GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Jemedari Said ( Meneja wa Kipa Metacha Mnata ) mwenye 'Matatizo' sasa na Klabu yake ya Yanga SC katika Mtu ambaye huwa sisahau, najua Kukariri haraka na natunza Kumbukumbu kwa 100% Ubongoni ni Mimi GENTAMYCINE hivyo kwa 'Uwongo' wako ulioutoa leo Redioni nimeanza rasmi 'Kukupuuza' nawe japo nilikuwa nakuheshimu mno.
Kauli ya Jemedari Said EFM Mwezi Machi
" Ni kweli vipo Vilabu tena Vikubwa tu hapa nchini ukiondoa Yanga SC zinamtaka Kipa Metacha Mnata ila kupitia hapa EFM nilipo sasa niweke wazi kuwa tayari Metacha ameshasaini Mkataba wa Miaka Miwili na Yanga SC na tumemalizana rasmi Jana hivyo ni Mali ya Yanga SC sasa mpaka mwaka 2023 "
Kauli ya Jemedari Said leo June EFM
" Ukweli ni kwamba Mimi kama Meneja wake Kipa Metacha Mnata anamalizia Mkataba wake na Yanga SC na mpaka sasa hajasaini Mkataba wowote na Yanga SC sababu ni kwamba bado Yanga SC Wana Deni la Usajili wa Metacha la Msimu ujao na nimewapa Sharti Metacha hawezi Kusaini Mkataba mpya mpaka Deni lilipwe "
Hakuna Kitu nachukia kama Kudanganya na ukitaka 'nikudharau' au hata 'nikuchukie' mpaka 'nisikuheshimu' tena Wewe nidanganye au uwe Mnafiki pamoja na 'Undumilakuwili' mwingi.
Kauli ya Jemedari Said EFM Mwezi Machi
" Ni kweli vipo Vilabu tena Vikubwa tu hapa nchini ukiondoa Yanga SC zinamtaka Kipa Metacha Mnata ila kupitia hapa EFM nilipo sasa niweke wazi kuwa tayari Metacha ameshasaini Mkataba wa Miaka Miwili na Yanga SC na tumemalizana rasmi Jana hivyo ni Mali ya Yanga SC sasa mpaka mwaka 2023 "
Kauli ya Jemedari Said leo June EFM
" Ukweli ni kwamba Mimi kama Meneja wake Kipa Metacha Mnata anamalizia Mkataba wake na Yanga SC na mpaka sasa hajasaini Mkataba wowote na Yanga SC sababu ni kwamba bado Yanga SC Wana Deni la Usajili wa Metacha la Msimu ujao na nimewapa Sharti Metacha hawezi Kusaini Mkataba mpya mpaka Deni lilipwe "
Hakuna Kitu nachukia kama Kudanganya na ukitaka 'nikudharau' au hata 'nikuchukie' mpaka 'nisikuheshimu' tena Wewe nidanganye au uwe Mnafiki pamoja na 'Undumilakuwili' mwingi.