VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 786
Kuna mdau kauliza je akienda Pemba atawezaje pata hii huduma? Duh wallah hadi mate yan'dondoka
Kitimoto Pemba?
Kuna mdau kauliza je akienda Pemba atawezaje pata hii huduma? Duh wallah hadi mate yan'dondoka
hahahaha mkuuu hapo kwenye red kweli?? gharama ikoje na kitimoto kilo bei gani??Nenda banana ukonga pale stendi kwanyuma! Yani kuna baa zaidi ya 400 na kila baa ina jiko la gesi kwaajili ya wakatoliki,usisahau malaya na mashoga wapo wakumwaga!
Tatizo linaloboa kunaombaomba wakutisha yani anaweza kufunulia donda alilona mpaka hamu ya wakatoliki ikaisha kabisa.
nenda savoy mkuuWakuu wazoefu wa morogoro kitimoto wapi za kufa mtu?
BAKWATA-KINONDONI
Kilo 2000 tu!
mKUU, HIYO LABDA NUSU KILO....
nenda savoy mkuu
oooh yes tena IPO tu
Ilala boma pale flat kuna mbunifu anatengeneza hadi sambusa zake!ni tamu sana ukipata muda pita pale ule mishikaki,roast,kavu na sambusa zake!
Pia nasikia kuna sehemu mburahati huko inavuma sana ingawa wadau wanasema mazingira yake mmm,na sehemu nzuri kulizo zote dar kwa sasa nenda Coco Beach!pale utapata ya kuchoma na style ambayo hutaenda kula sehemu ingine!pita pale!wameiga wale wa slip way village pale ambao wanauza kwa uzito!400mg kwa 20,000 uzungu sana pita pale Coco!utanipa habari yake!
Na mwisho pia nakupa ubunifu wako!nenda sehemu yako unayopenda!waambie waichemshe kwanza nyama ulioagiza!ikiiva!nunua safari lager moja,mimina mule na funika iendelee kuchemka na ile nyama!ile bia(mafuta) ikikauka itakuwa iko tayari!ukila ile nyama na taste yake sidhani kama utapenda kula hizo roast au kavu tena!!!
Ilala boma pale flat kuna mbunifu anatengeneza hadi sambusa zake!ni tamu sana ukipata muda pita pale ule mishikaki,roast,kavu na sambusa zake!
Pia nasikia kuna sehemu mburahati huko inavuma sana ingawa wadau wanasema mazingira yake mmm,na sehemu nzuri kulizo zote dar kwa sasa nenda Coco Beach!pale utapata ya kuchoma na style ambayo hutaenda kula sehemu ingine!pita pale!wameiga wale wa slip way village pale ambao wanauza kwa uzito!400mg kwa 20,000 uzungu sana pita pale Coco!utanipa habari yake!
Na mwisho pia nakupa ubunifu wako!nenda sehemu yako unayopenda!waambie waichemshe kwanza nyama ulioagiza!ikiiva!nunua safari lager moja,mimina mule na funika iendelee kuchemka na ile nyama!ile bia(mafuta) ikikauka itakuwa iko tayari!ukila ile nyama na taste yake sidhani kama utapenda kula hizo roast au kavu tena!!!
Naombeni kwa wale wazoefu mnijuze, ni wapi naweza pata nyama safi ya mdudu kwa ajili ya kuuburudisha mwili na roho yangu for the weekend, nimechoka sana na kazi zimenibana sana nahitaji mdudu nile nitulie hadi jumatatu.
Asanteni sana kwa wale mtakaonijuza na kwa wale mtakaokasirika nawakaribisha pia ila muache wivu
Hahahhaaaa kweli weewe Jamaaa_mbishi........haya mie nataka NOAHBado sijakuelewa, yaani unalilia kupata ukimwi (mdudu) ama? Kama ni hivyo mbona ni kazi rahisi tu. Kama unagawa tigo, anza kugawa kuanzia leo bila condomu, na kama uapenda machangu basi fanya hivyo hivyo, yaani kuanzia leo anza kutembea nao bila kinga. Kama ulikuwa unamaanisha mdudu as in mdudu jinsi tumjuavyo, basi pale Kisutu sokoni wanauza mifuko ya senene wabichi na waliokaangwa. Nafikiri nimeshakusaidia mpaka hapo.
Hahahhaaaa kweli weewe Jamaaa_mbishi........haya mie nataka NOAH