Wakati ni huu. Hizi dalili sio nzuri hata kidogo kwa ustawi wa diplomasia yetu na historia yetu. Dunia ya leo unalazimika kumuhitaji kila mtu kila nchi.
Tanzania inaelekea kusiko kuhusu mahusiano yetu na nchi za Ulaya. Uvunjivu wa haki za binadamu na demokrasia, kukosekana uwazi, ndani ya nchi na kushughulikiwa kila anayekosoa utawala wetu limekuwa tatizo sasa si ndani ya nchi pekee lakini hata nje sasa.
Tumeshindwa kuwa na viongozi wenye uwezo wa kupima kauli zao na vitendo vyao.Kumekosekana mbinu tu za kuendesha mambo.
Sio kwamba yote wanayoyataka watu wa ulaya kuwa ni mazuri kwetu, hapana. Na wala huu upinzani wa matakwa yao haujaanza kwenye awamu hii tu. Ifahamike kuwa awamu zote zilipingana na matakwa lakini tofauti iliyopo ni NAMNA
Awamu hii ya tano mpaka sasa kwa maoni yangu imeshindwa kutumia APROACH za kidiplomasia zinazokubalika kushughulika na hao watu.
Kwanza ndani ya nchi kuna fukuto, kwenye CCM (chama tawala) kuna fukuto na sasa ni fukuto ndani na nje.
Kuna hatari sasa ya nchi kuchukuliwa maazimio mazito zaidi .
Kabla hakujapambazuka zaidi, Nawaomba wanadiplomasia wetu nguli kutumia uzalendo wa hali ya juu ili kuinusuru Tanzania na mtengo. Bado hatujajimudu kiasi cha kushindana na nchi za Magharibi.
Yajayo hayafurahishi.
Kishada
Tanzania inaelekea kusiko kuhusu mahusiano yetu na nchi za Ulaya. Uvunjivu wa haki za binadamu na demokrasia, kukosekana uwazi, ndani ya nchi na kushughulikiwa kila anayekosoa utawala wetu limekuwa tatizo sasa si ndani ya nchi pekee lakini hata nje sasa.
Tumeshindwa kuwa na viongozi wenye uwezo wa kupima kauli zao na vitendo vyao.Kumekosekana mbinu tu za kuendesha mambo.
Sio kwamba yote wanayoyataka watu wa ulaya kuwa ni mazuri kwetu, hapana. Na wala huu upinzani wa matakwa yao haujaanza kwenye awamu hii tu. Ifahamike kuwa awamu zote zilipingana na matakwa lakini tofauti iliyopo ni NAMNA
Awamu hii ya tano mpaka sasa kwa maoni yangu imeshindwa kutumia APROACH za kidiplomasia zinazokubalika kushughulika na hao watu.
Kwanza ndani ya nchi kuna fukuto, kwenye CCM (chama tawala) kuna fukuto na sasa ni fukuto ndani na nje.
Kuna hatari sasa ya nchi kuchukuliwa maazimio mazito zaidi .
Kabla hakujapambazuka zaidi, Nawaomba wanadiplomasia wetu nguli kutumia uzalendo wa hali ya juu ili kuinusuru Tanzania na mtengo. Bado hatujajimudu kiasi cha kushindana na nchi za Magharibi.
Yajayo hayafurahishi.
Kishada