MBEYAILEMBO
Senior Member
- Jul 29, 2015
- 136
- 58
Wakuu msaada tutani nahitaji wimbo wa Nash mc ft Nikki Mbishi- Adimu mwenye nao aupakie hapa tuupate wana.
Akatambala upo you tube mkuu unaupataMGENI - KAPTENI KOMBA
AKATAMBALA - MAUA CHENGULA
Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Bando Ft Mr. Blue nyimbo inaitwa USWAZI utaipata kwenye site za kudownload hata you tubeJana katika pita pita zangu, alipita bodaboda mmoja kuna ngoma inapigwa mashairi yake machache yanaknivutia kuisikiliza.. Ni hip hop ile, chorus ni km mr blue hiv kama sijakosea..
Baadhi ya maneno yake.. Siwezi kuwa sahihi 100%
"Sometimes bodaboda hawali chipsi, ila wanapakia mishikaki"
"Roho mbaya haijengi, hata kiwanja haina"
Kiitikio wanasema we mtoto acha kulia lia sijui acha kufanyaje..
Nimeikuta audio mack...Bando Ft Mr. Blue nyimbo inaitwa USWAZI utaipata kwenye site za kudownload hata you tube
KaribuNimeikuta audio mack...
Shukrani saana.
Nikubebe zawadi gani!?Karibu
Zawadi ni zawadi usichague aliimba Mwinjuma Muumin.Nikubebe zawadi gani!?
"Cha dada binamu, kinyama cha hamu"Zawadi ni zawadi usichague aliimba Mwinjuma Muumin.
kula cha dada binamu ni kuchonganisha undugu"Cha dada binamu, kinyama cha hamu"
Sio ni kuukomaza dada binamu?kula cha dada binamu ni kuchonganisha undugu
Hahahaha mkigombana wanaingizwa hadi wazazi wenu. Wazazi nao wanaingilia ugomvi wa watoto wao, mtoto wa shangazi mbaya mara mtoto wa mjomba ndio mbaya. Kila mmoja anamuona wa mwenzie ndie mbayaSio ni kuukomaza dada binamu?