Niamini leo kuwa ndoa ni ndoano

Niamini leo kuwa ndoa ni ndoano

msiba utakuwepo wapi na vipi kuhusu taratibu za mazishi wea here to help each other
 
nimechk sana bora nife kuliko kudhalilika

sweetbeibe wat ar u waitin for???

UNATISHIA WATU AMA SIJAELEWA LENGO LAKO
HUMU AMNA NDUGU YAKO AU HUYO BOY FRIEND WENU

UMEKUJA KUOMBA USHAURI WA KUFA
WATU WANAKUPAA MEANS UNAKATAA WHAAT????
 
Ukifa ulete taarifa

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
udhaifu mbaya sana jaman yani unywe sumu halafu??? ahahahaaaa pigania ndoa ndugu kunywa sumu ni dhahiri unaonesha udhaifu ulonao khaaaa hata kama yamekufika shingoni vip
 
Ni upumbavu huo,unywe sumu huwaache wenzako waponde raha? Nawe tupia tu hata kama haudate na mtu,atashikwa na wivu na kujua kumbe nawe huko nje unapendwa,kunywa sumu si suluisho,.
 
mbwa koko we nan alikwmbia umaaruf unataftwa jf? Huna hta haya sura mbaya
 
Sasa ni picha ukiwakuta wako x si utazimia? Na unashika simu yake ya nini? Matatizo wajitafutia mwenyewe,ungeacha kiherehere ungeumia sa ngapi? Badilika,
 
wacha kabisa dada usimpe nafasi huyo kiumbe kusababisha kuchua uhai wako.... na we mdharau vile vile fanya maisha yako kama unawatotop focus on them that alll ..mwanaume jeuri mwonyeshe kuwa unaweza bila hata yeye ,.. na usimpe papuchi yako
 
Anayetaka kunywa sumu hatangazi, alafu kwanza nikuulize ukinywa hiyo sumu unakuwa unamkomoa nani????? acha ujinga amekuwa Mungu huyo kusema bila yeye hakuna maisha????
 
Sawa tumekuelewa ila tu utuambie msiba utakuwa wapi na hapa tumchague mkusanya rambi rambi nadhani utafiti atafaa

Unywe sumu kwa mtu uliyekutana naye ukubwani dah!
 
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.

Ujinga huo

Unadhani ukinywa sumu ndo umemkomoa?

Badala ya kusepa na kusonga mbele na maisha yako wewe unawaza kutia hasara ndugu wanao na wazazi wako
 
mbwa koko we nan alikwmbia umaaruf unataftwa jf? Huna hta haya sura mbaya

Teh teh...ulijua ukitutangazia kufa tutaanza kumwaga michozi na kukubembeleza? Aah wapi....kwani sie ndugu zako? Go ahead! Tena nakushauri sumu hiyo ukanywee msituni huko usiwape tabu majirani zako ya kuanza kukuzika.....
 
nimegair kunywa. Bora n2lie2
 
mbwa koko we nan alikwmbia umaaruf unataftwa jf? Huna hta haya sura mbaya

hope ulinilenga mimi hapa nakusikitikia sijui dada au kaka!!!!! kama we ni.mdada na una sura nzuri basi mumewe angetosheka na wewe na asingeangalia wengine. Nasisitiza nenda taratibu tutakufahamu vinginevyo tuambie kule kwenye jukwaa la biashara ulimaanisha nini kusema una mke na wtto wawili.? Note ukiwa muongo uwe na kumbukumbu!
 
Back
Top Bottom