CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,255
- 12,872
MtotoSix nahic kukuzimikia ila sifa ulizotaja sina. mie slim kama miss tz wa mwaka jana! je nina nafasi. BTW nipo single baada ya kufaulu mitego yote ya akina wakati ndio sasa, Ruhazwe JR, figganigga na wengineo. nafikiri wana chit chat wanalitambua hilo. . . asante na karibu!
Last edited by a moderator: