duh......sikufikiria aisee...
Chibidu JF-Expert Member Dec 19, 2008 387 47 Oct 6, 2011 #22 Tanga kunani paleee....mbona mambo yanasikitisha. Tanga kunani paleee..... Mbona kila kitu kimekufa?......wagosi mpo?
Tanga kunani paleee....mbona mambo yanasikitisha. Tanga kunani paleee..... Mbona kila kitu kimekufa?......wagosi mpo?
G G. Activist JF-Expert Member Nov 3, 2010 482 125 Oct 6, 2011 #23 TRA, duh Tanangozi Iringa pale pana wanga hapo. TAMISEMI, TANGOLD hatari tupu!!! herufi hii ina laana!!!
TRA, duh Tanangozi Iringa pale pana wanga hapo. TAMISEMI, TANGOLD hatari tupu!!! herufi hii ina laana!!!
nimie JF-Expert Member Sep 9, 2011 525 103 Oct 6, 2011 #24 Tanga tanga kunani? - Wagosi wa Kaya wenyewe wakaimba!
Zimba Senior Member Jul 30, 2011 113 14 Oct 6, 2011 #25 Toa pesa,Toa m'ba, toa rushwa, toa mbwa nje, Tumia
THK DJAYZZ JF-Expert Member Sep 14, 2011 2,161 173 Oct 7, 2011 #29 Tata, Tonesha, Tisha, Tanganyika, Tingisha, Tenganisha, Tetemesha, Torosha, Tamali, Tukutu.
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 22,959 8,851 Oct 7, 2011 #30 Serio you are genius... kwahiyo hata tumbaku inaingia mkumboni siyo?? vipi tabata, tegeta na tukuyu?? Au ni kwa tunguli, tundu na tIGO tu?
Serio you are genius... kwahiyo hata tumbaku inaingia mkumboni siyo?? vipi tabata, tegeta na tukuyu?? Au ni kwa tunguli, tundu na tIGO tu?
M MagMat Member Nov 1, 2010 51 28 Oct 7, 2011 #31 Dah ni issue kweli kuna mmoja anaitwa TANO pale GGM ha ha ha?
tutaweza JF-Expert Member Oct 3, 2011 634 457 Oct 7, 2011 #32 Naombeni information. Tigo wamefanya nini? Maana nackia inatajwa ila cjui kilichojiri. Msaada wajumbe
Naombeni information. Tigo wamefanya nini? Maana nackia inatajwa ila cjui kilichojiri. Msaada wajumbe
harakat JF-Expert Member Jul 4, 2011 2,889 1,344 Oct 7, 2011 #34 tamu. tunuku, tatua , tia, tatu, tanua, toa, tayari, Taabu kwelikweli..................
Ubumuntu JF-Expert Member Oct 21, 2010 14,308 10,755 Oct 7, 2011 #37 Hmaster said: Tambwe, tot, tucta, temeke, ticts, ttcl Click to expand... Mkuu you are a genius..