NSSF mwaka juzi it was the same. tulikuwa wengi mno hadi niliona kama nimepoteza nauli yangu tu na gharama za malazi na chakula kutoka ukerewe mwanza kuja dar
Wanatumia advantage ya shida zetu za ajira.
uongo huu, watu waliokuwapo ni wachache sana.Sijawahi ona hali kama ya leo hapa Diamond Jubilee kwa haraka harka nikihesabu watu waliokuja kwenye interview ukumbi mzima ulijaa na ukatapika labda wizara husika ingelikuwa inahudhuria interview hizi wangelijua nichoongea hapa watu waliofika ni kama 6000 nafasi zilizotangazwa ni assistant accountant4 na internal auditor 1 hali ngumu sana jamani