Natafuta sana wimbo unaitwa Tabasamu wa DJ bush Baby.
Zawadi itatolewa kwa atakaeupost hapa.
Shukrani.
HUU ULISHAPAKIWA HUMU
HIZO ZOTE ZILISHAPAKIWA HUMUOten _ a. k. a nyandindi ft chid benz
Oten _ mimi
Necessary noise _ ningetawala
mwenye hivyo vyuma chakavu tafa
Kama unao Oten Mimi naomba unitumie.Ni rahisi wewe kunitumia kuliko kupekua page moja moja mpaka pages zote 400HUU ULISHAPAKIWA HUMU
Toa namba yakoKama unao Oten Mimi naomba unitumie.Ni rahisi wewe kunitumia kuliko kupekua page moja moja mpaka pages zote 400
Yeah, ngoma zipo za kutosha uzi umeshiba inabidi memory iwe nzito kiongozi. Hahah.Dah,, huu uzi sio mchezo asee,,imebidi nirudi page za nyuma huki kusaka nyimbo mbali mbali na nimekutana nazo nyingi sana na bado sijazimaliza pages.
Kwa niaba ya wengine nasema asante sana kiongozi.Shukrani za dhati ziwaendee mkuu KIOO na wadau wengine wote
Much respekt kwako mkuu. Thanks a lot brother. We kickin' it harder.Mkuu katika pita pita huko nyuma KIOO nimekutana na ngoma yako nimeisikiza zaidi ya mara 3,, ni bonge ya nyimbo asee,, beat kali, mashairi makali, btw unajua sana mkuu
Bado nipo
Mkuu KIOO naomba nyimbo ya Fanta sujui nani kaimba.
"fanta wangu...umeamua...kuniacha peke yangu mama kwa ajili ya pesaa!!!
mwenye pesa...kanipora nawe..eeh!"
Mwingine ule wa Bob Haisa,
"Kama wanipendaaa...nipe mgongooo...nipande unibebeee...mpaka kwa mamaaa...usichoke dadaaa...nipande taratibuuu...ukinifikishaaa...nitafurahi dadaaa!!!"
Kioo wimbo wake ni upi? Weka hapa fastaDah,, huu uzi sio mchezo asee,,imebidi nirudi page za nyuma huki kusaka nyimbo mbali mbali na nimekutana nazo nyingi sana na bado sijazimaliza pages.
Shukrani za dhati ziwaendee mkuu KIOO na wadau wengine wote
Mkuu katika pita pita huko nyuma KIOO nimekutana na ngoma yako nimeisikiza zaidi ya mara 3,, ni bonge ya nyimbo asee,, beat kali, mashairi makali, btw unajua sana mkuu
Bado nipo
Naomba msaada ngoma za Fela Kuti...
Kioo wimbo wake ni upi? Weka hapa fasta
Bang Bang nk zote zile maarufu naomba weka kakaMkuu Fela kunilapo ana ngoma nyingi sana bro.