Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,622
- 31,135
Nenda kawawajibishe MKUU.Atoke ni mjinga sana huyu jamaa..!
Kuficha taarifa za hatari ya huu ugonjwa kwa kuangalia maslahi ya china kunapelekea dunia kuingia kuzimu na hawa virusi.
Kwanini walichelewa kutoa tahadhari ya mapema kwa dunia kukaa mbali na China ili kutoa mwanya wa kushughulikia hawa virusi wakiwa China.
Kuna uzembe mkubwa umeigharimu dunia na maisha ya watu yanateketea kwasababu ya ujinga wa Mchina. Wachina ni watu wabinafsi kabisa kwenye hii dunia. Na inafaa dunia kuwawajibisha kwa uzembe walio ufanya wapuuzi hawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using My COVID-19