eddo
JF-Expert Member
- Mar 16, 2010
- 290
- 35
kama ni jamaa yako wa karibu sana mathalan ni kaka au dogo au undugu wowote wa karibu,its better umwambie mapema hasifanye maamuz ya kumwoa maana hivi tu ni gf wake na anamegwa kama kawa,jamaa ataletewa magonjwa then mwisho wa siku mtampoteza ndugu yenu halafu baadae uje ujute kuwa kwanini hukumwambia ishu hiyo.lakini pia kama unasita kumweleza jamaa,its better umpeleke live siku 1 akashuudie mwenyewe na afanye maamuzi mwenyewe.ni hayo tuu