Inapotokea tangazo la kazi/ajira Nchini kwa maana ya huku bara tunafanya application ya tangazo husika kwa kuzingatia vigezo vya umri miaka 18 hadi 45 sifa nyingine ni kuwa mtanzania kuwa na vyeti na mambo kama hayo. So kwa kawaida watanzania wote wenye sifa na vigezo kulingana na tangazo husika tunaomba nafasi hizo.
Ila kumekuwa na utofauti zanzibar
Kwa maana linapotokea tangazo lakazi kina kuwa na vigezo vya ziada kama kitambulisho cha mkazi je hapa shida inakuwa ni nini ikiwa bara zikitangazwa nafasi za kaz tunaomba wote ikiwa tu ni watanzania na je shida ikowap upande wa zanzibar waombe wenye vitambulisho vya kule tu 🤔😭
Ila kumekuwa na utofauti zanzibar
Kwa maana linapotokea tangazo lakazi kina kuwa na vigezo vya ziada kama kitambulisho cha mkazi je hapa shida inakuwa ni nini ikiwa bara zikitangazwa nafasi za kaz tunaomba wote ikiwa tu ni watanzania na je shida ikowap upande wa zanzibar waombe wenye vitambulisho vya kule tu 🤔😭