ucwe na papara mkuu....ndege wataruka
Mtafutie sasa,
mwanaume mwenzenu anaadhirika huku.
Hapa hapaongelewi National constitution! Nna maana si lazima wanaume pekee ndo tum'help huyu jamaa, hata wewe wahitajika kumpa roadmap!
ngoja niwe mpole tuuuuuuuuu
Basi aje huku.
Huko wapi ?
Huku kwetu ajichagulie amtakae.
Manake Jdg ulivyonikata maini mpaka usingizi umepaa!!!
'Mtafutie sasa,
mwanaume mwenzenu anaadhirika huku.
'
puchu ndio mpango mzima
Nimeyakata ma'liver kiaje ?
Karibu daku! Mikuku, Mibata, Mimbuzi, Minini !
kwani hujajua mpaka leo type zangu? awe tu na bambataa
Hivi kwa nini nyie wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye bambataa kubwa?
Mna siri gani nyuma ya pazia?
Mnakifata kitu gani ktk hzo type za kalio?
Au ndo waganga wenu walivyowambia?
Au wana 'hit na kubamba' sana?
Au ni dhana mliyojiwekea?
Au ukimchukua mwenye wowowo kidunchu utachekwa?
Au mnataka msifiwe mkikatiza nae kitaani?
Au...??? au...??? au..???
Nipe majibu.
Daku ulikuwa umefunga Jdg?
Au ndo yaleyale ya kunywa uji wa mgonjwa?
ngoja nikupe majibu kwa mtazamo wangu binafsi.............Hivi kwa nini nyie wanaume wa siku hizi mnapenda wanawake wenye bambataa kubwa?
Mna siri gani nyuma ya pazia?
Mnakifata kitu gani ktk hzo type za kalio?
Au ndo waganga wenu walivyowambia?
Au wana 'hit na kubamba' sana?
Au ni dhana mliyojiwekea?
Au ukimchukua mwenye wowowo kidunchu utachekwa?
Au mnataka msifiwe mkikatiza nae kitaani?
Au...??? au...??? au..???
Nipe majibu.