Ni wakati Muafaka wanadiplomasia wetu kuisaidia nchi, kumsaidia Rais Magufuli

Siku siyo nyingi naona kabisa tutaongea lugha moja mama
Kwani hapa tunaongea lugha mbili?

Tunalitazama Hiki tatizo kwa mkono tofauti.

Mzungu halali kabisa kuhusu life yenu anachojali ni maslahi yake na maslahi yake yameguswa.

Usifikiri mzungu anawajali sana wasenge wenu au anajali sana mnapouana. Hivyo ni muhtasari tu, habari kamili ni vita ya kiuchumi.

Vita ya uchumi hupiganwa kidiplomasia na Magu si mwana diplomasia, diplomasia yupo zero.

Nakumbuka enzi za Nyerere na Tiny Rowlands (Lonrho), alisema hatazami nyuma atageuka jiwe (baada ya kumtaifisha Tiny). Kimbembe kilichofatia, mwenyewe ilibidi atazame nyuma kimya kimya na kurudisha mali za Tiny. Lakini it was too late. Jamaa hawakutuachia mpaka alivyong'atuka. Usiombee.

Ushauri wangu ni Magu apige U turn au ang' atuke. Hatuna uwezo wa vita ya kiuchumi. Tumekanyaga mawaya.
 
Kwa Mtazamo wangu aina ya Utawala uliopo Tanzania utajitia kiburi na hautakubali kutekeleza hayo mambo. Kwa nini tulifika huku haraka hivi ? Kuna tatizo. Ina maana hawakuwepo Top Diplomat wetu wakamshauri mzee ? Au walimuacha ajikaange kwa mafuta yake akiamini yeye ni jasiri ? Hawa watu wakiamua kukuvuruga hawashindwi. Naomba Mungu tusifike mahali Mzee akajakulazimishwa kujiuzulu na hao waliomzunguka na mitutu leo. wake up saidia Tanzania. Msaidieni Mzee sasa.
Sikio LA kufa halisikii dawa.
Na kuunga mkono.
Tafuta sulihisho ya nchi Na watu wake.
Usiache, Sema, uliza.
Mtafutae mazuri ni kipenzi cha mungu.
 
Nimeshindwa kuelewa,mtoa mada anajocomment mwenyewe na anaongoza kwa kuchangia. Kama hoja zote alikua nazo si angekaa nazo mwenyewe au angejaza kwenye hiyo thread moja?
 
Kuna mahali hakuko sawa. Siasa ya ndani imevurugwa na kujenga uadui. Hali hio inatoa mwanya kwa adui. Wapi pa kuanzia ? Jee watawala wako tayari kurejesha umoja wa kitaifa huku kuna watanzania lukuki wamepotea kusikojulikana ? Vipi hao wapinzani wenye mikesi ya kuunda na wengine bado wanasota Tuanzie wapi ?

Tuanze kusafisha Diplomasia au tuendelee na jeuri na kiburi cha kusema tusiingiliwe?

Kwa hali ilivyo wazungu wameshatuingiza kwenye 18 zao. Tusubiri hizo Policy review zao na tusubiri maamuzi yao kwenye Jumuiya za Kimataifa .
Naomba uwe mkweli!!

Kwamba wapinzani wanapewa kesi za kubambikizwa??? Wewe ni nani useme hvyo??? Thibitisha

Pili unalalama ndg haki za binadam zinakandamizwa mie labda sieleweli nisaidie haki gani za binadam Magufuli kazikandamiza???? Je hatuishi??? Watoto hawasomi???? Je hatuongei???? Niambie hizo haki pls??

Pili unasema wapinzani wamekandamizwa wapiiiiii??? Hv juzi tu hujaskia walipofanya makubaliano ya vyama vya upinzani 15 kama wao walivosema??? Na wakaje na THE COMMUNIQUE OF 15 OPPOSITIONAL PARTIES je hizo hazikuwa siasa??? Juzi hukuona wanasiasa hawa walikuwa wanafanya nn kuhusu muswada wa vyama vingi je wanakandamizwa waaaaapi???? Je hatuoni kila sku kina zitto kabwe na Ado shaibu wakifnya Press conference hatuoni????

Je wanaanza na tz haws EU hiv kat ya tz na Marekani nani anakandamiza demokrasia??? Humsikii Trump???? Je hukuona hata jinsi CNN alivomfukuza mwandishi wake je hiyo ndo haki mnayoisema?????

Tuacheni unafiki semeni kweli acha kbsa kujifanya unajua kumbe unaandika tu unayojisikia watu kila sku mnaitukana serikali halafu haohao mnadai kwamba hakuna uhuru wa kuongea mbaaaaaav kabsa
 
Nimeshindwa kuelewa,mtoa mada anajocomment mwenyewe na anaongoza kwa kuchangia. Kama hoja zote alikua nazo si angekaa nazo mwenyewe au angejaza kwenye hiyo thread moja?
Mwenyewe nmeshangaa halafu anadai haki hana ya kuzungumza na huyo huyo anasena Magufuli dikteta sasa kama huu wa kutoa uzi halafu na kukomment ww pekee syo udikteta sjui ni nn
 
Wakati ni huu. Hizi dalili sio nzuri hata kidogo kwa ustawi wa diplomasia yetu na historia yetu. Dunia ya leo unalazimika kumuhitaji kila mtu kila nchi.

Tanzania inaelekea kusiko kuhusu mahusiano yetu na nchi za Ulaya. Uvunjivu wa haki za binadamu na demokrasia, kukosekana uwazi, ndani ya nchi na kushughulikiwa kila anayekosoa utawala wetu limekuwa tatizo sasa si ndani ya nchi pekee lakini hata nje sasa.

Tumeshindwa kuwa na viongozi wenye uwezo wa kupima kauli zao na vitendo vyao.Kumekosekana mbinu tu za kuendesha mambo.

Sio kwamba yote wanayoyataka watu wa ulaya kuwa ni mazuri kwetu, hapana. Na wala huu upinzani wa matakwa yao haujaanza kwenye awamu hii tu. Ifahamike kuwa awamu zote zilipingana na matakwa lakini tofauti iliyopo ni NAMNA

Awamu hii ya tano mpaka sasa kwa maoni yangu imeshindwa kutumia APROACH za kidiplomasia zinazokubalika kushughulika na hao watu.

Kwanza ndani ya nchi kuna fukuto, kwenye CCM (chama tawala) kuna fukuto na sasa ni fukuto ndani na nje.

Kuna hatari sasa ya nchi kuchukuliwa maazimio mazito zaidi .

Kabla hakujapambazuka zaidi, Nawaomba wanadiplomasia wetu nguli kutumia uzalendo wa hali ya juu ili kuinusuru Tanzania na mtengo. Bado hatujajimudu kiasi cha kushindana na nchi za Magharibi.

Yajayo hayafurahishi.



Kishada
Tumefika hapo kwa kujitakia. Mchakato wa Katiba mpya tukauzima. Bado utasikia wakijibu 'wasituingilie mambo yetu'
Mungu ibariki Tanzania.
 
Naomba uwe mkweli!!

Kwamba wapinzani wanapewa kesi za kubambikizwa??? Wewe ni nani useme hvyo??? Thibitisha

Pili unalalama ndg haki za binadam zinakandamizwa mie labda sieleweli nisaidie haki gani za binadam Magufuli kazikandamiza???? Je hatuishi??? Watoto hawasomi???? Je hatuongei???? Niambie hizo haki pls??

Pili unasema wapinzani wamekandamizwa wapiiiiii??? Hv juzi tu hujaskia walipofanya makubaliano ya vyama vya upinzani 15 kama wao walivosema??? Na wakaje na THE COMMUNIQUE OF 15 OPPOSITIONAL PARTIES je hizo hazikuwa siasa??? Juzi hukuona wanasiasa hawa walikuwa wanafanya nn kuhusu muswada wa vyama vingi je wanakandamizwa waaaaapi???? Je hatuoni kila sku kina zitto kabwe na Ado shaibu wakifnya Press conference hatuoni????

Je wanaanza na tz haws EU hiv kat ya tz na Marekani nani anakandamiza demokrasia??? Humsikii Trump???? Je hukuona hata jinsi CNN alivomfukuza mwandishi wake je hiyo ndo haki mnayoisema?????

Tuacheni unafiki semeni kweli acha kbsa kujifanya unajua kumbe unaandika tu unayojisikia watu kila sku mnaitukana serikali halafu haohao mnadai kwamba hakuna uhuru wa kuongea mbaaaaaav kabsa
Uambieni ulimwengu nani aliyempiga risasi Lissu?
Nani kapiga marufuku mikutano na maandamano ya vyama vya upinzani?
Nani kazuia Bunge lisionekane live?
Nani amenunua madiwani na wabunge wa upinzani?
Nani alifunika ushahidi wa Nassari TAKUKURU?
 
Tatizo atawasikiliza? PM mwenyewe alishshuliwa hadharani mchana kweupe kuhusu kampuni aliyoipata ya kununua korosho itakuwa hao wanadiplomasia. Chochote watakacho mshauri akija hadharani atasema waninilishauri hivi nika kataa
 
Iran ina mafuta ya kumwaga, ina teknolojia ya kisasa lakini hali ni mbaya kwasasa

Iran walimuondoa Ahmadinajad kwasababu alikuwa 'mtemi' kuliko mwanadiplomasia
Iliundwa timu ya wanadiplomasia wakiongozwa na mtu wa msimamo wa kati Hassan Rouhani akisaidiwa na akina Mohamed Zarif

Iran wakatengeneza deal na US/EU/Russia na China ambalo Trump anataka kulifumua
Kutokana na Diplomasia iliyotumika, Israel na US wanaonekana kukwama at least kwa sasa
EU wanaunga mkono deal na sasa wanatafuta njia za kukwepa matumizi ya dola ili wafanye biashara na Iran

Iran inatengeneza nuclear achilia mbali makombora ya masafa marefu n.k.
Wana wataalam wazuri sana wa kila nyanja kuanzia elimu , afya, mazingira n.k.

Pamoja na hayo, Iran wamebaini 'vita' ya uchumi haipiganwi bila diplomasia.

Mugabe akichukua Zimbabwe kutoka kwa Smith hali ya uchumi ilikuwa bora sana ukiachilia ubaguzi

Mbabe Mugabe ameiacha nchi ikiwa inaelea, hatujifunzi kitu hapo?

Nikiitazama Tanzania yetu, nina wasi wasi sana kama kweli hii ni vita tunayohitaji

JokaKuu
Mkuu haya madini umeyatoa wapi.kuna watu wanataka kufahamu maana ya diplomasia na diploma. Kwa muktadha huu hili ndilo jawabu la diplomasia
 
Inskuwa jasiri wa kuuwa chui wa karatasi lkn ukiona alama za nyayo za chui halisi unazipiga mbio. Kurudi nyuma si kushindwa. Wabobezi wa diplomasia msaidieni huyo
 
Back
Top Bottom