Ni wakati Muafaka wanadiplomasia wetu kuisaidia nchi, kumsaidia Rais Magufuli

Misukosuko aliyoipata Mwalimu juu ya haya Mabepari naiona inamrudia pia Dr. lakini namuombea kwa Mungu aishinde.
 
Hutaki tuimbe iyena ..........................................................Unataka tuimbe jibebe au ... ok sawa



Jibebebeee.. basi jibebebeee si ujibebebeeee


Huko ufipa mtaridhika sasa
Huu ubishi wenu ndo unaligharimu taifa.

Endelea tu kuimba Iyena Iyena, ila kama wewe ni mwanaume na unawatoto huwezi kufurahia yanayoendelea maana sisi tutakufa watoto wetu ndo watazimbabweka.
 
kweli kuna mwenye uthubutu wa kutoa neno la kuanzisha mjadala iwe ndani ya chama au serikalini ? Uoga na ubinafsi


Tahamaki tunaumia sote.
Akina BM wenyewe wanazungumza point wakiwa nje ya nchi ........... wakirudi, kimya!!
 
Yaani pole pole taifa linapata maajabu ya kihistoria yaani wajukuu na vitukuu vitasoma kwenye historia ya Tanzania................ safari hii mbaya kabisa imeanza mwaka 2015................ hakika Tutakoma........Tunaona kama mzaha lakini ndio hivyo

t
wapi polepole
 
Hapo ulipoanzia sipo.
Tulipiga kelele Mzee afuate katiba mlisema acha anyooshe nchi. Tulipiga kelele kuhusu kuporwa haki za kidemokrasia mlisema aachwe atekeleze ilani. Tulipiga kelele kuhusu ubaguzi na manyanyaso kwa wapinzani mlisema huyu sio JK. tulipiga kelele watu kupotezwa na kuuwawa kinyemela mlinyamaza kimyaa mkidhani ni ya wapinzani tu.

Leo nchi inaanza kuonja machungu ya matendo yenu tunashauri DIPLOMASIA ITUMIKE unaanza kuleta uchuro wa kijani hapa.
Aiseee !!!
 
Endeleeni kumwambia sisi hatupangiwi. Mjazeni upepo sana, subirini Ban zianze. Subirini zije kauli za list ya watu waliotolewa Arrest warrant ya Kimataifa ndio mtaamini kuwa hawa watu wanaweza fitina.
Jiwe anatupeleka kuwa Zimbabwe ya Mugabe. Ukishasusiwa na EU/USA kushirikiana!
 
Magufuli anafahamu tatizo na juzi ametangaza vita. Vita ya kiuchumi.

Mimi namshauri kuwa vita ya kiuchumi hatuiwezi kabisa, tutaaangamia kama tulivyoangamia wakati wa Nyerere.
Ghaddafi ambae alikuwa na nchi yenye kipato kizuri alipoanza vita ya uchumi ikamuondoa. Hali kadhalika Mugabe na kabla yake Mengistu.

Vita ya kiuchumi inahitaji ipiganwe kidiplomasia "kula uliwe".
 
Magufuli anafahamu tatizo na juzi ametangaza vita. Vita ya kiuchumi.

Mimi namshauri kuwa vita ya kiuchumi hatuiwezi kabisa, tutaaangamia kama tulivyoangamia wakati wa Nyerere.
Ghaddafi ambae alikuwa na nchi yenye kipato kizuri alipoanza vita ya uchumi ikamuondoa. Hali kadhalika Mugabe na kabla yake Mengistu.

Vita ya kiuchumi inahitaji ipiganwe kidiplomasia "kula uliwe".
Cmnt yako iwafikie Hawa wafia Chama

jingalao

ISIS

stroke

Magonjwa Mtambuka

johnthebaptist

Ova
 
Tatizo ni viongozi wa dini ya kikiristo wamechangia pakubwa, badala ya kumpa ushauri rais, wao kazi ni tumuuombee rais? Aombe we ili aharibu nchi kidiplomasia au? Kuvuga democracy au? Wa kulaumiwa ni wengi sana
 
Mimi ningekuwa ndo Jiwe ningemuomba JK nimteue ubunge kisha nimfanye awe waziri wa mambo ya nje tushirikiane tujenge nchi. Hilo linawezekana na katiba haijazuia Raisi mstaafu kuwa mbunge au kuwa waziri, imezuia kuwa raisi tena tu!

Mbona akina Netanyahu , Ehud Barak na wengineo wamewahi kuwa wakuu wa serikali kisha wakawa mawaziri wa kawaida kabisa katika awamu nyingine?

Tujifunze kutumia resources zetu zote
Sio lazima kufanya hivyo, anao uwezo jk ya kutekeleza yoyote atakayo elekezwa na rais kwa mujibu wa katiba, kwa kweli urais sio mchezo, tunachukulia tu kama mzaha, mke mmoja humuwezi utaweza urais?
 
Back
Top Bottom