Anzia pale Kinondoni opposite Muslim Sec School, then mbele kidogo, BM Saloon, Morroco pale next to Zain, shuka Drive Inn opposite O/Bay Police kuna Magic Touch ya wahabeshi. Futa barabara ya Old Bagamoyo Rd, humo njia nzima utaona vibao vya matangazo ya Massage.Wakuu JF,
naomba kujuzwa sehemu ninayoweza kupata huduma ya massage nikiwa Dar. Naomba iwe ni sehemu safi yenye hadhi, siyo uchochoroni.
Magic hands sio ya wahabeshi ni ya dada wa Kilimanjaro.Anzia pale Kinondoni opposite Muslim Sec School, then mbele kidogo, BM Saloon, Morroco pale next to Zain, shuka Drive Inn opposite O/Bay Police kuna Magic Touch ya wahabeshi. Futa barabara ya Old Bagamoyo Rd, humo njia nzima utaona vibao vya matangazo ya Massage.
Fika njia panda Kawe ile round about, elekea njia ya Beach, utaona maasage mbele ya Daraja na mwisho ni kwenye hoteli ya Giraffe, wale Wachina wa massage na mambo yote ndio wamepanga pale.
Thanks Pasco, nahisi mgongo unawaka moto, ila hujasema kati ya hizo ipi bomba?sitaki tembelea zote, nataka niendeiliyo nzuri(full massage) na ni ya viwango!
Kuna massage inaitwa Pentagon unapita ile barabara inayokatiza makaburi ya kinondoni karibu na mwisho upande wa kulia,bei 25,000/- pasafi na patulivu na wanatoa huduma masaa 24 wana shift.Wakuu JF,
naomba kujuzwa sehemu ninayoweza kupata huduma ya massage nikiwa Dar. Naomba iwe ni sehemu safi yenye hadhi, siyo uchochoroni.
Kuna massage inaitwa Pentagon unapita ile barabara inayokatiza makaburi ya kinondoni karibu na mwisho upande wa kulia,bei 25,000/- pasafi na patulivu na wanatoa huduma masaa 24 wana shift.
- Ile ya Kindondoni opposite Muslim Sec. bomba sana, ina vifaa vya kisasa, na ina wadada very professional tatizo lake ni bei, nadhani full body plus scrub plus manicure na padicure ni 60,000. Massage peke yake ni 20,000, na ukiamua ya specific area tuu, kama mgongo, miguu, mikono, kichwa na mabega ni 10,000 each, duration ya full body na kila kitu to two hours, full body massage peke yake ni 1 hour, na spefic area ni 30 min.
- Ile ya BM Saloon, bei yao ni 20,000 tuu na kuna dada mmoja Mkenya, ama mikono with power of massage, tatizo lao, iko sloon, watu ni wengi sana, na massage room yao sio self contained.
- Ile ya Mbezi Beach, ni full house, iko very very private, nayo bei yake ni 20,000 per hour, ila mhudumu mmoja tuu ambaye she is really good na very professional, viko pale visichana vingine 4, hizo dressing zao kwenye massage na massage zao, unaweza kudhani wanataka kukuibia, kwa kifupi ni kama wezi fulani wakikumassage, pia wanataka biashara nyingine.
- Wale wachina pale Girraffe, wao ndio fully professiona wakitumia chinese technics za Shiantu 'touch of life', wao wana mpaka sauna na unaoga kwenye jacuzzi, bei yao ni 100,000 per hour.
ndio.Kuna vyumba vya 50,000/- pia ambavyo vina Jacuzzi/sauna baada ya massage,pale saa 5-6 usiku au 12 asubuhi ukitoka club unapata massage.Mueshimiwa Uporoto unamaanisha Mtaa wa Ngano ama?
- Ile ya Kindondoni opposite Muslim Sec. bomba sana, ina vifaa vya kisasa, na ina wadada very professional tatizo lake ni bei, nadhani full body plus scrub plus manicure na padicure ni 60,000. Massage peke yake ni 20,000, na ukiamua ya specific area tuu, kama mgongo, miguu, mikono, kichwa na mabega ni 10,000 each, duration ya full body na kila kitu to two hours, full body massage peke yake ni 1 hour, na spefic area ni 30 min.
- Ile ya BM Saloon, bei yao ni 20,000 tuu na kuna dada mmoja Mkenya, ama mikono with power of massage, tatizo lao, iko sloon, watu ni wengi sana, na massage room yao sio self contained.
- Ile ya Mbezi Beach, ni full house, iko very very private, nayo bei yake ni 20,000 per hour, ila mhudumu mmoja tuu ambaye she is really good na very professional, viko pale visichana vingine 4, hizo dressing zao kwenye massage na massage zao, unaweza kudhani wanataka kukuibia, kwa kifupi ni kama wezi fulani wakikumassage, pia wanataka biashara nyingine.
- Wale wachina pale Girraffe, wao ndio fully professiona wakitumia chinese technics za Shiantu 'touch of life', wao wana mpaka sauna na unaoga kwenye jacuzzi, bei yao ni 100,000 per hour.
karibu kwangu ni bure dear
hahaha lol
Mimi au...............................?
😛lane: nimekaribia kwako.karibu kwangu ni bure dear
hahaha lol
😛lane: nimekaribia kwako.