Niamini leo kuwa ndoa ni ndoano

Niamini leo kuwa ndoa ni ndoano

Jamani kuna uzi unasema huyu mtoa thread kafarikii
Hiv kwelii jamaniii umeamua kujiuaa kisa mumeoo japo mapenzi yanauma ungejikaza tu
 
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.

No no no, please bado tunakuhitaji jukwaani humu.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Dogo unaonekana wewe ni drama queen!!! Anyway unatuburidisha once in a while sio mbaya.
 
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.

Ujinga mkubwa, hasara ya wazazi wako na watoto wako. kunywa sumu ni udhaifu mkubwa.
 
usijiue kwasababu ya mtu, dunia tamu sn usisahau pia hapa dunian ulikuja peke yako, hukuambiwa Kuwa utamkuta huyo au kuwa alizaliwa kwa ajil yako!! dunia hii wapo weng tu watakupa raha ya nin kung'ang'ania jitu km hlo.. alafu hiyo sababu n ndogo sana, kuna watu wanaona makubwa lakin wanavyojikaza sura, huwez jua ndio wao. bibie endelea na maisha yako huku ukitafuta ukweli wa hzo picha zilivyofika..
 
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.

Du nacheka kidogo, wanaokunywa sumu hawatangazi! Wewe unatutania jamvini.
 
KUNYWA Tu SUMU. KWANI WANGAPI WAMESHAKUNYWA SUMU? Wewe SI WA KWANZA.
 
Pumbafu kabisa, watu wanakuta hadi kondomu kwenye suruali zetu na bado wanakua wapole wewe kukuta picha ndio unywe sumu? ungekuwa mke wangu nadhani ungekuwa umeshakunywa sumu tangu maiaka mingi....take your heart girl and move on huyo ni wako tu
Hahahahaaaaa,,, mbavu zangu mimi..
 
nakalili ID yako isipochangia humu ndan ndan ya wiki moja ntaamini mawili first umebadili id yako au umesha RIP
 
Kwani nimekosa nini katika hii dunia?

Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita.

Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii.

Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafiki yangu.


weeee mpendwa komea hapo yaani unywe sumu kwa ajili ya mtu hamkutoka tumbo moja

Please calm down ili upange muda wa kujua kipi ufanye!

Mshirikishe mungu zaidi
 
kunywa sumu wenzio wabaki wanatanua...tena huyo jamaa ukute hata kabla hujanywa hyo sumu ashakusahau kama alishawahi date na ww..acha ujinga
 
Back
Top Bottom