAMU - HAKEEM 5
7. MOYO - ABBY SKILLS FT KIBA
8. I'M IN LOVE - ALI COM FT KGT
9. ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO - MATONYA FT BLUE
10. ANASOMA - PICO FT FA

Roy ndiye aliyemtoa Blue. Baada ya kifo chake, Blue alipata shida sana maana alikiri kuwa Roy alimuwezea sana na baada ya kutuliza akili sana, akaona akomae na Man Walter, Sei na Dunga kwa kiasi kikubwa.
Roy alifanya kazi nyingi za Suma Lee, Abby Skills, na Mr Blue.

20% anasimulia kuwa kipindi analibishia hodi game hili aliibuka kwa Roy mpaka akachoka.

Siku moja Blue akagonga na kuwaacha akina 20 wakiwa WAMEKAA benchi. Roy akiwa ndani akauliza, nani anagonga, Blue akajibu, "Blue hapa" Roy akamwambia apite.

Siku ya pili, 20 akaona usintanie, akagonga na Roy alipouliza nani?? 20 akajibu "Blue hapa" Roy akaruhusu aingie, wakatoana nishai huko ndani.
Baada ya Wameiba pombe na Vijimambo kufanya vizuri, Roy akamchek Noorah na kumwambia kama ana ngoma nyingine aibuke watoe kitu, Noorah akafunua daftari lake la mistari na kwenda na vocals zote mpaka chorus lakini Roy akaivua Ile chorus na kumpa msanii wake afanye maunyama, ndiyo namwongelea Ismail "Suma Lee"

Roy aliacha pigo kubwa kwa WAPENDA MUZIKI lakini pia kwa mdogo wake wa damu aliyefanya naye kazi nyingi aitwaye ENIKAH.

Gulu aliwahi kulalamikiwa kuwa aliwapendelea Wazanzibar wenzake na wasanii wake wengi walidaiwa kuwa waislam, akawapa jibu jepesi tu kuwa mbona producer wake mkuu Roy alikuwa Mkristo.

KGT yeye aliendelea na Abby Skills, na Ali Kiba lakini akatuibulia Pasha na kufanya kazi nyingi na Picco Kikongwe.

Msanii gani mwingine au ngoma gani nyingine zilipikwa G2 na zimesahaulika?

Una kumbukumbu gani nyingine kuhusu G RECORDS?
LUAH
110523.
View attachment 2618590View attachment 2618591
View attachment 2618592
Roy alikuwa noma sana huyu jamaa umemaliza yote.
Hivi KGT bado anafanya production? Maana jamaa kagonga ngoma kibao kubwa lakini hata sura yake siijui.
Na si kuna kipindi roy alijiondoa akaanzisha studio yake ya G2?
Nasikia sina hakika utanisahihisha, akina bob manecky wamepita mikononi mwa roy. Maana ukisikiliza ngoma kama neira, asia na ngoma za mwanzo za manecky kama vile alikuwa anapita kwenye midundo ya roy na mabass kama yote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom