Niamini leo kuwa ndoa ni ndoano

Niamini leo kuwa ndoa ni ndoano

nimechk sana bora nife kuliko kudhalilika

Unaisi ukishakufa kwa kujiua unaenda kupata burudani uko mbinguni kuliko za hapa duniani?Ata mtu aniuzi kiasi gani ntalia ntakonda lakini sio kujitoa uhai.
 
Kila Siku Mtu Ule Wali Tu Jamani Mtu Kuna Saa Unakinai Ndivyo Inavyotekea Msi Shangae Sana Wanawake , Wakienda Test Minato Mingne Kidogo Sio Mbaya But Angalieni Mtaibiwa Utata Ndo Unako Anzia
Mapenz Yana Harbka Na Utandawazi Huu Mpaka Hatari?
 
Unanishangaza mamy,yaani unywe sumu kisa mtu asiyetambua thamani yako!
Kama umeona mmefikia mwisho kabisa kwa nini usibebe mizigo ukarudi kwenu? Au unajidanganya kuwa utakosa pa kuweka uso wako? Usihofie jamii itakuelewaje,wakikuelewa wachache wa karibu hasa wazazi inatosha.
Kuanza upya si ujinga.
 
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.

Eti umekosa nini dunia hii!? Unataka kunywa sumu? Wewe unajua nini kinaendelea kwenye hiyo dunia nyingine? Huko unazungukwa na mijoka na N'ge wenye sumu wanachoma 24hrs... Ole wako!
 
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.

Uzuri unao na unatongozwa kila kona sasa sumu ya nini? Nahisi una K. u m a tikiti maji! Ndiyo maana jamaa haon uzur wako
 
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.

Nitumie namba yako nikutumie hela ya kununulia hiyo sumu.
 
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.

We dada Evz naona una tatizo kubwa sana kila post zako unalalamika tu unahitaji kuokoa ndoa yako na si kukata tamaa kama waweza ni PM nimkanye huyo rafiki yako aache kuvuruga ndoa yako
 
Last edited by a moderator:
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.
Mmmhh......Hivi ungekuwa kwetu Kenya si ungejitia kitanzi badala ya kunywa sumu!!! Manake tusharuhusiwa kuoa hata ma bibi watatu bila idhini ya mke bora stamina yako na kuwatunza tu. Hainahaja yakunywa Sumu ongeza ma lovedavy atarudi sawa tu.
 
Na we njoo kwangu tuzini wala huna haja ya kufa kisa jamaa
 
Ni kweli mwenye azma huwa hatoi promo, mabandiko, jingo wala matangazo, mtaona kitendo tu! Kumbuka wale wachaga waliokuwa wakijifyatulia risasi kisa mapenzi na Ufo Salo akanusurika....promo haikuwepo pale ni action tu.

To LOVE is to RISK, kama ulikuwa hujui...pia...Kwa nguvu na moyo na akili mpende MUNGU sababu yeye habadiliki binadamu hubadilika, lakini si ndio kumchikia mpenda kama ujipendavyo!

Ati nini???! picha tu ndio ikutoe roho,?? si bure pana kitu kwa akili yako. Pole!

You are absolutely right, halafu kwani wanatangazaga. Unakuta maiti tu.
 
Ushaur gn mnaonip jaman?

acha usanii wewe ndo umejiunga jf juzi nini!!! mana umekuja kwa kasi unatafuta umaarufu kama wa NISHA wa bongo muvi?Wkt anaanza alifanya kila aina ya kituko ili ajulikane ila sasa kimya, SWALI we ni KE au ME?
 
Kwani nimekosa nini katika hii dunia? Kama uzuri ninao wakutosha mpaka kutongozwa kila ninapopita. Ila huyu mwenzangu kanidharau vya kutosha mana nimekuta picha za rafiki yangu kwenye simu yake jioni hii. Bora ninywe sumu nimuachie aendelee na rafk yangu.

Unastahili kujiua kabisaaaa. Umefuata nini kwenye simu ya mumeoooooo? Umeyataka mwenyewe. Yeye ni mumeo lakini simu ni ya kwake na sio yako!
 
Back
Top Bottom