Ni wapi kwa Arusha ninaweza kujifunza lugha ya kichina?

Ni wapi kwa Arusha ninaweza kujifunza lugha ya kichina?

Chakorii

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
18,785
Reaction score
51,527
Habari za jioni wapendwa.ninatumaini nyote mpo salama.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.naombeni msaada wenu tafadhali.Mahali pawe ni Arusha.

Ninatanguliza shukrani za dhati🥂.
 
Habari za jioni wapendwa.ninatumaini nyote mpo salama.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wakuu.naombeni msaada wenu tafadhali.Mahali pawe ni Arusha.

Ninatanguliza shukrani za dhati🥂.
NEnda kkoo Kwa wauza mapazia, week 2 tu unagonga lugha shingshong km zote.
Wenyewe wanaimba hadi kwaya na bongo fleva na kupima uzito.
Enda kozi kkoo connection ipo
 
NEnda kkoo Kwa wauza mapazia, week 2 tu unagonga lugha shingshong km zote.
Wenyewe wanaimba hadi kwaya na bongo fleva na kupima uzito.
Enda kozi kkoo connection ipo
Kkoo ni Kariakoo?

Arusha kuna Kariakoo kumbe?
 
Hivi kumbe sina hela ya kula na sijui!Haya sawa mkuu tuko pamoja
Hivi kumbe ni chakorii?
Dah hapa nimerukia treni Kwa mbere😁.
Mi nilikua najua naongea Kwa bwegeza gani sijui.
Samehe tu hapo nikutumie Mchina akufunze lugha🤗😅😅😅
Toka chimboni kabisa
 
Hivi kumbe ni chakorii?
Dah hapa nimerukia treni Kwa mbere😁.
Mi nilikua najua naongea Kwa bwegeza gani sijui.
Samehe tu hapo nikutumie Mchina akufunze lugha🤗😅😅😅
Toka chimboni kabisa
👏
 
Back
Top Bottom