Niache kumsaidia?

Niache kumsaidia?

Mvune huyo dem acha uduwanzi, mtoto genye zimemzidi we unaleta usharo hapo. Itakuja kujutia hiyo chance uliyoipata hakika. Mwanafunzi my foot... kwani una micha shule au bin adam?
 
Haki ya Mungu walai! Watu 8 unapenda sana utani! Mwwe!
Napata picha y watu wengi wanakuitaga mtani!
Haya japo hujui kabila langu nami naanza kukuita MTANI!!!!
Wanaoniita watani ni watani zangu kimakabila...na ni kaka na dada zangu nje ya JF

Mtani nikimfundisha mada hizo si nitakula mzigo jamen!!!!
Afu muonja Asali haonji mara moja! Hahahahaaa!

Kwani riprodaksheni inafundisha namna ya kula mzigo?

Sisi tulifundishwa namna ya kutambua miili yetu, kujua namna hormones zinavyofanya kazi n.k
 
miaka 30 si haba...jitahd utafanikiwa
 
Muhali gani wapendwa?
..
Hapa nimepata kigugumizi!
Kuna Msichana 1 anasoma O level, (per day school) mm na yeye ni majirani.
Huu ni mwaka wa tatu nimekua nikimsaidia kimasomo (sio kumpa hela) just namfundisha baadhi ya masomo ninayoyajua na kumpatia baadhi ya Materials niliyotumia! Nafanya hivyo kama jirani tu! Ukizingatia wazazi wake wanamlinda sanaaa! Kiasi cha kutomruhusu kwenda tuition! Ruhusa anayopata ni kuita wanafunzi wenzie na kujadiliana masomo ndani kwao! Kwa vile yeye (huyo ke) na mimi ni majirani, hapati kikwazo cha kuja home na kumfundisha. Baadhi ya siku anakuja peke yake baadhi ya siku anakuja na wenzake!
TATIZO
Ananiletea story za kimapenzi punde baada ya lecture! Sometimes mi najadili mada yeye katoa mimacho tu! Hayupo kabisaaa! Mimi nilimwambia tayari nina Mchumba!
Kiufupi simpendi (kimapenzi)! My nimpendae yuko mbali, nahisi nitashindwa kuvumilia! Sitaki kuondoa uaminifu wangu kwa wazazi wake! Nahisi sio sahihi kuwaambia wazazi wake!!!!
...
Naomba wale walimu, hata watoa huduma wengine waseme wanakabiliana vipi na issue kama hizi.
Nyote mnakaribishwa!

i wish i were Mashaxizo yaani basi tu..
 
Last edited by a moderator:
Kumbe anavaa nini msuri?

huwa anavaa kibukta ndio maana hali yake huwa si hali...kumbuka huwa anafuatwa nyumbani halafu mtoto wa kike anakuwa yupo ziro distensi huku akijilaza laza begani...

Ukimtizama jicho lake, manshallaaaah mtoto utazani kamumunya kungu la umangani, unaambiwa macho yamelegea kama kitundu cha kuvika kifungo...
 
Mashaxizo Mungu analeta neema kwa style mbalimbali hembu naomba namba yake nianze kumfundisha mimi huku chumbani kwangu,heri ya lawama kuliko fedheha
 
huwa anavaa kipukta ndio maana hali yake huwa si hali...kumbuka huwa anafuatwa nyumbani halafu mtoto wa kike anakuwa yupo ziro distensi huku akijilaza laza pegani...

Ukimtizama jicho lake, manshallaaaah mtoto utazani kamumunya kungu la umangani, unaambiwa macho yamelegea kama kitundu cha kuvika kifungo...

kipukta pekani balaa tupu hapa..
 
Ha ha ha...

Anza kumfundisha topic ya Riprodaksheni, tena tumia kitabu cha Tropiko Baioloji kina picha nzuri kweli

bila shaka hawafundishani hesabu...wasingewaza ngono.
 
Back
Top Bottom