Jamani AD we na Shossi mnaharibu hii thread ambayo ni muhimu-massage ni tiba na nusu ya posts ni zenu na hazihusu massage.hahahahaha lol
haya mkuu nimekusikia dear
Jamani AD we na Shossi mnaharibu hii thread ambayo ni muhimu-massage ni tiba na nusu ya posts ni zenu na hazihusu massage.hahahahaha lol
haya mkuu nimekusikia dear
ooohh dear mbona mie na we tunachakachuagaJamani AD we na Shossi mnaharibu hii thread ambayo ni muhimu-massage ni tiba na nusu ya posts ni zenu na hazihusu massage.
Nasubiri massage hapa Pentagon.ooohh dear mbona mie na we tunachakachuaga
nyingi tu na muhimu dear..
au hii ni special kuliko zote
hahahahaha lol
we bado hujallala tu dear??
Nasubiri massage hapa Pentagon.
Hapana ni elfu 25 tu vyumba vya kawaida na kuna vyumba vina jacuzzi/sauna elfu 50,mimi hizo za 25 zinatosha kuna binti wa kitanga nimeipenda massage yake anammalizia mzungu namsubiri.hapa ni 24/7.hahahahahah lol
haya bwana lakini hapo si ghali sana dear??
au umejaa??
hahahha lol
Hapana ni elfu 25 tu vyumba vya kawaida na kuna vyumba vina jacuzzi/sauna elfu 50,mimi hizo za 25 zinatosha kuna binti wa kitanga nimeipenda massage yake anammalizia mzungu namsubiri.hapa ni 24/7.
Si unajuwa leo friday kuna club hopping/laga siwezi kuzimalizia hapa.hahahahahah lol
unavituko sana dear..
mmmhh huyo binti wa kitanga mmmhhh
itabidi niongee na klorokwin kuhusu huyo..
hahahhahahah lol
sasa si uchukue hiyo ya elfu 5o ili baada ya massage
uagize wine na uri lax kidogo au wasemaje ??
Si unajuwa leo friday kuna club hopping/laga siwezi kuzimalizia hapa.
massage za uswahilini mara unaambukizwa marazi ya ngozi, mimi faifu star bana. hizo muachie uporoto.hahahahahah lol
unavituko sana dear..
mmmhh huyo binti wa kitanga mmmhhh
itabidi niongee na klorokwin kuhusu huyo..
hahahhahahah lol
sasa si uchukue hiyo ya elfu 5o ili baada ya massage
uagize wine na uri lax kidogo au wasemaje ??
Mkuu jaribu hapo Pentagon utakuja kuniambia directions nimezitoa mwanzo wa thread tena umuulizie jasmin.massage za uswahilini mara unaambukizwa marazi ya ngozi, mimi faifu star bana. hizo muachie uporoto.
nimeiona mkuu, nalog out mazee leo niko muda finyu kichizi yaani. endelea na AD . morrowMkuu jaribu hapo Pentagon utakuja kuniambia directions nimezitoa mwanzo wa thread tena umuulizie jasmin.
Mimi au...............................?
massage za uswahilini mara unaambukizwa marazi ya ngozi, mimi faifu star bana. hizo muachie uporoto.
nimeiona mkuu, nalog out mazee leo niko muda finyu kichizi yaani. endelea na AD . morrow
Mkuu nenda pale Ferry upande wetu KIGAMBONI baada ya kuvuka tu kuna saloon mpya hiyo ni balaaa wananyoa hadi kwa MKWERE na inafanyia heavy massage nadhani hutajutia huduma yao, nimekuwa members pale for sometimes na nikawa adicted...wanajua waht they are doing...
Ile ya Mbezi Beach, ni full house, iko very very private, nayo bei yake ni 20,000 per hour, ila mhudumu mmoja tuu ambaye she is really good na very professional, viko pale visichana vingine 4, hizo dressing zao kwenye massage na massage zao, unaweza kudhani wanataka kukuibia, kwa kifupi ni kama wezi fulani wakikumassage, pia wanataka biashara nyingineHTML:
akellei, mara ya mwisho kwenda pale ni last December, hivyo its possible wamepandisha bei. Kama mahitaji yako ya massage sio full body, baada ya round about White Sands kuelekea Bagamoyo Rd. kuna mtoto wa Chiledi amefungua ki- pub na saloon, hapo ndani kuna kabinti kako very good kwenye half body massage nadhani unakalipa 5,000/= tu!Pasco wikiendi hii nimeenda hapo naona wamepandisha bei imekua 25,000/=ila sio pabaya.Asante kwa taarifa.
akellei, mara ya mwisho kwenda pale ni last December, hivyo its possible wamepandisha bei. Kama mahitaji yako ya massage sio full body, baada ya round about White Sands kuelekea Bagamoyo Rd. kuna mtoto wa Chiledi amefungua ki- pub na saloon, hapo ndani kuna kabinti kako very good kwenye half body massage nadhani unakalipa 5,000/= tu!