Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,482
- 7,459
Mbona hueleweki na unajichanganya mkuu. Kwa mujibu wa post yako hii, Zanzibar inatawaliwa, sasa nchi inayotawaliwa inawezaje kujipendelea?Hivi ni lini Zanzibar itajitangazia uhuru wake kamili na kujitegemea kwa 100%?
Mimi naona kama huu Muungano unawapendelea zaidi kuliko sisi! Haiwezekani tuna nchi ya Tanzania na Zanzibar, huku Tanganyika ikiwa haijulikani ilipo!