Ni vita, Rage amvaa Mnyika

Rage, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi mkoani Tabora, alisema Mnyika na viongozi wengine wa kambi ya upinzani wanatumia nguvu nyingi kubeza mchakato wa kuelekea kupatika kwa katiba mpya, badala ya kuhangaika kutatua kero za wananchi.


Chanzo: Jambo leo

Anaomba kacheo ka huruma!
 
rage hajui anachozungumza,ashazoea kuropoka,
kwa akili yake hawezi elewa mambo anayoelewa mnyika,
arudi zake somalia akakae na ndugu zake huko
 
mbunge wa jimbo la tabora mjini, ismail aden rage (ccm) amemjia juu mbunge wa ubungo, john mnyika (chadema) akimtaka kuacha kuubeza uteuzi wa mwenyekiti na mkurugenzi mpya wa tume ya taifa ya uchaguzi (nec), uliofanywa na rais jakaya kikwete hivi karibuni. Badala yake, amemtaka afahamu kuwa, yote yanayofanywa na rais kikwete yamo ndani ya mamlaka yake kikatiba.

“jamani, mwambieni mnyika aache kutafuta umaarufu wa kisiasa kwa kupinga kila kitu. Hivi rais amekosea wapi alichokifanya si kimo ndani ya katiba ya nchi ambayo ilimpa rais kuteua tume iliyosimamia uchaguzi mkuu uliopita na ambao mnyika alishiriki na kushinda?” alihoji.

Rage, ambaye pia ni mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi mkoani tabora, alisema mnyika na viongozi wengine wa kambi ya upinzani wanatumia nguvu nyingi kubeza mchakato wa kuelekea kupatika kwa katiba mpya, badala ya kuhangaika kutatua kero za wananchi.

Alisema kiongozi wa kweli ni yule anayeguswa na matatizo ya mwananchi, na si anayetumia muda mwingi kupinga kila jambo, hata ambalo mwananchi wa kawaida halimgusi sana.

Chanzo: Jambo leo

huyu msomali vipi..rage hujui wewe si mtanzania kwa kuzaliwa.acha wazawa waongee mambo yao,,
 
Al shabab Rage baada ya kuzomewa na wananchi wa Tabora, sasa anatafuta mahali pa kuficha aibu yake.

Pamoja na umri wake lakini hawezi kumkaribia Mnyika kwa hoja. Labda kwenye klabu yake ya simba ndipo anauwezo wa kujenga hoja lakini kwenye politics al shabab Rage ni mwepesi sana.
 
Aende akajiunge na al shababy wenzake , wale wote kila siku nasema msomali na tanganyika wapi na wapi inawezekana jana wakati anaongea alikuwa na pistol kiunoni
 
huyu msomali vipi..rage hujui wewe si mtanzania kwa kuzaliwa.acha wazawa waongee mambo yao,,

nafikiri ujumbe utamfikia, kama kweli ana uchungu na maendeleo basi akayapeleke nyumbani kwao Somalia, by the way...charity begins at home!!! ahahahahahahah
 
1.Kujenga Machinga Complex mbili moja, Manzese na ingine Ubungo
2. Kujenga soka la vyakula Tandale
3. Kuleta maji kimara pamoja na Ubungo, Sinza,
4. Kujenga barabara Kimara Bonyokwa na Temboni.
5. Kutoa ajira kwa vijana

Ritz,

Asante kwa maoni yako. Hata hivyo umetaja ahadi nyingine ambazo zijawahi kuzitoa wakati wowote kwenye kampeni zangu popote. Sijawahi kuahidi machinga complex mbili, kwa sababu naamini kwenye uzalishaji na huduma zaidi ya uchuuji. Tandale haipo katika jimbo la Ubungo, ipo Jimbo la Kinondoni; hivyo ahadi uliyoitaja sijawahi kuitoa. Kuhusu maji, barabara na ajira; ahadi zangu zilikuwa tofauti na ulivyozieleza; kwa kuwa naelewa vizuri kuwa kazi ya mbunge ni kuwakilisha, kuisimamia serikali na kutunga sheria. Ahadi zangu wakati wa kampeni niliziandika kwa ajili ya rejea kwa sababu niliamini ni mkataba baina yangu na wapiga kura. Mara baada ya kuchaguliwa nilizirudia hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/91961-ujumbe-wa-mbunge-shukrani-twende-kazi.html wakati wa kuwashukuru ili kuunganisha nguvu ya umma katika utekelezaji na pia upatikane msingi wa kupima utekelezaji wa ahadi husika katika kipindi cha miaka mitano. Kwa mwaka huu wa kwanza nimekuwa na utaratibu wa mara kwa mara kutoa mrejesho wa masuala mahususi, unaweza kufanya rejea tu humu. Lakini kwa kuwa tunaelekea mwisho wa mwaka nitatoa pia taarifa nyingine ya ujumla; na pia nitaelekeza zitolewe taarifa za kata kwa kata. Nakutakia heri ya Xmas na mwaka mpya na tuendelee kushirikiana katika utumishi wa umma.
JJ
 
Ritz,

Asante kwa maoni yako. Hata hivyo umetaja ahadi nyingine ambazo zijawahi kuzitoa wakati wowote kwenye kampeni zangu popote. Sijawahi kuahidi machinga complex mbili, kwa sababu naamini kwenye uzalishaji na huduma zaidi ya uchuuji. Tandale haipo katika jimbo la Ubungo, ipo Jimbo la Kinondoni; hivyo ahadi uliyoitaja sijawahi kuitoa. Kuhusu maji, barabara na ajira; ahadi zangu zilikuwa tofauti na ulivyozieleza; kwa kuwa naelewa vizuri kuwa kazi ya mbunge ni kuwakilisha, kuisimamia serikali na kutunga sheria. Ahadi zangu wakati wa kampeni niliziandika kwa ajili ya rejea kwa sababu niliamini ni mkataba baina yangu na wapiga kura. Mara baada ya kuchaguliwa nilizirudia hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/91961-ujumbe-wa-mbunge-shukrani-twende-kazi.html wakati wa kuwashukuru ili kuunganisha nguvu ya umma katika utekelezaji na pia upatikane msingi wa kupima utekelezaji wa ahadi husika katika kipindi cha miaka mitano. Kwa mwaka huu wa kwanza nimekuwa na utaratibu wa mara kwa mara kutoa mrejesho wa masuala mahususi, unaweza kufanya rejea tu humu. Lakini kwa kuwa tunaelekea mwisho wa mwaka nitatoa pia taarifa nyingine ya ujumla; na pia nitaelekeza zitolewe taarifa za kata kwa kata. Nakutakia heri ya Xmas na mwaka mpya na tuendelee kushirikiana katika utumishi wa umma.
JJ

Mh Mnyika,
Nashukuru kwa majibu yako mazuri lakini nasikitika baadhi ya ahadi zako unazikana...anyway kama ujasema wakati wa kampeni zako za ubunge kuwa utaleta maji pamoja na kujenga barabara ndio tabia za wana siasa kuyakana maneno yao!

Sikukuu njema Mh Mnyika
 
Namkubali sana mnyika,akishatoa ripoti yake ndo itafahamika kwamba Mh.mnyika ni zaidi ya "mgodi ",yapo mengi tu yakujifunza toka kwa Mh.mnyika

he has vision and mission too, he is a role model in Tanzania.
All the best mnyika.
 
huyo badala ya kukomaa na jimbo lake anakalia kukosoa watu jinbo lake liko nyuma sana
 
Lazima Rage aneshe jitihada za kumtetea JK kwani- (1) bila ya msamaha wa JK ageendelea ku**** debe, si mnakumbuka alivyotiwa hatiani mwaka ule, (2) angekosa sifa za kuwania ubunge na nyadhifa zingine kule Tabora na kitaifa, (3) alipokutwa na bastola kwenye jukwaa kule Igunga ya basi yangekuwa mengine bila kuwa swahiba, na (4) si unajua uraia wake unautata?
 
We Rage nani kakueleza Mnyika unatafuta umaarufu?Mnyika siku nyingi alishakuwa maarufu tokea Udsm tunamfahamu!Muulize Keenja.We bila huo uchair wa mnyama nani angekufatilia na ulivyo mzee wa ndiooooooo bungeni!We matatizo ya Mnyama,Tabora mjini au jumuiya wa wazazi umeyamaliza?Acha majungu!Hujui hata Kiswahili Mnyika hajapinga bali amekosoa.Tungekuwa tunahama timu kama vyama ningehama kwa ajili yako kwa timu niipendao S.s.club.
 
Back
Top Bottom