ziloi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 758
- 1,063
Kwa mantiki hizi hakika hatuwezi endelea kokote. Mbona hoja ya Trump ipo wazi kabisa tunashindwa nini kuelewa. Sote tunajua hao wazungu plus wachina hakuna anayetupenda hata mmoja wote wana target zao tu huku afrika. But kwa hili la WHO mie naona mzee yupo sawa, Hiyo Organisation imekuwa nzembe sana kwa taarifa zao cha nusu nusu yaani ni kama hawajielewi kabsa nini wanafanya. Trump kupuuza taarifa za awali za ugojwa huu ni jambo la kawaida tu kwa mwanasiasa yoyote mfano Tz ya sasa. Lakini kama WHO wangetangaza mapema alert ya hili janga na kutoa miongozo wenda sote tungeepuka. Awali walisema hawawezi kulifanya kama janga la dunia sababu lipo China tu so walichokuwa wanasubiri ni kuenea dunia nzima ndo watangaze kama kilichotokea sasa ili waendelee kupiga pesa.
Sisi watu weusi China ametuhadaa sana yaan tumekuwa na ego furani hivi za kipumbavu sana na bora tungekuwa tunajaliana basi tupo na ego plus kuwekeana utemi then tunasema Mtendaji mkuu wa WHO kaonewa sababu ni mwafrika mbona awali hatukuliona hili au mbona hakuondoa pesa sababu kapewa uongozi mwafrika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi watu weusi China ametuhadaa sana yaan tumekuwa na ego furani hivi za kipumbavu sana na bora tungekuwa tunajaliana basi tupo na ego plus kuwekeana utemi then tunasema Mtendaji mkuu wa WHO kaonewa sababu ni mwafrika mbona awali hatukuliona hili au mbona hakuondoa pesa sababu kapewa uongozi mwafrika.
Sent using Jamii Forums mobile app