Mku au unamuongelea Chicco ngoma inaitwa 'I need some money'. Ni kwaito moja iv old school kali kutoka bondeni!!?
KIOO.

Kipindi nikiwa mtoto kuna wimbo mzee wangu alikuwa anapenda sana kuusikiliza ila nakumbuka kwa mbali sana mashairi ya ile wimbo (nadhani ule wimbo ni wa bondeni) kama hauutwi "Somebody" basi ni bahati, maana ndilo neno lilikuwa linazungumzwa sana mle.

Yale mashairi yalikuwa kama hivi, endapo nitakosea basi mwenye kuujua anisaidie.

I need somebody to love me
I need somebody to hold me x2.

Everyday, everynight. Everday in more.
I need.x2

Sauti ya mwanamke mmoja hivi baada ya hapo linafuatia biti moja dah ule wimbo sijui unaitwaje.

Msaada wakuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadau mwenye nyimbo Kati ya hizi
=Awilo wa mbeya-Ee dada
=Y.p & Y.dash ft Hussein machozi-Tupo chimbo
=Muungano cultural troupe-Mambo yako huku
 
Wadau mwenye nyimbo Kati ya hizi
=Awilo wa mbeya-Ee dada
=Y.p & Y.dash ft Hussein machozi-Tupo chimbo
=Muungano cultural troupe-Mambo yako huku

Mkaka, nimekuwekea tupo chimbo, hiyo ya Taarab Mambo yapo huku ina 23 MB inagoma ku upload.
Jamani mbona mie wimbo wangu wa shangingi/buzi limewekwa chini hamtaki kuniwekea!!!!
 

Attachments

  • YP & Ydash=Tupo Chimbo.mp3
    4.5 MB · Views: 126

Attachments

  • Monica Seka - Baye.mp3
    4.6 MB · Views: 128
  • Monica Seka=Okaman.mp3
    5 MB · Views: 117
  • MONIKA SEKA - Chilen Koe.mp3
    7 MB · Views: 107
  • MONIQUE SEKA - ADEBA.mp3
    7.1 MB · Views: 105
  • Monique Seka - Yale demin.mp3
    3.5 MB · Views: 101

Similar Discussions

Back
Top Bottom