Ni wakati wenu huu tambeni

Ni wakati wenu huu tambeni

britanicca

Platinum Member
Joined
May 20, 2015
Posts
18,060
Reaction score
46,998
Nimewahi kusikia maneno kutoka kinywani Kwa Mzee wangu (Mkemia mkuu mstaafu)
Anasema Nyerere alikuwa na Udhaifu mmoja Wa kupendelea majina yale yale Kwa Kila kazi
Unasikia Yuko wapi Jakaya, utasikia John (yaan Malecela sisemi Magufuli)
Utasikia Samweli , Mara utasikia Butiku, au Warioba, na kipenzi chake saana alikuwa SALIM AHMED SALIMU
ila pamoja na kwamba aliwapendelea hakusita kuwakemea wanapofanya upuuzi

Ukaja wakati Wa Mwinyi akawaweka wote chini akaanza na Wa kwake

Ni wakati wao walitesa sana,

Wakati Wa Mkapa kuna kina Masilingi, Kina Zimbihile kina Kinyondo, kina Zombe, Kina Yona na Balali,

Wakati Wa Kikwete Kina Makamba, Kina Sadik hata Lukuvi wametamba

Awamu ya 5 ndio maajaabu kabisa imezungukwa na washamba sana

Leo hii Kina Makonda wanadhani wako juu ya sheria au ndio wenye nchi mpaka wanasahau mipaka ya kazi zao, ngoja wale mambo ndio wakati wao

Wakae wanajua mwaka 2025 kutakuwa na mwingine ambaye atakuwa na utaratibu wake
 
mwaka 2025 kutakuwa na mwingine ambaye atakuwa na utaratibu wake
Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
  1. SGR nchi nzima
  2. Umeme wa Stiggler
  3. Tanzania ya viwanda
  4. Nchi ya uchumi wa gesi
  5. Nchi ya uchumi wa Kati
  6. Tanzania Kuwa a donor country
Kama kuna lolote Kati ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kweli wa nchi hi, tutaandamana mabarabarani kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.

Huu mtindo wa taifa to spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, kisha huyo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. This time huyu tusimwache hadi akamilishe miradi mikubwa yake yote!.

https://www.jamiiforums.com/threads...-haja-kufanya-uchaguzi-wa-rais-2020.980346/[/
P.
 
Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
  1. SGR nchi nzima
  2. Umeme wa Stiggler
  3. Tanzania ya viwanda
  4. Nchi ya uchumi wa gesi
  5. Nchi ya uchumi wa Katie
  6. Tanzania Kuwa a donor country
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.

P.
Hivi unaongea ukweli au unatania?
 
Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
  1. SGR nchi nzima
  2. Umeme wa Stiggler
  3. Tanzania ya viwanda
  4. Nchi ya uchumi wa gesi
  5. Nchi ya uchumi wa Katie
  6. Tanzania Kuwa a donor country
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.

You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.

P.
Gesi ya mtwara imetelekezwa Bomba la Gesi linaoza Aridhini, korosho wamevurugwa Lindi pamesahaulika kiutalii licha ya kuwa Lango la kuwapeleka Watumwa enzi za mkoloni.

Viwanda vyote vya Pwani kufa na hata mpya vinajengwa kwa kusuasua hasa vya Bagamoyo ambavyo vilitegemea ujio wa Bandari mpya lakini Kenya na Wazee wa Lamu wamewazidi maarifa Gamboshi na hata Moshi wa Ruangwa sasa mtukufu anaipenda Bandari ya Lamu kuliko hata Bandari ya Dsm yenye kina kifupi na ni kichochoro kilichopitwa na wakati.

Uchumi wa kati haupo ununuzi wa Ndege umekwangua Akiba yote huku matunzo ya Ndege yakiwa makubwa kuliko zinachokiikingiza, Ujenzi wa Reli umegubikwa na chuki za wamiliki wa magari makubwa ya mizigo ambao wamepanga kuihujumu ikose imani ya wateja waendelee kupakia mizigo na pia mabasi ya Abiria yaendelee kula vichwa.

Paskal mayala usirahisishe vitu kirahisi hivyo hii ndiyo Tanzania zaidi ya uijuavyo hali bado ni ngumu uchumi bado upo chini maendeleo bado sana, Deni la Taifa linazidi kupaa zaidi na zaidi CCM ni ile ile hakuna unafuu wowote.
 
In some hapo na uangalie target ya bandiko, maana watu hamchelewi kusema ni kuusaka UDC!.
P

Paskal mayala inajulikans siku zote anawainda vyeo vitatu huko CCM, ukuu wa wilaya katibu Tawala na ukurugenzi lakini inaonekana magufuli kaamua kuziba masikio na macho kama hamuoni vile.
 
Kila zama na kitabu chake. Tulieni sindano za zero Bashite ziendelee kuwaingia.

Bashite na yeye anachunwa pesa nyingi kijanja na wapambe wake kila Ndege mjanja hunasa kwenye Tundu Bovu, Akina Cyprian Musiba na Le mutuz na sasa kaja mshamba mwingine anaitwa Joseph Yona wanakula pesa zake kama hawana Akili nzuri, hujidai mjanja lakini hao watu wanaitafuna pesa yake kiulaini tu.
 
Umesahau Nyerere akitangaza baraza la mawaziri, alisema fedha yuko Amir Jamal na mambo ya nje yupo kijana wetu Ben, afya Aaron Chiduo

Nyerere baraza lake lilikuwa na watu wa Tabaka zote wahindi waarabu na makabila yote, lakini huyo ndugu yako waziri wa mambo ya ndani na IGP wanatoka jimbo moja kijiji kimoja na mkuu wa majeshi anatoka wilaya ya jirani nao huku waziri wa Madini kwenye pesa zote akitoka kijijini kwao chato, tuendelee kumuombea mungu amlinde waendelee kufanya kazi kwa uadilifu wasilewe madaraka ingawa IGP yupo vizuri hana makuu anajitahidi aje kustaafu pasipo kufikishwa The Hague.
 
Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
  1. SGR nchi nzima
  2. Umeme wa Stiggler
  3. Tanzania ya viwanda
  4. Nchi ya uchumi wa gesi
  5. Nchi ya uchumi wa Katie
  6. Tanzania Kuwa a donor country
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.

You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.

P.
Unat***wewe
 
Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
  1. SGR nchi nzima
  2. Umeme wa Stiggler
  3. Tanzania ya viwanda
  4. Nchi ya uchumi wa gesi
  5. Nchi ya uchumi wa Katie
  6. Tanzania Kuwa a donor country
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.

You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.

P.
kwa hii comment yako mwezi hauishi unaenda kuchukua nafasi ya DC wa kinondoni
 
Leo hii Kina Makonda wanadhani wako juu ya sheria au ndio wenye nchi mpaka wanasahau mipaka ya kazi zao, ngoja wale mambo ndio wakati wao
Unaonekana una donge tu na Makonda
Jumeainisha vizuri tu,mtiririko jinsi viongozi walivyokua wanapendwa na hukua na tatizo
Ilipofika awamu ya tano ndipo ulipotoa linalokukereketa kuhusu Makonda
Kwai unadhani Makonda hajui kwamba 2025 kuna Rais mwingine?
 
Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
  1. SGR nchi nzima
  2. Umeme wa Stiggler
  3. Tanzania ya viwanda
  4. Nchi ya uchumi wa gesi
  5. Nchi ya uchumi wa Katie
  6. Tanzania Kuwa a donor country
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.

You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.

P.
Kumbe na wewe zumbukuku aisee
 
Unaonekana una donge tu na Makonda
Jumeainisha vizuri tu,mtiririko jinsi viongozi walivyokua wanapendwa na hukua na tatizo
Ilipofika awamu ya tano ndipo ulipotoa linalokukereketa kuhusu Makonda
Kwai unadhani Makonda hajui kwamba 2025 kuna Rais mwingine?
Hajui ilo, anahisi atamlithi yeye Magufuli au atakuwa RC wakudumu
 
Yaani pascal mayalla kweli wewe ndio uneandika hovyo kiasi hicho,umeandika kama vile ulikuwa unakimbizwa!
Punguza mihemko Bro!
Umeandika vibaya umekosea baadhi ya herufi yaani ni Aibu tupu kwa huu uandishi.

Kuhusu kuandamana hakuna mantiki hata Rais atakayefuata baada ya JPM atatekeleza ilani hivyo atapokea kijiti kwa JPM nae kuendeleza pale alipoishia.

Nani aliyewatuma kulazimisha URAIS SUGU?
Yes only if aliyepo atakuwa amekamilisha
  1. SGR nchi nzima
  2. Umeme wa Stiggler
  3. Tanzania ya viwanda
  4. Nchi ya uchumi wa gesi
  5. Nchi ya uchumi wa Katie
  6. Tanzania Kuwa a donor country
Kama kuna lolote Katie ya hayo halijakamilika, wananchi wazalendo wa Kelli wa nchi hi, tutaandamana mabarabari kushinikiza katiba ibadilishwe, kile kipengele cha ukomo kiondolewe, huyu bwana aongezwe as much time as it takes kuikamilisha.

You mtindo wa taifa UK spend millions mfano kwenye katiba, na kuachia katikati kwa matumaini anayefuatia atamalizia, keisha hugo anayefuata anasema sio agenda yake, it's not good at all. Huyu tusimwache Hadi akamilishe.

P.
 
Ki ukweli niilpoona suala la Makonda kule Twitter, sikuamini, hadi nikaamua kwenda kwenye akaunti yake kuthibitisha!!

Vidole vikagoma kuandika hata sentensi moja kuhusu sakata husika hadi ninapoandika hivi sasa!!

Sikuamini!

Ajabu zaidi ni pale nilipoingia JF! Yaani Wafuasi wa Magufuli nikakuta wanatoka povu eti Idrisa amemvunjia heshima rais!! Ukiangalia ingawaje Idris amefanya photoshop, unaona picha husika haina hata chembe ya udhalilishaji!

Nikabaki kujiuliza hawa ndugu zetu kinachowafanya wa-panic ni kipi hasa!

Hata hivyo, sikushangaa sana manake nililo na uhakika ni kwamba, kuna wanaume wakiona JPM ameguswa kidogo tu, basi huwa wanaumia zaidi kuliko hata anavyoumia mama Janeth mwenyewe!
 
Back
Top Bottom