NCHABIRONDA
JF-Expert Member
- Jun 6, 2011
- 298
- 107
Hivi nyie wana jf hamjui kama kula kitimoto ni dhambi? Laaaaa!! yani mpaka mtandao wa jf sasa hivi unanuka kiti moto. Please nauomba uongozi wa jf kwa wale wote wanaotumia hiyo ki2 muwatafutie ukurasa wao mana tukikaa nao karibu wanatupaka shombo.