Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,520
Hahahaha hawa je:mwigulu,nape,salma kikwete,anne makinda!
Sugu, Lema, Abwao.
Sugu, Lema, Abwao.
Siku zote kwangu namba witiri ni feki. so Magufuli, MWAKYEMBE, ZITTO, SALIMU AHAMED SALIMU sawa.
Ondoa namba 3, weka ZITTO ZUBERI KABWE. Babu amebakiza siasa za kukashfu tu hana tena sera huyo.
Ongeza na Ponda Issa Ponda
Lowasa hapana bora kumpa kura Dovutwa.
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.
Katika viongozi waliopo sasa hapa nchini kwetu haijalishi ametokea chama gani, wafuatao ndio wanaofaa kuwa rais mwaka 2015:
1. Edward Lowassa
2. John Magufuli
3. Dr. Slaa.
Wengine ni porojo tu.