nimechk sana bora nife kuliko kudhalilika
utapata hasara 2 moja ni kwa mwenyez mungu na pili jamaa na rafk yako wataendlea kula maraha.utaipa simanz familia yako,acha kabisa unajitesa bure,cha mcng tafta mwingne kuliko kujinywea sumu[/QUOTE
jamani kama ur heart z such delicate don be too concentrated to ur hubby ot man.mafiga matatu kwako hayaepukiki ukishindwa mchepko just maintsin hata frend with benefit.ya nini kulialia na hawa watu.mwanamke wa kweli humaliza ya kwake kimyakimya bhana.ukiweza mvumilie ukishidwa tek ma advice
utapata hasara 2 moja ni kwa mwenyez mungu na pili jamaa na rafk yako wataendlea kula maraha.utaipa simanz familia yako,acha kabisa unajitesa bure,cha mcng tafta mwingne kuliko kujinywea sumu[/QUOTE
jamani kama ur heart z such delicate don be too concentrated to ur hubby ot man.mafiga matatu kwako hayaepukiki ukishindwa mchepko just maintsin hata frend with benefit.ya nini kulialia na hawa watu.mwanamke wa kweli humaliza ya kwake kimyakimya bhana.ukiweza mvumilie ukishidwa tek ma advice
Pumbafu kabisa, watu wanakuta hadi kondomu kwenye suruali zetu na bado wanakua wapole wewe kukuta picha ndio unywe sumu? ungekuwa mke wangu nadhani ungekuwa umeshakunywa sumu tangu maiaka mingi....take your heart girl and move on huyo ni wako tu
nimechk sana bora nife kuliko kudhalilika
Pumbafu kabisa, watu wanakuta hadi kondomu kwenye suruali zetu na bado wanakua wapole wewe kukuta picha ndio unywe sumu? ungekuwa mke wangu nadhani ungekuwa umeshakunywa sumu tangu maiaka mingi....take your heart girl and move on huyo ni wako tu
hapa ni usanii m2pu.
dunia ya leo kuna wa kunywa sumu kwa ajil ya kupenda?
i can not buy this thing!
wanawake wa kizazi hk?
ooh come on!
stop kidding
uzuri wa sura na umbo havitoshi. Pengine mashine sio.Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.