AMINATA 9
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 2,120
- 641
nakuunga miguu na mikono...............tawire babaaMkuu ushauri utaupata kwenye thread flani hivi ya Bujibuji mana ni matatizo yanayofanana,kwa upande wangu kuna ushauri Afrodenz aliutoa kwamba njia nikumlengesha boyfriend wake,yaani mnajifanya mnaenda kupata moja baridi moja moto hizo sehemu bila we kumwambia chochote,so wakigongana uso kwa usoni ndo solution itapatikana.