Mashaxizo
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 6,707
- 3,355
- Thread starter
- #41
Best zoea tu! Kama dawa ya kupunguza kucheka nitafutie tu!!!
...
Kuhusu kadent kangu wewe usijali! Nimekata kabisaaa kumchekea-chekea!
Hahahahaaa!
Kwani wewe unahisi kucheka ndio tatizo????
...
Kuhusu kadent kangu wewe usijali! Nimekata kabisaaa kumchekea-chekea!
Hahahahaaa!
Kwani wewe unahisi kucheka ndio tatizo????
Hawa watoto walokuwa kwenye adolesence wanasumbua sana kwasababu ndo joto limewazidi wanakuwa na mshawasha wa kujaribu kila kitu!!We cheka cheka nae atakutia dole la macho...