Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,025
- 132,770
Amri kutoka juu!.Imekuwaje mkuu
P
Amri kutoka juu!.Imekuwaje mkuu
Paskali tunahitaji uchumi wa kati au zaidi kwanza.Tumechoka na kiinimacho cha maendeleo.Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.
- SGR nchi nzima
- Umeme wa Stiggler
- Tanzania ya viwanda
- Nchi ya uchumi wa gesi
- Nchi ya uchumi wa Katie
- Tanzania Kuwa a donor country
You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.
P.![]()
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Pole sana Katto yuko hivoAmri kutoka juu!.
P
Anayetaka kuongeza sio yeye ni sisi.P,shaur yako utaitwa mchochez mwenyew kashasema hatoongeza hata dk.1
Mimi siamini kama ni Katto, naamini ni wapambe nuksi fulani wako hapo mtu kati. Maana angekuwa ni kweli ni Katto mwenyewe, saa hizi ingekuwa zamani...!.Pole sana Katto yuko hivo
Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.
- SGR nchi nzima
- Umeme wa Stiggler
- Tanzania ya viwanda
- Nchi ya uchumi wa gesi
- Nchi ya uchumi wa Katie
- Tanzania Kuwa a donor country
You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.
P.![]()
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Paskali weweeeeee...Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.
- SGR nchi nzima
- Umeme wa Stiggler
- Tanzania ya viwanda
- Nchi ya uchumi wa gesi
- Nchi ya uchumi wa Katie
- Tanzania Kuwa a donor country
You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.
P.![]()
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Ataondoka tu hata 2020 kwa ndumba za Ruangwa kama maombi yatashindwaYes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.
- SGR nchi nzima
- Umeme wa Stiggler
- Tanzania ya viwanda
- Nchi ya uchumi wa gesi
- Nchi ya uchumi wa Katie
- Tanzania Kuwa a donor country
You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.
P.![]()
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Mkuu muda mwingine uwe unaona hata aibu kidogo basiYes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.
- SGR nchi nzima
- Umeme wa Stiggler
- Tanzania ya viwanda
- Nchi ya uchumi wa gesi
- Nchi ya uchumi wa Katie
- Tanzania Kuwa a donor country
You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.
P.![]()
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Umesahau Nyerere akitangaza baraza la mawaziri, alisema fedha yuko Amir Jamal na mambo ya nchi nje yupo kijana wetu Ben, afya Aaron Chiduo
Mkuu Kichomiz, asante kwa ushauri huo, bahati mbaya sana, sisi wengine, wakati Mungu alipokuwa akituumba, mgao wa aibu ulikuwa umeisha, hivyo tukaumbwa bila ya mshipa wa aibu.Mkuu muda mwingine uwe unaona hata aibu kidogo basi
Sawa mkuu lakini hebu jaribu kubalance mambo kidogo,usiegemee sana nyumbani basiMkuu Kichomiz, asante kwa ushauri huo, bahati mbaya sana, sisi wengine, wakati Mungu alipokuwa akituumba, mgao wa aibu ulikuwa umeisha, hivyo tukaumbwa bila ya mshipa wa aibu.
P
Genge la mapambio na kusifu kulikopitiliza hadi wanachefua, kwenye kundi usimsahau Habibu Mchange. Lakini Musiba na Mchange hawaivi chungu kimoja, wanapigania ubosi wa kusifia!Bashite na yeye anachunwa pesa nyingi kijanja na wapambe wake kila Ndege mjanja hunasa kwenye Tundu Bovu, Akina Cyprian Musiba na Le mutuz na sasa kaja mshamba mwingine anaitwa Joseph Yona wanakula pesa zake kama hawana Akili nzuri, hujidai mjanja lakini hao watu wanaitafuna pesa yake kiulaini tu.
Unapima imani za watu sio bureYes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.
- SGR nchi nzima
- Umeme wa Stiggler
- Tanzania ya viwanda
- Nchi ya uchumi wa gesi
- Nchi ya uchumi wa Katie
- Tanzania Kuwa a donor country
You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.
P.![]()
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Kwahiyo hatoki?Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.
- SGR nchi nzima
- Umeme wa Stiggler
- Tanzania ya viwanda
- Nchi ya uchumi wa gesi
- Nchi ya uchumi wa Katie
- Tanzania Kuwa a donor country
You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.
P.![]()
Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
Atoke aende wapi?.Kwahiyo hatoki?
Kwani mara ya kwanza alikuwa wapi?Atoke aende wapi?.
P
R.I.pYes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
Kama kuna lolote Kati ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kweli wa nchi hi, tutaandamana mabarabarani kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.
- SGR nchi nzima
- Umeme wa Stiggler
- Tanzania ya viwanda
- Nchi ya uchumi wa gesi
- Nchi ya uchumi wa Kati
- Tanzania Kuwa a donor country
Huu mtindo wa taifa to spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, kisha huyo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. This time huyu tusimwache hadi akamilishe miradi mikubwa yake yote!.
https://www.jamiiforums.com/threads...-haja-kufanya-uchaguzi-wa-rais-2020.980346/[/
P.
Asante, pole sana, Wametulogea Katto wetu!.R.I.p