Ni wakati sasa wa kumuangukia Ridhiwan Kikwete na kumfikiria kwenye nafasi za juu hapo baadaye?

Ridhiwani Huyo ni mdini hawezi kubeba unga dini imemkaa kichwani case ya unga alisingiziwa aliekamatwa sio Ridhiwani ni Mdogo wake Miraji
 
Bila kujalisha lolote nadhani tusijikite kuipeleka nchi yetu kwenye utawala wa kisultani...
Yaan mtoa,mada ,anaona Ridhiwan Kikwete,January Makamba ndio wanafaa kuwa viongozi.Yaan Tanzania ni ukoo wa Kikwete ,Makamba basi.Yaan vijana mageneous waliopo mitaani hawafai kabisa.Tunataka katiba mpya
 
Ijumaa khareem,

Kwaunyenyekevu mkubwa naomba kuwarejesha awamu ya nne Pale tulipoambiwa kuwa Mtoto wa Rais wa Tanzania wakati huo Mhe Jakaya Mrisho Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekamatwa huko Hong Kong China akifanya biashara ya madawa ya kulevya,

Kwakuwa sheria za Nchini China ukiiondoa Beijing mtu yeyote akikamatwa na madawa ya kulevya hukumu yake ni kunyongwa mpaka kufa na kuna mamia ya Watanzania wamenyongwa nchini China sote ni mashahidi wa hili "Watanzania tukashangaa huyu mtoto wa Rais anakosa nini kwa baba yake mpaka abebe unga tena yeye mwenyewe mpaka China?!! "

Tukaambiwa baada ya Ridhiwani Kikwete Mtoto wa Rais wetu kukamatwa na kutakiwa kunyongwa mpaka kufa baba yake Mzee Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Rais wa awamu ya nne akafanya makubaliano na mamlaka za China zisimnyonge mwanae Ridhiwani Kikwete na badala yake atawapa gesi yote ya Mtwara inayofikia 57.7tct jambo ambalo walilidhia na ushahidi ni kwamba Ridhiwani yuko hai hata leo,

Awamu iliyopita tukaambiwa Mtwara gesi yote ilishauzwa kwa Mabeberu na mambo yaliyofanyika huko Si-yakizalendo kabisa hivyo tuwekeze nguvu kwenye JHNPP ilikujipatia Umeme wa uhakika nchini,Mimi akili yangu kwa haraka ika 'Click ' ni ule mchongo wa Mzee Jakaya kwa Ridhiwani na Wachina hakika moyo Wangu ukamchukia Mzee Jakaya na Mwanae Ridhiwani kwa kutaifisha gesi yetu Chaajabu baadae kidogo tukamsikia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul Makonda akimtaja tena Ridhiwani Kikwete kwamba ni mwanamtandao wa wauza madawa ya kulevya ( Unga ) Tanzania naamini hili sakata sote tunalikumbuka binafsi nikazidi kuichukia familia ya Mzee Jakaya na Dk Jakaya mwenyewe kwa dhuluma kubwa waliolifanyia Taifa hili,Mungu nisamehe Mimi na Wale walioumizwa kama Mimi kwa uongo

Leo nikaribu mwongo mmoja umepita tunaambiwa mazungumzo baina ya Serikali ya Tanzania na Makampuni ya Shell ya Uingereza na Uholanzi, ExxonMobil ya Marekani,Ophir ya Uingereza, Pavilion ya Singapore,Medco Energi ya Indonesia; na StatOil ( Equinox ) ya Norway wanaendelea na Host govnment agreement ( HGA ) ili wawekeze $30bl karibu Shilingi 69.5trilioni ili kuwekeza kwenye gesi ileile ya 57.7tct aliyoitoa Mzee Jakaya Mrisho Kikwete ili kumnusuru mwanae mpendwa Ridhiwani Kikwete muuza madawa,hakika nchi ngumu sana hii,

Mimi na wenzangu tunajiuliza gesi yetu yote Tanzania ilianza kugunduliwa tangu miaka ya 1974,1982 na ilipofika miaka ya 2000's ndio tukajua ujazo halisi wa gesi yetu kuwa ni Jumla ya futi za ujazo trilioni 57.7ctc ambazo zilikuwapo awamu ya kwanza hadi hii ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Najiuliza|Tunajiuliza,

1. Kama deposit ya gesi yetu yote imesalia kuwa ni 57.7tct tangu enzi za baba wa Taifa hadi leo zama za Mama Samia hiyo gesi aliyotoa Mzee Jakaya kumnusuru mwanae Ridhiwani asinyongwe hadi kufa ni ipi?

2. Kama nia ilikuwa kumchafua Mzee Jakaya wakati wa Utawala wake kwanini Ridhiwani aendelee kutajwa kwa ubaya hata awamu ambazo baba yake hakuwa madarakani?

JIBU NI MOJA TU :

Mhe Ridhiwani Kikwete ni kijana mnyenyekevu sana,Mchamungu,Mpole,Mtu wa bashasha wakati wote,Hana makundi,Mzalendo wa kweli,Asiyependa vyeo japo vyeo vinamtaka,na anayechukia rushwa kwa vitendo,Nimtu asiyependa mtu yeyote anyanyaswe akiwa ndani ya nchi yake,Nimtu anayefikiri juu ya Umoja wa Kitaifa ndio maana katika hotuba zake zote hakuwahi kusigana na Upinzani wala Wapinzani na nikijana aliyekulia na kulelewa na The core CCM yaani Ridhiwani ni CCM by blood,

Nimekumbuka usemi mmoja " mti wenye matunda ndio huchakazwa kwa mawe" ila muda ni mwalimu wa kweli leo Dunia imegundua Ukweli kuwa "Ridhiwani kinachomtesa nikile alichopewa na Mungu kwaajili ya kuwatumikia Watanzania hapo baadae" kwa dhati ya moyo wangu leo nimempenda na kumuheshimu sana Mzee Jakaya Kikwete pamoja na familia yake hii aliyeifunza Unyenyekevu na subra,Leo Mungu amewatetea pale mlipokaa kimya kwa kukosa mtetezi,

#HAKIKA TULIKUTENDA#TUSAMEHE SISI
Mbona mambo ya Nchi yanakupita unafanya ushabiki bila kufahamu uliloandika hapa. Anza kuchunguza kwanza baadaye uandike usikurupuke kuandika bila kufanya uchunguzi

Kuna utofauti kati ya Mkoa wa LINDI na Mtwara
Gas ya Mtwara imeuzwa inaelekea Bagamoyo pale pale Mchina anapotaka kujenga Bandari

Rais Samia anazungumzia Gas ya LINDI ambayo Bado kuanza kuchimbwa,hawajakubaliana na wawekezaji mazungumzo yanaendelea

Huyo Ridhiwani alikuwa anajifanya mbabe kipindi cha baba yake . Maisha yanapita
 
Yaan mtoa,mada ,anaona Ridhiwan Kikwete,January Makamba ndio wanafaa kuwa viongozi.Yaan Tanzania ni ukoo wa Kikwete ,Makamba basi.Yaan vijana mageneous waliopo mitaani hawafai kabisa.Tunataka katiba mpya
Yaani kama Zanzibar ya Karume na Mwinyi...
 

Jabali la Siasa,​


Baada ya kusoma article yako yote nimeshindwa kuona ni kwa sababu gani hata tumuangukie ridhwani kikwete. Hujatoa ushahidi wowote ule kuwa hakukamatwa na madawa ya kulevya nchini china, ulichosema ni kuwa deal iliyoripotiwa aliyofanya baba yake kuokoa maisha yake sio kweli lakini umeshindwa kusema kabisa kuwa kikwete hakufanya deal na wachina ili kumuokoa mwanawe.

Nadhani kabla ya kutaka watu wamuangukie ridhwani ningelikushauri ufanye research kidogo, ingelikuwa vyema ungelifanya uchunguzi wa kina nchini china kujua kama kweli alikamatwa au la. Pia ingelikuwa vyema kama ungelipata comment pamoja na ushahidi kutoka kwa makonda juu ya tuhuma alizomrushia ridhwani. Ungelikusanya statement yake na wale waliompa details zote halafu ukaziweka hapa na kuzikana moja baada ya moja.

Ushahidi wako kwa sasa hautufanyi wengi kufika kumuomba radhi ridhwani, na bado lisemwalo lipo juu yake bado lipo pale pale.
 
Ijumaa khareem,

Kwaunyenyekevu mkubwa naomba kuwarejesha awamu ya nne Pale tulipoambiwa kuwa Mtoto wa Rais wa Tanzania wakati huo Mhe Jakaya Mrisho Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekamatwa huko Hong Kong China akifanya biashara ya madawa ya kulevya,

Kwakuwa sheria za Nchini China ukiiondoa Beijing mtu yeyote akikamatwa na madawa ya kulevya hukumu yake ni kunyongwa mpaka kufa na kuna mamia ya Watanzania wamenyongwa nchini China sote ni mashahidi wa hili "Watanzania tukashangaa huyu mtoto wa Rais anakosa nini kwa baba yake mpaka abebe unga tena yeye mwenyewe mpaka China?!! "

Tukaambiwa baada ya Ridhiwani Kikwete Mtoto wa Rais wetu kukamatwa na kutakiwa kunyongwa mpaka kufa baba yake Mzee Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Rais wa awamu ya nne akafanya makubaliano na mamlaka za China zisimnyonge mwanae Ridhiwani Kikwete na badala yake atawapa gesi yote ya Mtwara inayofikia 57.7tct jambo ambalo walilidhia na ushahidi ni kwamba Ridhiwani yuko hai hata leo,

Awamu iliyopita tukaambiwa Mtwara gesi yote ilishauzwa kwa Mabeberu na mambo yaliyofanyika huko Si-yakizalendo kabisa hivyo tuwekeze nguvu kwenye JHNPP ilikujipatia Umeme wa uhakika nchini,Mimi akili yangu kwa haraka ika 'Click ' ni ule mchongo wa Mzee Jakaya kwa Ridhiwani na Wachina hakika moyo Wangu ukamchukia Mzee Jakaya na Mwanae Ridhiwani kwa kutaifisha gesi yetu Chaajabu baadae kidogo tukamsikia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul Makonda akimtaja tena Ridhiwani Kikwete kwamba ni mwanamtandao wa wauza madawa ya kulevya ( Unga ) Tanzania naamini hili sakata sote tunalikumbuka binafsi nikazidi kuichukia familia ya Mzee Jakaya na Dk Jakaya mwenyewe kwa dhuluma kubwa waliolifanyia Taifa hili,Mungu nisamehe Mimi na Wale walioumizwa kama Mimi kwa uongo

Leo nikaribu mwongo mmoja umepita tunaambiwa mazungumzo baina ya Serikali ya Tanzania na Makampuni ya Shell ya Uingereza na Uholanzi, ExxonMobil ya Marekani,Ophir ya Uingereza, Pavilion ya Singapore,Medco Energi ya Indonesia; na StatOil ( Equinox ) ya Norway wanaendelea na Host govnment agreement ( HGA ) ili wawekeze $30bl karibu Shilingi 69.5trilioni ili kuwekeza kwenye gesi ileile ya 57.7tct aliyoitoa Mzee Jakaya Mrisho Kikwete ili kumnusuru mwanae mpendwa Ridhiwani Kikwete muuza madawa,hakika nchi ngumu sana hii,

Mimi na wenzangu tunajiuliza gesi yetu yote Tanzania ilianza kugunduliwa tangu miaka ya 1974,1982 na ilipofika miaka ya 2000's ndio tukajua ujazo halisi wa gesi yetu kuwa ni Jumla ya futi za ujazo trilioni 57.7ctc ambazo zilikuwapo awamu ya kwanza hadi hii ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Najiuliza|Tunajiuliza,

1. Kama deposit ya gesi yetu yote imesalia kuwa ni 57.7tct tangu enzi za baba wa Taifa hadi leo zama za Mama Samia hiyo gesi aliyotoa Mzee Jakaya kumnusuru mwanae Ridhiwani asinyongwe hadi kufa ni ipi?

2. Kama nia ilikuwa kumchafua Mzee Jakaya wakati wa Utawala wake kwanini Ridhiwani aendelee kutajwa kwa ubaya hata awamu ambazo baba yake hakuwa madarakani?

JIBU NI MOJA TU :

Mhe Ridhiwani Kikwete ni kijana mnyenyekevu sana,Mchamungu,Mpole,Mtu wa bashasha wakati wote,Hana makundi,Mzalendo wa kweli,Asiyependa vyeo japo vyeo vinamtaka,na anayechukia rushwa kwa vitendo,Nimtu asiyependa mtu yeyote anyanyaswe akiwa ndani ya nchi yake,Nimtu anayefikiri juu ya Umoja wa Kitaifa ndio maana katika hotuba zake zote hakuwahi kusigana na Upinzani wala Wapinzani na nikijana aliyekulia na kulelewa na The core CCM yaani Ridhiwani ni CCM by blood,

Nimekumbuka usemi mmoja " mti wenye matunda ndio huchakazwa kwa mawe" ila muda ni mwalimu wa kweli leo Dunia imegundua Ukweli kuwa "Ridhiwani kinachomtesa nikile alichopewa na Mungu kwaajili ya kuwatumikia Watanzania hapo baadae" kwa dhati ya moyo wangu leo nimempenda na kumuheshimu sana Mzee Jakaya Kikwete pamoja na familia yake hii aliyeifunza Unyenyekevu na subra,Leo Mungu amewatetea pale mlipokaa kimya kwa kukosa mtetezi,

#HAKIKA TULIKUTENDA#TUSAMEHE SISI
Bwege kwelikweli wewe
 
Huwa hawatosheko hawa sababu ya tamaa!! Huoni baba yake ingawa ana majumba Msoga, Dodoma,Bagamoyo. Dar es salaam bado akatukamua walipa kodi tumjegee nyumba nyingine kwa vile walijiwekea kuwa wajengewe wakistaafu!! Ni uroho tu hawatosheki!
Mpaka wanauwana
 
Unaeza kuta wewe ni mume wa mtu au mke wa mtu unasifia Sifia upumbavu....hopeless kabisa
 

Jabali la Siasa,​


Baada ya kusoma article yako yote nimeshindwa kuona ni kwa sababu gani hata tumuangukie ridhwani kikwete. Hujatoa ushahidi wowote ule kuwa hakukamatwa na madawa ya kulevya nchini china, ulichosema ni kuwa deal iliyoripotiwa aliyofanya baba yake kuokoa maisha yake sio kweli lakini umeshindwa kusema kabisa kuwa kikwete hakufanya deal na wachina ili kumuokoa mwanawe.

Nadhani kabla ya kutaka watu wamuangukie ridhwani ningelikushauri ufanye research kidogo, ingelikuwa vyema ungelifanya uchunguzi wa kina nchini china kujua kama kweli alikamatwa au la. Pia ingelikuwa vyema kama ungelipata comment pamoja na ushahidi kutoka kwa makonda juu ya tuhuma alizomrushia ridhwani. Ungelikusanya statement yake na wale waliompa details zote halafu ukaziweka hapa na kuzikana moja baada ya moja.

Ushahidi wako kwa sasa hautufanyi wengi kufika kumuomba radhi ridhwani, na bado lisemwalo lipo juu yake bado lipo pale pale.

Ndg yangu mtanzania in exile ,

Kwanza nakusalimu kwa jina JMT,


Hoja yangu imebezi kwenye Ushahidi wa kimazingira,

Tuliambiwa Rais Kikwete amebatter trade gesi ya Lindi ili kumnusuru mwanae, fine,

Lakini mazingira yanaoenesha gesi ya Watanzania bado ipo tena ni futi zile zile za ujazo 57.7tct,

Sawali hiyo gesi waliopewa wachina ili wasimuue Ridhiwani Kikwete ni ipi?

Au Rais Kikwete baadae aliwanyang'anya?

I stand to be correct Ridhiwani alionewa na anaonewa ni wakati wa kurudisha imani kwake na familia yake✍🏿✍🏿
 
Ijumaa khareem,

Kwaunyenyekevu mkubwa naomba kuwarejesha awamu ya nne Pale tulipoambiwa kuwa Mtoto wa Rais wa Tanzania wakati huo Mhe Jakaya Mrisho Kikwete, Ridhiwani Kikwete amekamatwa huko Hong Kong China akifanya biashara ya madawa ya kulevya,

Kwakuwa sheria za Nchini China ukiiondoa Beijing mtu yeyote akikamatwa na madawa ya kulevya hukumu yake ni kunyongwa mpaka kufa na kuna mamia ya Watanzania wamenyongwa nchini China sote ni mashahidi wa hili "Watanzania tukashangaa huyu mtoto wa Rais anakosa nini kwa baba yake mpaka abebe unga tena yeye mwenyewe mpaka China?!! "

Tukaambiwa baada ya Ridhiwani Kikwete Mtoto wa Rais wetu kukamatwa na kutakiwa kunyongwa mpaka kufa baba yake Mzee Jakaya Mrisho Kikwete akiwa Rais wa awamu ya nne akafanya makubaliano na mamlaka za China zisimnyonge mwanae Ridhiwani Kikwete na badala yake atawapa gesi yote ya Mtwara inayofikia 57.7tct jambo ambalo walilidhia na ushahidi ni kwamba Ridhiwani yuko hai hata leo,

Awamu iliyopita tukaambiwa Mtwara gesi yote ilishauzwa kwa Mabeberu na mambo yaliyofanyika huko Si-yakizalendo kabisa hivyo tuwekeze nguvu kwenye JHNPP ilikujipatia Umeme wa uhakika nchini,Mimi akili yangu kwa haraka ika 'Click ' ni ule mchongo wa Mzee Jakaya kwa Ridhiwani na Wachina hakika moyo Wangu ukamchukia Mzee Jakaya na Mwanae Ridhiwani kwa kutaifisha gesi yetu Chaajabu baadae kidogo tukamsikia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Paul Makonda akimtaja tena Ridhiwani Kikwete kwamba ni mwanamtandao wa wauza madawa ya kulevya ( Unga ) Tanzania naamini hili sakata sote tunalikumbuka binafsi nikazidi kuichukia familia ya Mzee Jakaya na Dk Jakaya mwenyewe kwa dhuluma kubwa waliolifanyia Taifa hili,Mungu nisamehe Mimi na Wale walioumizwa kama Mimi kwa uongo

Leo nikaribu mwongo mmoja umepita tunaambiwa mazungumzo baina ya Serikali ya Tanzania na Makampuni ya Shell ya Uingereza na Uholanzi, ExxonMobil ya Marekani,Ophir ya Uingereza, Pavilion ya Singapore,Medco Energi ya Indonesia; na StatOil ( Equinox ) ya Norway wanaendelea na Host govnment agreement ( HGA ) ili wawekeze $30bl karibu Shilingi 69.5trilioni ili kuwekeza kwenye gesi ileile ya 57.7tct aliyoitoa Mzee Jakaya Mrisho Kikwete ili kumnusuru mwanae mpendwa Ridhiwani Kikwete muuza madawa,hakika nchi ngumu sana hii,

Mimi na wenzangu tunajiuliza gesi yetu yote Tanzania ilianza kugunduliwa tangu miaka ya 1974,1982 na ilipofika miaka ya 2000's ndio tukajua ujazo halisi wa gesi yetu kuwa ni Jumla ya futi za ujazo trilioni 57.7ctc ambazo zilikuwapo awamu ya kwanza hadi hii ya Sita ya Rais Samia Suluhu Hassan,

Najiuliza|Tunajiuliza,

1. Kama deposit ya gesi yetu yote imesalia kuwa ni 57.7tct tangu enzi za baba wa Taifa hadi leo zama za Mama Samia hiyo gesi aliyotoa Mzee Jakaya kumnusuru mwanae Ridhiwani asinyongwe hadi kufa ni ipi?

2. Kama nia ilikuwa kumchafua Mzee Jakaya wakati wa Utawala wake kwanini Ridhiwani aendelee kutajwa kwa ubaya hata awamu ambazo baba yake hakuwa madarakani?

JIBU NI MOJA TU :

Mhe Ridhiwani Kikwete ni kijana mnyenyekevu sana,Mchamungu,Mpole,Mtu wa bashasha wakati wote,Hana makundi,Mzalendo wa kweli,Asiyependa vyeo japo vyeo vinamtaka,na anayechukia rushwa kwa vitendo,Nimtu asiyependa mtu yeyote anyanyaswe akiwa ndani ya nchi yake,Nimtu anayefikiri juu ya Umoja wa Kitaifa ndio maana katika hotuba zake zote hakuwahi kusigana na Upinzani wala Wapinzani na nikijana aliyekulia na kulelewa na The core CCM yaani Ridhiwani ni CCM by blood,

Nimekumbuka usemi mmoja " mti wenye matunda ndio huchakazwa kwa mawe" ila muda ni mwalimu wa kweli leo Dunia imegundua Ukweli kuwa "Ridhiwani kinachomtesa nikile alichopewa na Mungu kwaajili ya kuwatumikia Watanzania hapo baadae" kwa dhati ya moyo wangu leo nimempenda na kumuheshimu sana Mzee Jakaya Kikwete pamoja na familia yake hii aliyeifunza Unyenyekevu na subra,Leo Mungu amewatetea pale mlipokaa kimya kwa kukosa mtetezi,

#HAKIKA TULIKUTENDA#TUSAMEHE SISI
Machadema tu haya yapuuzwe Riz ni poa sana tena mchamungu wa kweli,
 
Ndg yangu mtanzania in exile ,

Kwanza nakusalimu kwa jina JMT,


Hoja yangu imebezi kwenye Ushahidi wa kimazingira,

Tuliambiwa Rais Kikwete amebatter trade gesi ya Lindi ili kumnusuru mwanae, fine,

Lakini mazingira yanaoenesha gesi ya Watanzania bado ipo tena ni futi zile zile za ujazo 57.7tct,

Sawali hiyo gesi waliopewa wachina ili wasimuue Ridhiwani Kikwete ni ipi?

Au Rais Kikwete baadae aliwanyang'anya?

I stand to be correct Ridhiwani alionewa na anaonewa ni wakati wa kurudisha imani kwake na familia yake✍🏿✍🏿
majibu mazuri
 
Back
Top Bottom