nafasi nne jumlisha moja jumla Tano waliofika kwenye interview 8000 jamani kikwete ama kweli bomu alilolitengeneza litalipuka hivi karibuni kama Lowasa alivosema sijawahi ona hata ukipga probability ya kupata kazi unajikuta haumo kabisa ukumbi ulifurika na kutapika watu
Du udom nasikia walienda watu karibia 12,000 na leo 8,000 du hatareeeeee ngoja niendelee na kilimo kwanza huko kwenye maajira balaaaaaaa
Maana ya kushort list ni nini?Only in Tanzania..........imagine managing the whole process.........what a waste
Maana ya kushort list ni nini?
Naamini kuwa wamekuja wengi lakini si kiasi hicho!!! Kwani hawa NIC hawafanyi shortlisting? Hata kama wanawapa kwanza mtihani, hiyo idadi ni kubwa mno. Kwa nafasi tano wangeita 100 halafu ndo waanze mchujo
mpaka sas tumefikia elfu8000 kuna watu wmehamishwa kwenda ukumbi mwingine hewa hamna kabisa yaani watu wanazidi kumiminika
Mi ninachoshauri, waambieni wadogo zenu wasome sana ili wasiwe kama wahasibu niliowaona last week ofisini kwetu. Nakubari kuwa waliosoma uhasibu ni wengi lakini wanaoujua ni wachache! kwa hiyo msiogope tu wingi, wengine ni kama wamesoma hakuna!
Mi nafanya kazi na international org hapa tz, tangu mwezi jana tulikuwa tunaitaji wahasibu wawili, hatukutangaza gazetini, ila tulitangaza ndani humo. tulipokea application zaidi ya 400. tukaamua kuchuja, tukatafuta wenye GPA above 3.5 ili kuwapunguza, huwezi amini tulibaki na less than 30 application! Tukaongeza kigezo cha mtu awe angalau na full Module E, tulibaki na sita tu!
Kwa hiyo jamani msilahumu sana, kwanza GPA zinawaruhusu au mnairahumu tu serikali? eti mtu ana 3.0, naye anataka aitwe NAO! si utani huu! ni hayo tu!
Jamani hii ni shida kubwa kwa wanaoomba ajira waajiri ni lini mtafanya kazi kwa weredi? this is un professional! haiwezekani nafasi tatu shortlist mnaitwa watu 600 haipo hiyo,kinachohitajika ni kufanya kazi kwa kwa kuongozwa na maadili ya Human Resource katika ajira,badilikeni jamani huu ni udhalilishaji kuwaleta watu wengi kiasi hiki wakati ambapo probability ya kuipata hata hiyo kazi yenyewe ni almost 0.001! naomba kuwakilisha wakauu.
GPA co ishu, wangap wana uper au first lakn walimeza tu na kuotea mthan wakapita? Kwanza vyuo vinadiffer ingekuwa 2nafanya mthan m1 kama necta sawa, vyuo vngne wanafavour vngne ndo hvyo? Unakuta m2 ana gpa kubwa bt he has nothng kichwani....
Sijawahi ona hali kama ya leo hapa Diamond Jubilee kwa haraka harka nikihesabu watu waliokuja kwenye interview ukumbi mzima ulijaa na ukatapika labda wizara husika ingelikuwa inahudhuria interview hizi wangelijua nichoongea hapa watu waliofika ni kama 6000 nafasi zilizotangazwa ni assistant accountant4 na internal auditor 1 hali ngumu sana jamani
Au ni walkin interview? Hata kama wameamua kusaili wote hao (manake posho ya kusaili si ya kitoto), si wangetoa ratiba! Honestly,how do u interview watu 8000! Manake hata bongo star search sio hivyo!