Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Nimekuwa hapa Unguja toka Alhamisi. Nimekuta hakuna umeme na katika uliza uliza yangu nimeambiwa kuwa hakuna mategemeo ya kurejesha umeme hadi mwishoni mwa mwezi Februari. Inawezekana serikali inafanya jitihada kutafuta ufumbuzi lakini ni vigumu kuamini kuwa hili tatizo linahitaji miezi zaidi ya 2 kulitatua.